Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

dunia imeanza miaka bilion ngapi iliyopita??
na binaadam wa kwanza kuishi??bila sahaka unatumia rejea ya historia za mashuleni.

nini maana kujielewa!!!yaani kujielewa kwako kuna uhusiano gani na story hizi za vitabu!!!

history ndio msingi wa elimu zote,hata unapotaka kuegemea kama rejea ni history ndio utaitumia,ambayo bado huwezi kuitetea kwa ushahidi kwamba ni kweli.sijui nayo inakuwa uongo kwa fikra zako??

wewe haupo katika kundi la wasioziamini,wewe uko kwenye kundi la wanaozikataa,kundi la wasio ziamini huwa wana hoja makini sana.

unakataa kwa sababu unajua magufuli ni rais mmoja tu kuwahi kutokea tz,kwa sababu unamjua magufuli,vipi nikikwambia franklin ni rais wa marekani utakataa au utakubali??

sasa mbona wewe hakuna unachokijua na ndio unatumia hiyo kuwa sababu ya kukataa ??
yaani useme wewe ni mrefu sababu sikujui nakataa kwamba hapa sio kweli.
Bac tuwe serious niambie kuwa unaamini kua miaka elfu 6 iliyopita Mungu aliumba kila kitu Kama tunavyoona now in 6 days na binadamu wawili walioshi na wanyama wote duniani katika Bustani na nyoka aliyeongea aliwapa tunda wakala ndo shida zikaanza na baada ya hapo akaja mfufua wafu ambae nae ni Mungu na akafa akafufuka na yeye akapaa mawinguni (bila kufa kwa kukosa oxygen na mambo ya pressure) na atarudi kipindi wanafunzi wake wapo kuja kumaliza dunia .. 😁tell me we ni mtu unajielewa na unaamini this is true
 
Niliacha kuamini kwenye misaada ya wazungu mwanzo nilijua wanatupatia misaada ya dawa sababu wanatupenda kumbe wanatupatia ili waendelee kutucontrol tusiwe na kauli kwao
 
Mambo mengi tu. Kuongeza maarifa kunatufanya tutupilie mbali imani za zamani. Tunatakiwa tuwe watu wa kutafuta ukweli na walio tayari kubadilika tukikutana na ukweli mpya.

1. Nilikuwa naamini Yesu ni Mungu kumbe siyo.
2. Niliamini demokrasia ni nzuri kuliko udikteta kumbe siyo.
3. Niliamini USA ndiyo kilele cha ubora, kumbe ni shithole kama shitholes zingine.
4. Niliamini CHADEMA ni chama cha Maana kumbe hamna kitu.
5. Niliamini ubepari na soko huria kumbe ni hovyo kabisa.
Yote sikupingi!
 
Mimi niliachana na imani za dini baada ya kuelewa Evolution na nikaachana na Mungu baada ya kuelewa immune system inavyofanya kazi.





Sayansi imeniokoa kutoka kwenye dimbwi la ujinga mkuu
Sawa sawia!
 
Mimi binafsi nilikua naamini mungu yupo ila nikaja kugundua ni hadithi tu za alinacha za kutunga zisizo na ukweli wowote.

Biblia ni kitabu kilichotungwa na watu. Quran kama inavyoeleza yenyewe iliandikwa na watu ambao hawakufika hata darasa la pili, thinking yao ni kama ya watoto wa chekechea.

Mungu hayupo, ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu.
Mwamba upo sahihi kabisa, naona watu wanakutisha hapa...usitishike baki na msimamo huohuo😆😂....
Mi naungana na wewe kwamba haya mavitabu yametungwa tu, hasusani Quran ni kitabu chenye Mambo ya kitoto sana na ujinga mwingi. Ila kusema moja kwa moja kwamba Mungu hayupo, hapo naomba ubaki mwenyewe.
 
Wewe mwenye hoja mbona huzitoi?
Alafu ni aibike kwa kipi ? Katika kutafuta elimu Kuna stage nne, Bahati mbaya wewe upo stage ya kwanza katika kujifunza katika stage hii Mtu hudhani anajua kila kitu na hapa mtu huwa anajifungia katika cage ya kudhani kuwa hayo anayo ya elewa ndio kweli, bila kujiuliza hivi hichi ninacho kiita kweli ni kweli ndio kweli?. There is alot of things beyond science my friend , Ongeza hekima yako katika kujifunza utajua mambo mengi ila kwa level yako you are so weak to argue this kind of topic.
Anyway...Nisaidie na hili swali pia mwanasayansi mbobezi wa karne hii.
What is origin of solar system?
Mkuu sijakuja kubishana ila maswali yako ya asili ya mfumo wa jua na dunia yanajibika kisayansi tena ukifatilia utaelewa vizuri tu. Soma makala mbalimbali au search youtube utapata majibu yote. Asante
 
Mimi nilikuwa naamini upendo wa dhati huja pale mnapokuwa karibu. Lakini nilikuja kubadilisha mtazamo pale nilipogundua upendo wa kweli upoo katika kujaliana, kuheshimiana na kubebeana mapungufu(kuwa ngao kwa wengine). Kwa sababu mtu mnaweza kuwa nae karibu akakuigizia maisha kwasababu ana lengo la kupata kitu fulani ila mkiwa mbali upendo wa dhati hakuna kabisa
 
Mwamba upo sahihi kabisa, naona watu wanakutisha hapa...usitishike baki na msimamo huohuo[emoji38][emoji23]....
Mi naungana na wewe kwamba haya mavitabu yametungwa tu, hasusani Quran ni kitabu chenye Mambo ya kitoto sana na ujinga mwingi. Ila kusema moja kwa moja kwamba Mungu hayupo, hapo naomba ubaki mwenyewe.
ila bible haina utoto au sio...hahaha! IMANI NI UPOFU!. me nadhani mtu makini ni yule anayeuliza kila kitu na kuchunguza kila kitu kabla ya kukikubali. Dini wameletewa babu zetu nasi tumezaliwa tumezikuta. Mtu makini ni yule anayechunguza kutaka kujua ukweli, usiwe mpofu wa dini. inawezekana dini zote haziko sahihi na kwamba ni hadithi za kutungwa tu na inawezekana pia mojawapo kati ya hizi dini ikawa ina ukweli ndani yake. CHUNGUZA MTU WANGU USIWE MPOFU WA DINI KISA UMEZALIWA NA KULELEWA KWENYE DINI FULANI!
 
Niliamini kwenye kua uyaone ila sasa nimekua na sijayaona mpaka sasa na bado nipo njia panda sijui niende wapi
 
ila bible haina utoto au sio...hahaha! IMANI NI UPOFU!. me nadhani mtu makini ni yule anayeuliza kila kitu na kuchunguza kila kitu kabla ya kukikubali. Dini wameletewa babu zetu nasi tumezaliwa tumezikuta. Mtu makini ni yule anayechunguza kutaka kujua ukweli, usiwe mpofu wa dini. inawezekana dini zote haziko sahihi na kwamba ni hadithi za kutungwa tu na inawezekana pia mojawapo kati ya hizi dini ikawa ina ukweli ndani yake. CHUNGUZA MTU WANGU USIWE MPOFU WA DINI KISA UMEZALIWA NA KULELEWA KWENYE DINI FULANI!
Sahihi
 
Mimi niliachana na imani za dini baada ya kuelewa Evolution na nikaachana na Mungu baada ya kuelewa immune system inavyofanya kazi.





Sayansi imeniokoa kutoka kwenye dimbwi la ujinga mkuu
Ongezea nyama kivip mkuu
 
Mwamba upo sahihi kabisa, naona watu wanakutisha hapa...usitishike baki na msimamo huohuo😆😂....
Mi naungana na wewe kwamba haya mavitabu yametungwa tu, hasusani Quran ni kitabu chenye Mambo ya kitoto sana na ujinga mwingi. Ila kusema moja kwa moja kwamba Mungu hayupo, hapo naomba ubaki mwenyewe.
Sure tatizo watu wanachanganya Mungu kuwepo na dini Yao kuwa kweli...Quran Ina Mambo ambayo hata mtoto wa la tatu hawezi amini kuwa ni kweli .Ila inabidi aamini coz katishiwa Moto na pia jamii itamtenga...Ila ni upuuzi tu
 
ila bible haina utoto au sio...hahaha! IMANI NI UPOFU!. me nadhani mtu makini ni yule anayeuliza kila kitu na kuchunguza kila kitu kabla ya kukikubali. Dini wameletewa babu zetu nasi tumezaliwa tumezikuta. Mtu makini ni yule anayechunguza kutaka kujua ukweli, usiwe mpofu wa dini. inawezekana dini zote haziko sahihi na kwamba ni hadithi za kutungwa tu na inawezekana pia mojawapo kati ya hizi dini ikawa ina ukweli ndani yake. CHUNGUZA MTU WANGU USIWE MPOFU WA DINI KISA UMEZALIWA NA KULELEWA KWENYE DINI FULANI!
Kwani amesema bible sio utoto...zote ni mule mule...tofauti ni kwamba mtume Muhammad kajifanya anajua kila kitu mpaka kabugi...anaforce kujua jibu la kila kitu mpaka anajiaibisha..kwenye Bible huwezi ona mambo ya jua kuzama kwenye tope au kuomba ruhsa kwa Mungu kutokea asubuhi..
 
Mkuu sijakuja kubishana ila maswali yako ya asili ya mfumo wa jua na dunia yanajibika kisayansi tena ukifatilia utaelewa vizuri tu. Soma makala mbalimbali au search youtube utapata majibu yote. Asante
Hata na ivyo atubishani mkuu tunaelimishana tu, Embu nielezee japo kwa kifupi origin of man na origin of solar system japo kwa kifupi. Let's start
 
🤣 Hivi hujanielewa... niambie biblia imesema Nini kuhusu solar system...zaidi ya kusema jua mwezi na nyota zote zimewekwa angani Kama tochi ndani ya siku moja wakati dunia imetengenezwa siku tatu... Mimea imekuwa kabla ya jua kuwepo, ukienda kwenye Quran jua linazama kwenye tope asubuhi linamwomba Allah kuchomoza...afu unataka niamini hivi vitabu vinielezee solar system..kwamba nyota zinaweza kuangushwa na mkia wa dragon, anga ni ceiling board ...kweli. Hebu tue serious. Mi kuamini Mungu yupo sio lazma niamini upuuzi ulioandikwa na wajinga
Shida yako ni kuwa hata hiyo qur an huijui yaani qur an huijui wala sayansi huijui alafu umechagua kuwa upande wa sayansi ambayo nayo huijui.. Daah !
 
Niliacha kuamini kwenye misaada ya wazungu mwanzo nilijua wanatupatia misaada ya dawa sababu wanatupenda kumbe wanatupatia ili waendelee kutucontrol tusiwe na kauli kwao
Kabisa huu ndio ukweli
 
Mambo mengi tu. Kuongeza maarifa kunatufanya tutupilie mbali imani za zamani. Tunatakiwa tuwe watu wa kutafuta ukweli na walio tayari kubadilika tukikutana na ukweli mpya.

1. Nilikuwa naamini Yesu ni Mungu kumbe siyo.
2. Niliamini demokrasia ni nzuri kuliko udikteta kumbe siyo.
3. Niliamini USA ndiyo kilele cha ubora, kumbe ni shithole kama shitholes zingine.
4. Niliamini CHADEMA ni chama cha Maana kumbe hamna kitu.
5. Niliamini ubepari na soko huria kumbe ni hovyo kabisa.
Namba 2.tunafanana niliamini udikiteta nikitu kibaya kumbe sio ..niliamini democracy ndio mfumo mzuri kumbe sio.
 
Back
Top Bottom