Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
Kule kundu linapo elekea ndipo elekea ndipo kinyesi huelekea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Najaribu kuwaza ubonge wa mwijaku.
 
Niliwahi shuhudia watoto wanapigwa hiyo kitu kipindi hicho ndo corona imeanza tu,, yanaruka kama mpira wa maji uliopasuka nikawa nashangaa wenyeji wakanishawishi na mimi eti nipigwe bomba nikakataa aisee,,

Wanasema hata mgonjwa akipigwa hiyo kitu anapata nafuu na nguvu,[emoji44]

Tembea uone, duniani kuna mambo
Mg[emoji3064] wanatumia kilainishi ama kavkav?
 
Hawajabong'oa vizuri hao,, kuna picha ngoja niitafuteView attachment 2467165


Hiyo hapo,, umeona kiuno kilivyobinuliwa ndivyo na wapigwa bomba inabidi wabong'oe namna hiyo hiyo, kumbuka pia matako hupekenyuliwa ili tundu lionekane,, sasa hapo ndo panapokuwa pagumu na kitendo cha bomba kuingizwa dawa kumiminwa na kuchomolewa,,,, aaaaahh kiukweli nilichoka niliuliza maswali mengi ila na wao walinishangaa ukubwa wote sijapigwa bomba waliniona kama mchafu mara nitakuwa naumwa mgongo sana nk
Hao wanapenda na wameshanigewa na utamaduni wa kupigwa mabomba.
Kisa cha kupigwa mabomba nini wakati wanasai wana dawa inafanya kazi zaidi ya hiyo ya kupigwa bomba.
Dawa ya Wamasai inakuvurugua tumbo hasa, utaharisha siku nzima, yaani wewe chooni utapaona ndiyo the best place on earth.
 
Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yani me nipanue mwengine aje apembue makatamavi then akuweke bomba huoni una hatarish afya yako ya akili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuuu!!!!
 
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume.

Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.

Baada ya muda fulani, hupatwa na tumbo la kuhara ambapo uharisha mafuta kwa siku nzima hadi ikate yenyewe.

Baada ya hapo wanaamini ufanisi kitandani huongezeka sana.
Hii nimesikia ni kweli ila ni kwa ajili ya kulainisha kinyesi hiyo ya nguvu za kiume ndio nasikia kwako..
 
Back
Top Bottom