Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Soma tena comment yangu utaelewa, sijasema biblia haina utoto. Utoto upo ila kwenye Quran ndo utoto umezidi kupitiliza.
 
Sure tatizo watu wanachanganya Mungu kuwepo na dini Yao kuwa kweli...Quran Ina Mambo ambayo hata mtoto wa la tatu hawezi amini kuwa ni kweli .Ila inabidi aamini coz katishiwa Moto na pia jamii itamtenga...Ila ni upuuzi tu
Kabisa mzee, mi nikisomaga quran huwa najiuliza, hivi inakuwaje mtu mzima na akili zake anaamini kabisa ni kitabu cha Mungu wakati kina upuuzi mwingi hivi?
Kuna muda huwa nahisi watu waliotunga biblia kidogo Wana akili kuliko waliotunga Quran kwa sababu waliotunga biblia walijitegemea kifikra ila hawa watunzi wa quran walipiga chabo kwa Bible.

Naamini Mungu yupo ila sidhani kama anahusika katika utunzi wa Bible na Quran.
 
Kwahio mwenzio nae anarohombaya?unaishi nae vipi?
wee nikichekesho[emoji53]
Nadhan wewe ndie kichekesho aliyesema habari za roho mbaya nani au hujala unatafuta mtu wa kumtulia hasira zako za njaa,
Usiharibu mada za watu, punguza ujuaji.
 
Nadhan wewe ndie kichekesho aliyesema habari za roho mbaya nani au hujala unatafuta mtu wa kumtulia hasira zako za njaa,
Usiharibu mada za watu, punguza ujuaji.
au sio wewe iliesema binadamu wote wanarohombaya?😁😁😁😁
 
Nadhan wewe ndie kichekesho aliyesema habari za roho mbaya nani au hujala unatafuta mtu wa kumtulia hasira zako za njaa,
Usiharibu mada za watu, punguza ujuaji.
wee bwege kweli komenti Yako mwenyewe saivi unarukaruka.
 
Dini na masuala yake
 
mimi nilikuwa naamini iddi amin alikuwa akila nyama za wa2,,kumbe mzee we2 nyerere alitupiga kamba!!
 
Shida yako ni kuwa hata hiyo qur an huijui yaani qur an huijui wala sayansi huijui alafu umechagua kuwa upande wa sayansi ambayo nayo huijui.. Daah !
Jibu swali kwa hoja...Quran inasema jua usiku linaingia kwenye tope na asubuhi linaomba ruhsa kwa Allah kuchomoza..🤣asa kitabu kina story kama hii nikichukulie serious kwa lipi
 
Thank u for understanding
 
Jibu swali kwa hoja...Quran inasema jua usiku linaingia kwenye tope na asubuhi linaomba ruhsa kwa Allah kuchomoza..🤣asa kitabu kina story kama hii nikichukulie serious
Leta ushahidi wa aya.. why empty words?
 
Leta Aya yeyote katika qur an ambayo una mashaka nayo.
Unahisi ndio inakufanya uamini qur an ni uongo.. iweke hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…