Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
[
Kama alivyo ongea mdau hivi vitu vinawezekana.Mara nyingi hizi series ukizitizama kuna vitu vingi sana hasa vya kisayansi huwaga wana vizungumzia unaweza usitilie maanani ili kuna situation zikitokea ndipo unapokumbuka iliwahi kutokea ktk series fulani na kunaa article mbalimbali washa zungumzia jinsi ya ku-attack peacemaker.

Mfano nimeangalia series moja ya maswala ya Artificial intelligence inaitwa Person of Interest,vitu wanavyo vizungumzia mule ndivyo wanavyo vipigia kelele maprogrammer ktk documentary ya Social Dilema na tiyari -ve impact ya AI ishaanza kuonekana kwani hizi AI zishaanza kutumika ktk social networks platforms zote.
Basi kama ndiyo hivyo basi tahadhari hazikuchukuliwa, japo kila mtu atakufa ila kama kuna mikono ya watu inafikirisha
 
Kama Magu alikutana na Maalim , basi hata Mwinyi alikutana na Maalim , same to samia

You guys are missing the truth
What you may be missing yourself is that corona is almost friendly kama kinga yako ni imara na huna magonjwa ambatani na hatarishi kama kisukari, ugonjwa wa moyo, saratani, kidney complications, matatizo ya mfumo wa upumuaji like PIDs, AIDs, brain-related problems na katika vital organs kama ini, kongosho na bandama.
 
hili suali lako ni sawa na kuuliza mbona wewe hukuzaliwa kabla ya kaka yako , au mbona umezaliwa baada ya Mdogo
Wako

Mkuu everything needs. Perfect time
As if they feared for what!??? Mbona Nicholas Maduro walikuwa wanamtumia kila aina ya mashambulizi -- undetectable drones, komandos, vikwazo vya kiuchumi, nk
 
Bandari ya Bagamoyo JPM aliufuta kabisa ambao ulitakiwa ufanywe na wachina na wachina wawe wamiliki 100% kwa miaka zaidi ya 99 baada ya hapo ndipo tupewe na michakato iliashaanza kipindi kile Kikwete anamalizia mda wake.

Hili ndio liliwauma sana pale JPM alupofuta mikataba ya kujenga bandari ya Bagamoyo na ndio maana wanapigana kwa udi na uvumba wamuweke VP mtu wao ili waweze kurudisha ule mradi kwani waliisha kula 10% ya wachina!!!
 
Kama kweli ni CORONA kama wanavyosema baadhi humu basi tutegemee wale watu wa KARIBU zaidi kwa JPM kama Mama Janet, ADC, PSU baadhi na Wasaidizi wengi wawe wameipata

Watu kama kijazi, Mpango, Maalimu hawa wana MIZUNGUKO mingine pia kikazi na ile isiyo ya kikazi
kwanini tutegemee kuwa wameipatia kwenye Mzunguko wa JPM ? ?
 
Wachina wangekuwa maadui wa Tanzania , wasingepewa mikataba ya gesi kusini mwaka nchi!!!

Wamepewa kwa sababu TZ ni mali ghafi kama zilizo nchi za Africa. Inahitaji big brain kuelewa vyema giza lililopo
 
 
Hili ndio liliwauma sana pale JPM alupofuta mikataba ya kujenga bandari ya Bagamoyo na ndio maana wanapigana kwa udi na uvumba wamuweke VP mtu wao ili waweze kurudisha ule mradi kwani waliisha kula 10% ya wachina!!!
Wachina sio watu na sasa hivi nchi karibia zote za Ulaya wanataka kumwekea vikwazo kwa sababu wanaamini China ndiyo source ya ugonjwa wa Covid so kupitia ugonjwa huu umewaathiri sana kiuchumi.

So kwa sasa hana jinsi lazima macho yake yawe kwa Africa,nchi za Ulaya zisha mkataa
 
Relax brother. We are discussing tough stuff may be cannot be accommodated by your brain
Hakuna vitu vigumu mkuu ,naona tantalila tu,Meko alikuwa anaumwa magonjwa mengi ,hakuna mabeberu wala psu waliom_fix,kovid19 imekuja kumalizia tu.

Baada ya kupigwa moshi kule kusini aliponea chupu chupu.
 
Kama Magu alikutana na Maalim , basi hata Mwinyi alikutana na Maalim , same to samia

You guys are missing the truth

Mkuu usilazimishe kwamba jpm kauliwa ,hakuna kitu kama hicho ,80% wanapata korona na wanapona sometimes bila kujua hawa wanakuwa na immunity nzuri,sasa jiwe alikuwa na Malukanga+betri kwenye moyo na ukipata kovid hautoboi.
 
Mkuu usilazimishe kwamba jpm kauliwa ,hakuna kitu kama hicho ,80% wanapata korona na wanapona sometimes bila kujua hawa wanakuwa na immunity nzuri,sasa jiwe alikuwa na Malukanga+betri kwenye moyo na ukipata kovid hautoboi.

How do you reach to that conclusion kuwa hakuna kitu kama hicho ?

How do you reach to that conclusion kuwa kafa na Corona

Uchunguzi ndio utatoa majibu sahihi au vipi
 
How do you reach to that conclusion kuwa hakuna kitu kama hicho ?

How do you reach to that conclusion kuwa kafa na Corona

Uchunguzi ndio utatoa majibu sahihi au vipi

Sawa basi tuache speculations,kwani jiwe hawezi kufa kwa natural death mpaka tuseme kwamba kauliwa?
 
Mkuu akiugua kwa Usalama wa nchi, sio kila mtu anapaswa kujua hasa kwa nchi za Africa.

Ni Security Purpose tu
Mantiki ya kuuliza ni kuhusu mtoa-hoja anayedai Dkt Mpango ali-struggle na corona, ila JPM hapana. I was simply asking kama yeye alishuhudia!???
 
Kama kweli ni CORONA kama wanavyosema baadhi humu basi tutegemee wale watu wa KARIBU zaidi kwa JPM kama Mama Janet, ADC, PSU baadhi na Wasaidizi wengi wawe wameipata

Watu kama kijazi, Mpango, Maalimu hawa wana MIZUNGUKO mingine pia kikazi na ile isiyo ya kikazi
kwanini tutegemee kuwa wameipatia kwenye Mzunguko wa JPM ? ?
Si lazima iwe hao ndio alikoipatia, possibly multiple sources zinahusika.

NB: Si kila mtu anayebishiwa hodi na corona anaathirika -- mpaka awe ^anakudai^ ndipo kirusi hicho kinakugaragaza.
 
Back
Top Bottom