Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.

Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.

Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.

Muda wote tuna kesha na maji vs energy.

Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...

Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni mwendo wa kuchimba tuu daily...

Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa.

Je, ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine?

View attachment 3190333
Mkuu poor brain, mi sio mchawi...



...Ni Hayo Tu!!!
 
Wakuu naona suala la energy limekua very serious aiseeee
Ohooo, mimi sio kwa kuambiwa tena kosa kubwa kabisa nililolifanya nilikua na kazi ya kuchimba shimo , nilipoona nimechoka sana nikanunua hiyo gabachori energy aisee ndani ya dakika 5 mbele moyo ulikua unaenda mbio kama ile sindano ya cherehani ,pumzi inakata miguu inaisha nguvuπŸ€’πŸ€’πŸ€’

Imefikia hatua nikiona tu chupa ya energy nywele zinasimama
 
Natamani kufanya kazi za jioni-usiku baada ya mishemishe za asubuhi na mchana

kwenye malengo yangu ya mwaka huu ipo[emoji736]
 
View attachment 3190336
Usiku una mambo mengi mno
Mda huu wa usiki kila mtu anautumia kivyake, kuna wale wa kulala. Kuna wale wa kuwanga, kuna wale mafundi ila kuna sisi wengine ambao keyboard ndo chakula chetu.

Kwangu mimi hizi kazi za usiku zimekua too much mpaka nasema hivi ni.lini takua na mpenzi ambaye anaelewa hizi harakati zangu.

Imagine unaweza tafutwa saa nane ya usiku ukaambiwa kinahitajiika kitu fulani. Wewe hapo utawasha PC na kuanza kufanya kazi.

Muda wote tuna kesha na maji vs energy.

Yaani kiufupi kulala inakua changamoto mno kazi zetu zinahitaji mda wote uwe active...

Bado ujapata assignment za watoto wa chuo hapo ndo utajuta ni mwendo wa kuchimba tuu daily...

Hakuna jmosi wala jpili... Kila siku ni kazi kazi.
Kwetu usingizi umekua adimu sana mpaka mwili umezoea sasa.

Je, ulishawahi kufanya kazi hizi za usiku mpaka ukawa upo bize na vitu vya ajabu ajabu kama mapenzi na umbamba mwingine?

View attachment 3190333
Niliwahi kupiga sana kazi za usiku kipindi hicho tunaiba mafuta ya transformers (miaka hiyo yalikuwaga dili sana mjini)
 
Back
Top Bottom