Kwa Matendo ya huyu Mama yakiendelea zaidi nitajua pengine ana uroho wa madaraka na ndie aliyehusika.. time will tell us
 
JPM ni rahisi bora Afrika na hakuna atakayetokea wa kumzidi, Rais bora miaka yote, Yehova akinijalia maisha mema na marefu sita acha kuwa adithia wanangu mema ya JPM
Ni mawazo yako lakini.
 
ningefanikiwa kumjua aliyesaidia kumuondoa huyu hayawani ningempa zawadi
 
Na ulinzi ule unakufaje? Labda kama kajiua mwenyewe hapo sawa maana hakukuwa na mtu duniani analindwa kama yeye
 

Sasa watu walio na changamoto yeyote ya kiafya Hawafai kuongoza?

Labda wewe hapo ulipo ni uko fit 100%?

Tuwe na akiba ya maneno binadamu.
 
Kukisikia kifaa kinaweza kudukuliwa ujue yupo anaye miliki mamlaka ya kukiendesha sasa ulitakiwa kujua kua maadui wakubwa wa magufuli walikuwa wazungu wenye mamlaka na kamili ya hicho kifaa inawezekana akikudukuliwa ila mamlaka husika ndiyo iliyo fanya figisu kwa kupewa muongozo kutoka kwa wakubwa wa dunia ,jinsi wewe ulivyo andika umemaanisha wanao kimiliki hicho kifaa ni malaika awawezi kutumika kumuangamiza mtu. Mfano Osama angekuwa anatumia hicho kifaa na wamarekani kugundua basi kusinge kuwa na haja ya kukidukua zaidi wange wasiliana na waundaji ili kukiujumu tu
 
Kwani waliokuwa wanamchukia magu ni watz tu ? Je watz na wazungu waliokuwa wanaona influence ya magufuli kwa bara la africa inaweza kuathili maslai yao hao awawezi kuhusika pia hicho kifaa waliokiunda awawezi kutumiwa na mamlaka za kidunia kumdhuru mtu na mawimbi kuwa mafupi ni swala la kiinjinia unajuaje kama ndani ya icho kifaa kuna namna ya kuongeza hayo mawimbi
 
Kama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi.
Siyo korona iliyo muua magu kwa sababu angekufa kwa korona ingetangazwa na ingekuwa Wimbo wa taifa maana waliotamani magu kufa na korona ni makada ila haikuwa hivyo wewe huoni wanavyo angaika kushabikia chanjo na njia za magharibi kupingana na magu sasa ingekuwa kafa na korona ingetangazwa ili kufanikisha mikakati yao kuhusu covid
 
Serikali imeshalitolea ufafanuzi hili suala. kifo kimetokana na nn. the rest are just conspiracy theory tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…