Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume.

Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.

Baada ya muda fulani, hupatwa na tumbo la kuhara ambapo uharisha mafuta kwa siku nzima hadi ikate yenyewe.

Baada ya hapo wanaamini ufanisi kitandani huongezeka sana.
Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume.

Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.

Baada ya muda fulani, hupatwa na tumbo la kuhara ambapo uharisha mafuta kwa siku nzima hadi ikate yenyewe.

Baada ya hapo wanaamini ufanisi kitandani huongezeka sana.

Bombaaaaaa
 
Ina maana mpaka uzi ulipofikia hakuna aliyewahi kupigwa hii bomba aje atoe ushuhuda.
 
Unajifanyaga malaika mtukufu sometime unakera,

Kujifanya unatupa habari za china na japan ili tuone ishu ya kupigwa bomba ni veeeery spesho,, inasaidia sikatai ila bado njia yake ni ngumu sana kuwekewa bomba mkunduni unafikiri ni sahihi,, ungekuja na njia nyingine mbadala hapo sawa

Nimekujibu bila kusoma comment yako yote, sipendagi hata kujibishana na wewe
But why this hate my dear whyyyyy [emoji24]
 
Kwao ni utamaduni na asiepigwa bomba wanamuona km ni mchafu,, ni aina flani ya kuflash mwili,, na kitendo cha kuimimina dawa tu kunduni ni papo hapo kinyesi kinamwagika kwahiyo kule kundu lilipoelekezwa hakai mtu vinginevyo utakula kinyesi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao nilishuhudia walikuwa watoto sasa sipati picha jivi la mtu mzima inakuwaje,, waliniambia kuwa wakwenda km mie walikuwa wanapigwa bomba wanakunya,, fresh maisha yanaenda hawaoni km ni ajabu kabisa
Tamaduni
 
Walisema inatibu chango, ngiri, kuongeza nguvu za kiume na hata za kike,, hii ishu ni ngumu watu kutoa ushuhuda sababu itaonekana marinda hawana ila kwa mujibu wa wale wenyeji wangu kule ni utamaduni lazima upigwe bomba kama njia ya kuweka mwili sawasawa, inazuia kuugua ovyo ovyo pia,,


Kwa macho yangu yule mtoto ilitakiwa alazwe kabisa lakini baada ya kupigwa hiyo kitu alipata nafuu ya ajabu sana kama vile kile kinyesi ndo kilikuwa kinamletea kuugua, sijui kina uhusiano gani hapo na mtoto alikuwa anaumwa malaria, kikohozi ni zile homa za watoto
Najiuliza kabla ya teknolojia ya Sindano hasa hiyo ya ng'ombe walikuw wanatumia nini kuingiza huo MCHANGANYIKO huko ktk Kunduh.
 
Mi sikuona 💉, ila kilikuwa kibomba cha plastic chembamba hivi kuzidi mdomo wa 💉,

Nachokumbuka yule dogo lile bomba lilipokuwa likitolewa tu hapo hapo na kinyesi kinatoka kwa kasi mara ya kwanza yaliruka mpaka miguuni kwa mama yake
Sisi tumetumia sana hizi syringe za hospital (Mls 5 to 10). Inawezakana dawa zinatofautina from eneo kwa eneo. Niliwahi wekewa hiyo kwa lengo la kutibu Amoeba. Niliharisha sana sana sana, hapo nina beseni ghetoni kwangu ndilo limekuwa choo.
 
Niliwahi shuhudia watoto wanapigwa hiyo kitu kipindi hicho ndo corona imeanza tu,, yanaruka kama mpira wa maji uliopasuka nikawa nashangaa wenyeji wakanishawishi na mimi eti nipigwe bomba nikakataa aisee,,

Wanasema hata mgonjwa akipigwa hiyo kitu anapata nafuu na nguvu,[emoji44]

Tembea uone, duniani kuna mambo

Nakumbuka majirani zetu utotoni hapa Daslam walikuwa wanawafanyia watoto wao tena nje tuu, mpira kama ule wa kumwagilia umeingizwa kwenye kidumu cha lita 5 kilichokatwa ambako dawa inatiwa then the other side ya bomba inawekwa kunako, ile vuuu ikichomolewa hachukui round dogo anahara kama bata.
 
Wenyewe wanaitwa Mwino kama sio Mwano [emoji23]
Mwino kwa watoto ipo pale mtoto hapati hamu ya kunya na bomba lake ni mrija wa kalamu ya Bic. Hayo ya sindano ya ng'ombe mleta mada aulizwe mwenyewe. Inawezekana alitaka ufanisi wa kitandani wakamwambia hiyo kitu sasa sijui alikubali au alikataa
 
Mwino kwa watoto ipo pale mtoto hapati hamu ya kunya na bomba lake ni mrija wa kalamu ya Bic. Hayo ya sindano ya ng'ombe mleta mada aulizwe mwenyewe. Inawezekana alitaka ufanisi wa kitandani wakamwambia hiyo kitu sasa sijui alikubali au alikataa
Mmeanza kamba, kimrija cha kalamu!!😂😂
 
Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza mchanganyiko huo na kujiingizia kwenye njia ya haja kubwa.
[emoji3064][emoji3064]
Mwisho wa kunukuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119]
 
Back
Top Bottom