mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Hata wangekunywa? Au ni sumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu wanapenda ndio maana hawanywiHata wangekunywa? Au ni sumu?
Nakazia. Umwinoo[emoji1787][emoji1787].nilichokua najua ni kwa watoto tuuu. Kumbe hadi mijitu mizimaWenyewe wanaitwa Mwino kama sio Mwano [emoji23]
Kule kundu linapo elekea ndipo elekea ndipo kinyesi huelekea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
Mkuuu hata vichanga huwa vinatandikwa umwino.Mmoja miezi sita mwingine miaka km miwili kasoro, wote wa kiume
Mg[emoji3064] wanatumia kilainishi ama kavkav?Niliwahi shuhudia watoto wanapigwa hiyo kitu kipindi hicho ndo corona imeanza tu,, yanaruka kama mpira wa maji uliopasuka nikawa nashangaa wenyeji wakanishawishi na mimi eti nipigwe bomba nikakataa aisee,,
Wanasema hata mgonjwa akipigwa hiyo kitu anapata nafuu na nguvu,[emoji44]
Tembea uone, duniani kuna mambo
Mama weeeeKama hii ndio sindano ya ng'ombe basi mpaka hapa asilimia 100 marinda wameyapoteza
View attachment 2466919
Kweli kabisa hii niliwahi kusikia 😂 ,ni nani sasa aliyewadanganya hao ndugu zetu?Wanaoliwa ndogo pia hufanya enema ili kuondoa mabaki ya samadi kabla ya kugegedwa
Kuna ulimbukeni wa hali ya juu sana kwa wanaume wa Kigoma😅Imenishangaza kwamba wanafanya hivyo kupunguza mafuta ya kiunoni 😳 nadhani kukimbia na mazoezi ya kata tumbo yangewasaidia kwa haraka zaidi kuliko kujiingiza sindano za ng'ombe 😂
Aisee, kwahiyo hiyo dawa inachuruzika kwenye mfereji wa kunduh hadi tumboni?Wanabong'oa kiuno na kutanua matako ili kupitisha bomba kwenye kunduh
Hao wanapenda na wameshanigewa na utamaduni wa kupigwa mabomba.Hawajabong'oa vizuri hao,, kuna picha ngoja niitafuteView attachment 2467165
Hiyo hapo,, umeona kiuno kilivyobinuliwa ndivyo na wapigwa bomba inabidi wabong'oe namna hiyo hiyo, kumbuka pia matako hupekenyuliwa ili tundu lionekane,, sasa hapo ndo panapokuwa pagumu na kitendo cha bomba kuingizwa dawa kumiminwa na kuchomolewa,,,, aaaaahh kiukweli nilichoka niliuliza maswali mengi ila na wao walinishangaa ukubwa wote sijapigwa bomba waliniona kama mchafu mara nitakuwa naumwa mgongo sana nk
Sawa mtoa rohoOna sasa, ungekufa ungesemaje? Si bora ungekubali tu kuliko kuteseka na homa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani me nipanue mwengine aje apembue makatamavi then akuweke bomba huoni una hatarish afya yako ya akili.
Hii nimesikia ni kweli ila ni kwa ajili ya kulainisha kinyesi hiyo ya nguvu za kiume ndio nasikia kwako..Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume.
Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.
Baada ya muda fulani, hupatwa na tumbo la kuhara ambapo uharisha mafuta kwa siku nzima hadi ikate yenyewe.
Baada ya hapo wanaamini ufanisi kitandani huongezeka sana.
Hivyo ndo vinapigwa mara kibao yani huko kawaida kabisa huyo dogo alipigwa kama mara tatu hivi, yani kwa siku tatu mfululizoMkuuu hata vichanga huwa vinatandikwa umwino.