macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unazidi kuonyesha umbumbumbu wako. Huyu mama wa kambo kalikoroga na ni mweupe pee!Wachambuzi Wengi wanaongea vitu hawajavielewa kabisa ...
Mkataba unasema masuala yote ya security yatatoka Kwa nchi husika
Mchambuzi anakwambia tumekabidhi bandari kuhatarisha usalama..,How??
Ama wanafanya kusudi kupotosha au Wana tatizo na lugha ya kiingereza
Hujui hata unachotetea hapa wewe. Unadhani wewe ni mwerevu kumbe unazidi kuonyesha ujinga wako. Mkataba ulipelekwa bungeni na wabunge walifanya ushabiki wa kijinga kabisa badala ya kujadili kwa hoja. Pale ndiyo sehemu ambayo walitakiwa kuonyesha watu wanawapinga kuwa mkataba ni mzuri.Umesoma hizo threads? Nimdanganye mtu kwani ni Mimi nimeandika hizo threads??
Acha kuwa na mawazo finyu.Ukiifikiria vizuri kauli ya bwana Mbowe aliyoitamka eti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM wanamtaka alisemee hilo jambo la BANDARI ni wazi unang'amua pengine upo usaliti wa wazi ndaniye.
Binafsi, kama mwana CCM na muumini wa falsafa ya ukweli na uwazi naona upo utata bayana wa kinachoendelea.
Hofu yangu ni usaliti unaotamkwa hadharani tena unaofanywa na wasaidizi wake M/kiti unatoa taswira ya wazi safari si salama huko mbele.
Hata huo MKATABA kuwekwa kwenye mitandao ni wazi pia USALITI WA FAIDA ULIFANYWA.
Shime kwa bi mkubwa tafadhari aichunguze vyema nyumba aishio na kwalo ujitahidi kufanya yaliyo ya kweli na haki.
Uzuri wa jambo jema hujieleza lenyewe bila utetezi uchwara. Na vilevile jambo baya daima hukataliwa na kila awaye tena kwa kupaziwa sauti!
CCM tukiendelea kujipendekeza na kujidanganya eti Watanzania bado ni mbumbumbu na tunaweza kufanya lolote kwa kulazimisha hakika tutakuwa tunaendelea kujidanganya!
Lipo jambo moja nitabilialo-UASI WA MAMBO MABAYA KWA TAIFA KUTOKA KWA MTENDA.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Kwahiyo,hiyo miaka(50) hamsini itategemea Mbarawa ameamkaje siku Wana sign hiyo HGA au bunge la wananchi ndilo litaidhinisha uhai wa mkataba!?Mkataba ninao fanya rejea Una termination clause...na iko wazi Kabisa inasema uhai wa IGA utatokana na uhai wa HGA...
Ina maana tukisaini mfano miaka 50 kwenye HGA na IGA ndo hivyo hivyo...
Sasa huo unaosema hakuna kikomo ndo feki
Kama karidhia kusalitiwa fresh tu!!Ukiifikiria vizuri kauli ya bwana Mbowe aliyoitamka eti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM wanamtaka alisemee hilo jambo la BANDARI ni wazi unang'amua pengine upo usaliti wa wazi ndaniye.
Binafsi, kama mwana CCM na muumini wa falsafa ya ukweli na uwazi naona upo utata bayana wa kinachoendelea.
Hofu yangu ni usaliti unaotamkwa hadharani tena unaofanywa na wasaidizi wake M/kiti unatoa taswira ya wazi safari si salama huko mbele.
Hata huo MKATABA kuwekwa kwenye mitandao ni wazi pia USALITI WA FAIDA ULIFANYWA.
Shime kwa bi mkubwa tafadhari aichunguze vyema nyumba aishio na kwalo ujitahidi kufanya yaliyo ya kweli na haki.
Uzuri wa jambo jema hujieleza lenyewe bila utetezi uchwara. Na vilevile jambo baya daima hukataliwa na kila awaye tena kwa kupaziwa sauti!
CCM tukiendelea kujipendekeza na kujidanganya eti Watanzania bado ni mbumbumbu na tunaweza kufanya lolote kwa kulazimisha hakika tutakuwa tunaendelea kujidanganya!
Lipo jambo moja nitabilialo-UASI WA MAMBO MABAYA KWA TAIFA KUTOKA KWA MTENDA.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Kwamba mkataba unaosambazwa sio halisi ni kichekesho cha karne, kama sio halisi walete ulio halisi upotoshaji uisheWe hukuona threads mbili za poisonous ??
Kasema wazi kuna kikundi kimepanga kumkwamisha Rais ...na mkataba uliosambazwa sio mkataba halisi
Nazikumbuka kauli za Putin jana. Tatizo likianzia ndani ni hatari na ni vyema kurudi nyumaSIASA NI MCHEZO
RAIS ATAKUWA WA MWISHO KULISEMEA SWALA HILI NA AJENDA ITAFUNGWA RASMI
Masikini The Boss, napata taabu kuamini kuwa huyu ni wewe. Huu upoyoyo wa kuita koleo kijiko umeutoa wapi? Au na wewe upepo wa walafi umekuzoa mazima mazima! Nakuhurumia!We hukuona threads mbili za poisonous ??
Kasema wazi kuna kikundi kimepanga kumkwamisha Rais ...na mkataba uliosambazwa sio mkataba halisi
Ukiifikiria vizuri kauli ya bwana Mbowe aliyoitamka eti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM wanamtaka alisemee hilo jambo la BANDARI ni wazi unang'amua pengine upo usaliti wa wazi ndaniye.
Binafsi, kama mwana CCM na muumini wa falsafa ya ukweli na uwazi naona upo utata bayana wa kinachoendelea.
Hofu yangu ni usaliti unaotamkwa hadharani tena unaofanywa na wasaidizi wake M/kiti unatoa taswira ya wazi safari si salama huko mbele.
Hata huo MKATABA kuwekwa kwenye mitandao ni wazi pia USALITI WA FAIDA ULIFANYWA.
Shime kwa bi mkubwa tafadhari aichunguze vyema nyumba aishio na kwalo ujitahidi kufanya yaliyo ya kweli na haki.
Uzuri wa jambo jema hujieleza lenyewe bila utetezi uchwara. Na vilevile jambo baya daima hukataliwa na kila awaye tena kwa kupaziwa sauti!
CCM tukiendelea kujipendekeza na kujidanganya eti Watanzania bado ni mbumbumbu na tunaweza kufanya lolote kwa kulazimisha hakika tutakuwa tunaendelea kujidanganya!
Lipo jambo moja nitabilialo-UASI WA MAMBO MABAYA KWA TAIFA KUTOKA KWA MTENDA.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Mbowe anatumiwa katika vit ya kibiashara kwa tama yake ya pesaa.
Ashakum si matusi, Ikiwa yupo tayari kuuza utu wake kwa mali. Vipi kuhusu mwili wake?
Asiyemjua Mbowe labda siyo mtu wa Dar. Watu wa Dar tunamfahamu vizuri sana tena sana. Wakuulizwa ni DJ Seydou aliyemwingiza Mbowe katika mambo ya Disco, wakati huo bado anasoma na bar ya Mbowe (baba) ilikuwa ni ya kawaida tu, tena aliipata kiharamu baada ya kuwadhulumu Wahindi waliokuwa na restaurant ya mwanzo ya fisha and chips, enzi hizo ikiitwa Mermaids.Mzee Aikaeli Mbowe Aliwadhulumu kwa kuwa alikuwa bosi wa National Housing.
Aulizwe pia kijana wa Kiarabu, sasa si kijana tena, aliyekuwa ndiye mwenye hivyo vyombo vya disco enzi hizo anaitwa Sudi, wakati huo alikuwa mgeni Dar kutokea Mwanza, walikuwa marafiki sana na Seydou, wote hao walitokea Mwanza.
DJ Seydou, Sudi na Marehemu Khalifa shemeji yake Sudi,wenye vyombo vya disko, na kijana mmoja wa zamani wa mitaa ya Kariakoo anaitwa Fahmi, huyu mtoto wa Kariakoo ndiye walijuana nae mwanzo mwanzo walipotokea Mwanza, ndiye aliwapa connection ya pale ilipokua Bar ili wakapige disko. Fahmi alikuwa ni mpenda kujirusha na toto la kariakoo maarufu.
Ikabidi Fahmi awe kiunganishi wao kwa Mbowe (baba), na DJ maarufu wa Dar. Meb ndiye alimfundisha Seydou u DJ.
Na mbowe huyu tumjuwae kwa kuwa alikuwa kijana mdogo akajikuta kaingia kuipenda kampani ya kina Seydou ya disko. Ndiyo chanzo chanzo cha mbowe kuitw DJ, kwa kuw DJ Seydou na Fahmy waikuwa nae kijana mwenzao.
Nimeweka hayo ili muelewe kua namjua sana Mbowe toka enzi hizi.
Mbowe hata umfanyie wema vipi ni lazima akugeuke linapokuja jambo la pesa na umaarufu. Ana kitu kinaitwa "superior complex" Kwa kua alikulia ushuani na ni toto la kudekezwa nyumbani basi imejijenga kwenye ubongo wake kuwa hakuna zaidi yake.
Huyo kununuliwaa utu wake kuwa msaliti wala hafikiri mbali, hana uwezo wa kufikiri deep. Huyo na Alex Masawe hawana tofauti hulka zao. Yypical wachaga.
Na hayo kayarithi kwa baba'ke, nae kuuza utu wake ili apate mali na ukubwa ulikuw ni kawaida tu kwake (Like father like son). Abishae waulize watu wa zamani, mpaka kuna uvumi kua mkewe alikuwa analala na kiongozi wetu wa kwanza na Mzee Aikaeli Mbowe akilijua hilo lakini akimezea ili muradi wake uende, yaani ficha kombe mwanaharamu apite.
Msaliti wa kwanza ni Mbowe, Magufuli alishamstukia huyo, akmminya. Mbowe anatumikakwenye siasa toka zamani kama "double agent". Ni mtu hatari sana huyo. Nchi zingine huyo angeshakuwa silenced zamani sana.
Kwann etieti HATA WATU WA USALAMA WA TAIFA NA VIONGOZI NDANI YA CCM
Mbowe hata umfanyie wema vipi ni lazima akugeuke linapokuja jambo la pesa na umaarufu. Ana kitu kinaitwa "superior complex" Kwa kua alikulia ushuani na ni toto la kudekezwa nyumbani basi imejijenga kwenye ubongo wake kuwa hakuna zaidi yake.