Je, Tundu Lissu ana mahusiano na mwanamke wa kizungu?

Je, Tundu Lissu ana mahusiano na mwanamke wa kizungu?

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Nguli wa siasa nchini, bwana Tundu Antipas Lissu leo ameondoka Ubelgiji kurejea nchini. Wakati anaondoka ameonekana anaagana 'Kimahaba' na mwanamke wa kizungu uwanja wa ndege.

Je, haitamletea shida kisiasa ikizingatiwa anayo ndoa rasmi na Alice Magabe na kuzaa nae watoto wawili?

Nini kinaendelea hapa?

1674636844588.png

Picha: Tundu Lissu akiagana na Mwanamke Mzungu Ubelgiji

1674637115204.png

Picha: Tundu Lissu baada ya kuaga akiwa na mizigo yake ya safari
 
Tundu Lissu akiwa uwanja wa ndege huko Ulaya akijiandaa kurudi nchini Tanzania, alionekana akiagana na mwanamke mzungu kwa kukumbatiana na kulana denda hadharani bila hofu, kitendo ambacho kimezua sintofahamu kubwa sana kwa Watanzania.

Wengi wameenda mbali na kuhoji kama ameachana na mkewe ambaye wamezaa watoto wawili mapacha, na ambaye alisimama naye bega kwa bega tangu aliposhambuliwa kwa risasi nchini Tanzania.

Una maoni gani kuhusu picha hii ya Lissu na Mwanamke wa Kizungu?

Lissu.jpg
Lissuuu.jpg
 
Back
Top Bottom