Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Wewe alishawahi kukuua ??Mwenye kiti wako ukiweka dau mezani hata wewe anakuua sio mtu yule nakwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe alishawahi kukuua ??Mwenye kiti wako ukiweka dau mezani hata wewe anakuua sio mtu yule nakwambia
Hivi alikua ndugu yako?Ujue nilivyoumia mkuu.but life goes on and kisasi hakiishi...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi alikua ndugu yako?
Anatakiwa apumzike siasa sasa abaki kama mshauri wa chama, unataka kuniambia akuna anayeweza kuiongoza chadema isipokua ni yeye tu?Point yako sasa ni ipi??
Msipotenda haki Mungu hata waacha hai, msitishe watu.Unajua madhara ya maandishibhaya kwako!?
أَيْنَمَا تَكُونُوا يُدْرِككُّمُ الْمَوْتُ وَلَوْ كُنتُمْ فِي بُرُوجٍ مُّشَيَّدَةٍ ۗ وَإِن تُصِبْهُمْ حَسَنَةٌ يَقُولُوا هَـٰذِهِ مِنْ عِندِ اللَّهِ ۖ وَإِن تُصِبْهُمْ سَيِّئَةٌ يَقُولُوا هَـٰذِهِ مِنْ عِندِكَ ۚ قُلْ كُلٌّ مِّنْ عِندِ اللَّهِ ۖ فَمَالِ هَـٰؤُلَاءِ الْقَوْمِ لَا يَكَادُونَ يَفْقَهُونَ حَدِيثًاKila nafsi itaonja mauti, hayo mengine ni hadithi tu, uongo njoo utamu kolea. ameondoka kwavile siku yake imefika, kama wengine wanavyo ondoka.
Kwamba akiwa kwenye Uongozi kwako kinapungua kitu gani??Anatakiwa apumzike siasa sasa abaki kama mshauri wa chama, unataka kuniambia akuna anayeweza kuiongoza chadema isipokua ni yeye tu?
Haki nmecheka [emoji23][emoji23][emoji23] mwambie huyo mkuu naona hamjui mwenyekiti Wafadhili wakipanda dau anatekeleza agizo bila kusita.Mwenye kiti wako ukiweka dau mezani hata wewe anakuua sio mtu yule nakwambia
Lazima tuwe na kiasi, hatuitaji kiongozi asiekua na kiasi.Kwamba akiwa kwenye Uongozi kwako kinapungua kitu gani??
Kwamba amevunja katiba yao au matakwa yenu tu binafsi kwakuwa hanunuliki??Lazima tuwe na kiasi, hatuitaji kiongozi asiekua na kiasi.
Tufuate hisia zako au katiba ya chama chao???Lazima tuwe na kiasi, hatuitaji kiongozi asiekua na kiasi.
Kuna demokrasia gani kama mwenye kiti atatawala milele?Kwamba amevunja katiba yao au matakwa yenu tu binafsi kwakuwa hanunuliki??
Nyie jadili ya maana... COVID-19 inajizatiti kudondosha mbuyu mwingine!Acha utoto wewe watu wanajadili ya maana
Nipe tafsiri ya demokrasia?Kuna demokrasia gani kama mwenye kiti atatawala milele?
Aliuwawa na nani?Vyombo vya dola ndivyo pekee vinaweza kutoa jawabu hilo.
Lakini kwa mazingira ya kawaida na kwa imani kubwa kutoka kwa wananchi wa kawaida hali iliyopelekea yeye kuwa mtetezi wa wanyonge jambo ambalo wenye kupenda kutumikisha na kuwaibia wananchi kamwe hawakulipenda.
JPM si tu alijitengenezea maadui wa ndani lakini pia aliwakwaza wakubwa huko Duniani kwa misimamo yake Thabiti hasa ya kuisimamia vyema rasilimali za Taifa pasi na kuyumbishwa.
Kwa muktadha huenda Magufuli aliuawa?!
Of what use knowing the cause of his death? Where are Ben, Azory, and many others who disappeared mysteriously? As a human being, he is destined to dieVyombo vya dola ndivyo pekee vinaweza kutoa jawabu hilo.
Lakini kwa mazingira ya kawaida na kwa imani kubwa kutoka kwa wananchi wa kawaida hali iliyopelekea yeye kuwa mtetezi wa wanyonge jambo ambalo wenye kupenda kutumikisha na kuwaibia wananchi kamwe hawakulipenda.
JPM si tu alijitengenezea maadui wa ndani lakini pia aliwakwaza wakubwa huko Duniani kwa misimamo yake Thabiti hasa ya kuisimamia vyema rasilimali za Taifa pasi na kuyumbishwa.
Kwa muktadha huenda Magufuli aliuawa?!