Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

😁😁😁😁,nawaza kwa nyumba zetu za mjini itabidi uondoe watu wote nyumbani. Wasipatwe na majitaka
Hao nilishuhudia walikuwa watoto sasa sipati picha jivi la mtu mzima inakuwaje,, waliniambia kuwa wakwenda km mie walikuwa wanapigwa bomba wanakunya,, fresh maisha yanaenda hawaoni km ni ajabu kabisa
 
Hao nilishuhudia walikuwa watoto sasa sipati picha jivi la mtu mzima inakuwaje,, waliniambia kuwa wakwenda km mie walikuwa wanapigwa bomba wanakunya,, fresh maisha yanaenda hawaoni km ni ajabu kabisa
Au tufungue hii Clinic hapa mjini nakusanya maoni ya wadau wanahitaji hii huduma 😁😁
 
Au tufungue hii Clinic hapa mjini nakusanya maoni ya wadau wanahitaji hii huduma 😁😁
Kwa walivyokuwa wananisimulia hiyo kitu inasaidia kuweka mwili vizuri, inaongeza nguvu, na ni tiba kwa magonjwa ya vichomi, kutopata choo, au choo kigumu, na wanasema baada ya hapo mwili unausikia vizuri zaidi ya kuoga yani,,,, ila tatizo bomba tu na lazima ubon'goeπŸ™„πŸ™„πŸ™„hapana ilinishinda
 
Hii kitu niliwahi kuiona backthen nikiwa mdogo, ilikuwa ni morogoro, lakini waliokuwa wanafanya hii ni ndugu zangu wa mbeya, Wenyewe wanaita Ndonda

wanachukua maji na ule unga mweusi wa karbon kwenye Battery (Drycell) kisha wanachanganya sijui kwa ratio ipi

kisha wanachukuliwa watoto waingizwa matakoni.

sijui ilikuwa ni dawa ya nini
 
Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri, hata Mshana Jr atakuwa ameelewa sasa
 
Ni mila yao au wanaingizwa chaka?
 
Hio wanayo wamatengo wangoni wa mbinga wao wanachemsha mwarobaini kisha wanapiga Bomba kwenye ndogo kama dawa ya minyoo Kwa watoto, sina hakika kama hata wakubwa wanafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…