Je, Rais Samia anasalitiwa?

Je, Rais Samia anasalitiwa?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Ukiifikiria vizuri kauli ya bwana Mbowe aliyoitamka eti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM wanamtaka alisemee hilo jambo la BANDARI ni wazi unang'amua pengine upo usaliti wa wazi ndaniye.

Binafsi, kama mwana CCM na muumini wa falsafa ya ukweli na uwazi naona upo utata bayana wa kinachoendelea.

Hofu yangu ni usaliti unaotamkwa hadharani tena unaofanywa na wasaidizi wake M/kiti unatoa taswira ya wazi safari si salama huko mbele.

Hata huo MKATABA kuwekwa kwenye mitandao ni wazi pia USALITI WA FAIDA ULIFANYWA.

Shime kwa bi mkubwa tafadhari aichunguze vyema nyumba aishio na kwalo ujitahidi kufanya yaliyo ya kweli na haki.

Uzuri wa jambo jema hujieleza lenyewe bila utetezi uchwara. Na vilevile jambo baya daima hukataliwa na kila awaye tena kwa kupaziwa sauti!

CCM tukiendelea kujipendekeza na kujidanganya eti Watanzania bado ni mbumbumbu na tunaweza kufanya lolote kwa kulazimisha hakika tutakuwa tunaendelea kujidanganya!

Lipo jambo moja nitabilialo-UASI WA MAMBO MABAYA KWA TAIFA KUTOKA KWA MTENDA.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!
 
SIASA NI MCHEZO


RAIS ATAKUWA WA MWISHO KULISEMEA SWALA HILI NA AJENDA ITAFUNGWA RASMI
 
Anajisaliti mwenyewe, kwasababu anatekeleza ilani hewa ya CCM (uuzwaji wa nchi-Bandari zote za Tanganyika)
 
Hii ni kauli ya kidhaifu kuamini kwamba Rais anasalitiwa...

Hujamsikia huko Arusha akisema kwamba hata waseme, yeye hasikilizi bali huziba masikio yake...
 
Na wewe mkuu ukaamini hivyo?
Kwani haya mambo yanahitaji kuamini?si unafatilia trends na unaona..

Why watu wasamabaze mkataba hauna kikomo??

Wakati mkataba uko so clear kuwa mkataba wa HGA duration yake itakapofika mwisho na IGA itakuwa umefika mwisho..
Na HGA bado haijasainiwa
 
Rais ni Taasis kubwa,acha kuchanganya Samia na President Samia.

Rais ana washaur na anaelewa anachokifanya, mbona kelele zenu zimekuwa nyingi??
 
Ukiifikiria vizuri kauli ya bwana Mbowe aliyoitamka eti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM wanamtaka alisemee hilo jambo la BANDARI ni wazi unang'amua pengine upo usaliti wa wazi ndaniye.

Binafsi, kama mwana CCM na muumini wa falsafa ya ukweli na uwazi naona upo utata bayana wa kinachoendelea.

Hofu yangu ni usaliti unaotamkwa hadharani tena unaofanywa na wasaidizi wake M/kiti unatoa taswira ya wazi safari si salama huko mbele.

Hata huo MKATABA kuwekwa kwenye mitandao ni wazi pia USALITI WA FAIDA ULIFANYWA.

Shime kwa bi mkubwa tafadhari aichunguze vyema nyumba aishio na kwalo ujitahidi kufanya yaliyo ya kweli na haki.

Uzuri wa jambo jema hujieleza lenyewe bila utetezi uchwara. Na vilevile jambo baya daima hukataliwa na kila awaye tena kwa kupaziwa sauti!

CCM tukiendelea kujipendekeza na kujidanganya eti Watanzania bado ni mbumbumbu na tunaweza kufanya lolote kwa kulazimisha hakika tutakuwa tunaendelea kujidanganya!

Lipo jambo moja nitabilialo-UASI WA MAMBO MABAYA KWA TAIFA KUTOKA KWA MTENDA.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!
idumu Tanzania na sio kingine chochote
 
Ukiifikiria vizuri kauli ya bwana Mbowe aliyoitamka eti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM wanamtaka alisemee hilo jambo la BANDARI ni wazi unang'amua pengine upo usaliti wa wazi ndaniye.

Binafsi, kama mwana CCM na muumini wa falsafa ya ukweli na uwazi naona upo utata bayana wa kinachoendelea.

Hofu yangu ni usaliti unaotamkwa hadharani tena unaofanywa na wasaidizi wake M/kiti unatoa taswira ya wazi safari si salama huko mbele.

Hata huo MKATABA kuwekwa kwenye mitandao ni wazi pia USALITI WA FAIDA ULIFANYWA.

Shime kwa bi mkubwa tafadhari aichunguze vyema nyumba aishio na kwalo ujitahidi kufanya yaliyo ya kweli na haki.

Uzuri wa jambo jema hujieleza lenyewe bila utetezi uchwara. Na vilevile jambo baya daima hukataliwa na kila awaye tena kwa kupaziwa sauti!

CCM tukiendelea kujipendekeza na kujidanganya eti Watanzania bado ni mbumbumbu na tunaweza kufanya lolote kwa kulazimisha hakika tutakuwa tunaendelea kujidanganya!

Lipo jambo moja nitabilialo-UASI WA MAMBO MABAYA KWA TAIFA KUTOKA KWA MTENDA.

Kidumu Chama cha Mapinduzi!
ccm vichwa vyao ni sawa na cha kwenye ndani ya suruali yangu, kw hyo unataka mambo y kipumbavu yaendelee kufanyika kw usiri na kufunika funika kama zamani ilihali hata nchi ikiuzwa kwenu ni sawa kwa maslahi yenu! nyakati zimebadilika mulijue hilo
 
Kwani haya mambo yanahitaji kuamini?si unafatilia trends na unaona..

Why watu wasamabaze mkataba hauna kikomo??

Wakati mkataba uko so clear kuwa mkataba wa HGA duration yake itakapofika mwisho na IGA itakuwa umefika mwisho..
Na HGA bado haijasainiwa

Ufafanuzi wa baadhi ya wachambuzi, wanasiasa ndio uliotaja kutokuwepo kwa ukomo na hilo ni suala la uelewa tu...

Kama kuna mkataba/makubaliano ya ukweli tofauti na tuliyooneshwa, mbona mjadala wa bunge kuhusu makubaliano hayo ulikuwa ukipita mulemule kwenye vipengele vya huo "mkataba feki"
 
Kwani haya mambo yanahitaji kuamini?si unafatilia trends na unaona..

Why watu wasamabaze mkataba hauna kikomo??

Wakati mkataba uko so clear kuwa mkataba wa HGA duration yake itakapofika mwisho na IGA itakuwa umefika mwisho..
Na HGA bado haijasainiwa
Mbona na wewe sasa unafanya rejea kutoka kwenye mkataba fake uliosambazwa kwenye media!?
 
We hukuona threads mbili za poisonous ??
Kasema wazi kuna kikundi kimepanga kumkwamisha Rais ...na mkataba uliosambazwa sio mkataba halisi
Anajisaliti kwa ujinga wake wa kutopenda kujisomea, hicho kikundi hakikumpeleka arabuni kwa wajomba zake, ni mzembe.

Na hili nalo mkalitazame.. ndio anavuna alichopanda!.
 
Mbona na wewe sasa unafanya rejea kutoka kwenye mkataba fake uliosambazwa kwenye media!?
Mkataba ninao fanya rejea Una termination clause...na iko wazi Kabisa inasema uhai wa IGA utatokana na uhai wa HGA...
Ina maana tukisaini mfano miaka 50 kwenye HGA na IGA ndo hivyo hivyo...
Sasa huo unaosema hakuna kikomo ndo feki
 
Ufafanuzi wa baadhi ya wachambuzi, wanasiasa ndio uliotaja kutokuwepo kwa ukomo na hilo ni suala la uelewa tu...

Kama kuna mkataba/makubaliano ya ukweli tofauti na tuliyooneshwa, mbona mjadala wa bunge kuhusu makubaliano hayo ulikuwa ukipita mulemule kwenye vipengele vya huo "mkataba feki"
Wachambuzi Wengi wanaongea vitu hawajavielewa kabisa ...
Mkataba unasema masuala yote ya security yatatoka Kwa nchi husika
Mchambuzi anakwambia tumekabidhi bandari kuhatarisha usalama..,How??
Ama wanafanya kusudi kupotosha au Wana tatizo na lugha ya kiingereza
 
Sasa aweke mkataba halisi ili wasiwasi uishe
Ukiwekwa hapa utaelewa?kuna mchambuzi mmoja kajitangaza msomi aliebobea kaenda kutangazia watu Bandari ni mpaka...imagine
Msomi hajui hata territorial waters zikoje ... international waters iko wapi... entry point ni ipi...border iko wapi...
Na yuko viral
 
Unajaribu kumdanganya nani? Rais anajiangusha mwenyewe. Mkataba halisi uko wapi? Ulijaribu angalau kufuatilia ule uliokuwa unajadiliwa bungeni?
Umesoma hizo threads? Nimdanganye mtu kwani ni Mimi nimeandika hizo threads??
 
Back
Top Bottom