Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.
Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?
Nini kinaendelea hapa?
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari
Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?
Nini kinaendelea hapa?
Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji
Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari