Huwa sipendi sifa za kijinga πππsijawahi kuwa super woman mimiucjal, af uzuri wako wew ni super woman, hauhtaji na ya kutolea, au nasema uongo?
Mi si ndio nimekuchagua bwana,..nataka nikaone tu tukiwa out unavyochekaπHahahahahaha....sasa mie mbn sina sifa yoyote inayokufanya uje kwangu ?
Hahahahahahaha....live mimi ni Bubu utaboreka...ila pia ahsante kwa mchaguo wako ...hahahahahahaMi si ndio nimekuchagua bwana,..nataka nikaone tu tukiwa out unavyochekaπ
Nitakunywesha whisky na chocolate flan hivi utaongea tuπHahahahahahaha....live mimi ni Bubu utaboreka...ila pia ahsante kwa mchaguo wako ...hahahahahaha
Hahahahahaha....duh..hiyo Kali ..ila kesho ni Jumatano ya Majivu ,RafikiNitakunywesha whisky na chocolate flan hivi utaongea tuπ
Sasa ibada si saa Tisa?tukitoka ibada saa Moja tunaenda zetu dinner,kwani kula ni dhambiπππ?Hahahahahaha....duh..hiyo Kali ..ila kesho ni Jumatano ya Majivu ,Rafiki
Tena tukapake majibu pale St Joseph,tukitoka tunazama dinner Johari Rotana,Wana valentine dinner ya nguvu π€£Sasa ibada si saa Tisa?tukitoka ibada saa Moja tunaenda zetu dinner,kwani kula ni dhambiπππ?
Hahahahaha....ahsante..πMerci ..Mungu akubarikiSasa ibada si saa Tisa?tukitoka ibada saa Moja tunaenda zetu dinner,kwani kula ni dhambiπππ?
Haya bwana kwani upo Arusha??Unique Flower nipe nafasi jamani valentine ndo hio
sawaHuwa sipendi sifa za kijinga sijawahi kuwa super woman mimi
Je, wewe utatoka na nani humu?
...π€π€π€Unamchanganya mtoto wa watu ππ, ataweza kuhonga ada bure.
π Much loveMama hili limeisha inabidi kesho tupate mahali pazuri tupoe pamoja
Much love my valentine baby π₯°π Much love
Ipi tena hiyo?Na mbona uedit comment yangu lakini.[emoji1787]