Mbowe anatumiwa katika vit ya kibiashara kwa tama yake ya pesaa.
Ashakum si matusi, Ikiwa yupo tayari kuuza utu wake kwa mali. Vipi kuhusu mwili wake?
Asiyemjua Mbowe labda siyo mtu wa Dar. Watu wa Dar tunamfahamu vizuri sana tena sana. Wakuulizwa ni DJ Seydou aliyemwingiza Mbowe katika mambo ya Disco, wakati huo bado anasoma na bar ya Mbowe (baba) ilikuwa ni ya kawaida tu, tena aliipata kiharamu baada ya kuwadhulumu Wahindi waliokuwa na restaurant ya mwanzo ya fisha and chips, enzi hizo ikiitwa Mermaids.Mzee Aikaeli Mbowe Aliwadhulumu kwa kuwa alikuwa bosi wa National Housing.
Aulizwe pia kijana wa Kiarabu, sasa si kijana tena, aliyekuwa ndiye mwenye hivyo vyombo vya disco enzi hizo anaitwa Sudi, wakati huo alikuwa mgeni Dar kutokea Mwanza, walikuwa marafiki sana na Seydou, wote hao walitokea Mwanza.
DJ Seydou, Sudi na Marehemu Khalifa shemeji yake Sudi,wenye vyombo vya disko, na kijana mmoja wa zamani wa mitaa ya Kariakoo anaitwa Fahmi, huyu mtoto wa Kariakoo ndiye walijuana nae mwanzo mwanzo walipotokea Mwanza, ndiye aliwapa connection ya pale ilipokua Bar ili wakapige disko. Fahmi alikuwa ni mpenda kujirusha na toto la kariakoo maarufu.
Ikabidi Fahmi awe kiunganishi wao kwa Mbowe (baba), na DJ maarufu wa Dar. Meb ndiye alimfundisha Seydou u DJ.
Na mbowe huyu tumjuwae kwa kuwa alikuwa kijana mdogo akajikuta kaingia kuipenda kampani ya kina Seydou ya disko. Ndiyo chanzo chanzo cha mbowe kuitw DJ, kwa kuw DJ Seydou na Fahmy waikuwa nae kijana mwenzao.
Nimeweka hayo ili muelewe kua namjua sana Mbowe toka enzi hizi.
Mbowe hata umfanyie wema vipi ni lazima akugeuke linapokuja jambo la pesa na umaarufu. Ana kitu kinaitwa "superior complex" Kwa kua alikulia ushuani na ni toto la kudekezwa nyumbani basi imejijenga kwenye ubongo wake kuwa hakuna zaidi yake.
Huyo kununuliwaa utu wake kuwa msaliti wala hafikiri mbali, hana uwezo wa kufikiri deep. Huyo na Alex Masawe hawana tofauti hulka zao. Yypical wachaga.
Na hayo kayarithi kwa baba'ke, nae kuuza utu wake ili apate mali na ukubwa ulikuw ni kawaida tu kwake (Like father like son). Abishae waulize watu wa zamani, mpaka kuna uvumi kua mkewe alikuwa analala na kiongozi wetu wa kwanza na Mzee Aikaeli Mbowe akilijua hilo lakini akimezea ili muradi wake uende, yaani ficha kombe mwanaharamu apite.
Msaliti wa kwanza ni Mbowe, Magufuli alishamstukia huyo, akmminya. Mbowe anatumikakwenye siasa toka zamani kama "double agent". Ni mtu hatari sana huyo. Nchi zingine huyo angeshakuwa silenced zamani sana.