Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila mabeberu we mbuzi jike huwezi kuishi usijidanganye, kiloa kitu unachotumia kinatoka kwake,akikuhitaji huna uwezo wa kumkwepa.Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
Kwanini tusimuenzi kwa kujifunza mabaya aliyoyafanya ili tusiyafanye? kwanini mnapenda kuyakumbuke mazuri tu? hata mabaya tuyazingatie ili mazuri tufanye na mabaya yake tusiyarithi hata chembe.So you admit ni conspiracy? okay so its not real.
Lissu yeye alipata formal information kuwa rais ana hali mbaya.. baadae akiwa ameondoka. sio eti kama hacked. ameondoka na nn na nn sababu hapo hakujua.
So badala ya ku stick kutunga empty theories na whitch hunt hapa..
tumuenzi kwa mazuri aliyotenda our late president.
mtaalam on what bro? hapa jf wako wataalam wengi kuliko unavyojua.naongea kama mtaalamu wa hizi kazu
Taja beberu mmoja tu ambaye hatuna ushirika naye na tunapaswa kumtosa.Mabeberu ni hatari kwa ustawi wa taifa letu
Hajabu ufipa hawalioni hilo
ni wapi wametulazimisha tufanye wanavyotaka?
wapi lini na nani alisema tufanye wanavyotaka?
kila mtu ana deal na njia yake ya kuzima moto. wapo watakao tumia maji? watakao tumia mchanga,wengine majani?
mimi sina shida na njia tutakazo tumia. but are they effective?
i dont care wanatuonaje, wanatuchukuliaje, kila.mtu ana different view.
naona umetolea mfano south africa. umeangalia latest charts za maambukizi na vifo?
za mwanzoni na sasa?
ni vema uje na facts na data tuka discuss kitalaam kuliko mihemko na hasira. havitosaidia
"Never assume conspiracy when stupidity is an adequate explanation."Conspiracy theories thrive where there is a void of open information.
Watu wana speculate!
Tunaambiwa tuvae barakoa , watu hawasikii, halafu watu wengi wanakufa tunafikiri kuna mkono wa mtu!
Ujinga mtupu!
unachokosea binamu ni kumesma "mna mna mna"You are asking me where and who is forcing us to implement their scientific ways to combat corona, like seriously binamu, hili ndo swali la kuniuliza?
Unaniambia nije na data, I’m sorry I’m too busy at work now , mtu akitaka statistics they will find them on google , it’s free.
Msijifanye njia zenu ndo sahihi kuliko za wengine, kila mtu apambane na hali yake maisha yaendelee tusipangiane cha kufanya, kuvaa mask kutovaa that’s a personal choice
Umeua, pata soda kwa mangi nitalipaAchanen na mambo ya kipuuzi,hivi alikua na maujiza gani amefanya majitu mmekua mizombie,mijitu yote mmekua kama miendwazamu msioweza hata kufikiri.Yaani mnawafanya maraisi wengine hawakufanya kitu kwa sbb tu mlinufaika na utawala wake.Kaulo ya ms president kwamba yeye ndio rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikua anawapa taarifa mizombie ya marehem,mpk ss hamuamini kama amekufa wala kutakua na mwingine.Mlikua mifuasi mipumbavu sana msioweza hata kutumia common sense ni kuabudu tu.Rubbish kabisa
Kafa kwa magonjwa acheni kutengeneza uongoHakuna sehemu nimesema Lissu kamuua Magu!
Conspiracy? YES!