Je, wahafidhina ndani ya CCM, wameafiki Kwa shingo upande, maamuzi ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya kisiasa, Kwa vyama vyote?

Je, wahafidhina ndani ya CCM, wameafiki Kwa shingo upande, maamuzi ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya kisiasa, Kwa vyama vyote?

Nimeisikiliza Kwa makini Sana hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa Leo, huko Ikulu, wakati anaongea na viongozi wa vyama vya siasa nchini.

Kwa kweli Sina budi kumpongeza Rais wetu Samia Suluhu Hassan, Kwa msimamo wake Kwa kueleza kuwa kama Taifa, inabidi tujenge mshikamano, umoja na utulivu na vyama vyote vya kisiasa, kwani ndiyo nguzo kuu ya kutuletea maendeleo endelevu ya kudumu.

Alieleza zaidi kuwa hatuwezi kuujenga umoja huo kama tutaendelea kutowafanyia haki Kwa kutowatendea haki vyama vya upinzani, Kwa kuendelea kuwanyima haki yao ya kikatiba ya kuitisha mikutano ya hadhara ya kisiasa.

Jambo moja ninalojiuliza, ni Kwa vipi mtangulizi wake Hayati Magufuli, aliamua kuzivunja Sheria za nchi, ambazo zinaruhusu mikutano hiyo ya hadhara kwenye nchi hii ya mfumo wa vyama vingi vya kisiasa?😎

Alieleza kuwa wajibu wa Jeshi la Polisi ni kuilinda mikutano hiyo Ili ifanyike Kwa amani na wala siyo kuipiga marufuku isifanyike.

Rais aliendelea kueleza kuwa wao kama watawala, wangependa Sana kukosolewa, kwani ni Kwa njia hito inayoweza kuwafanya wajirekebishe na kuwatendea mambo mazuri watanzania, Kwa lengo la kuwapatia maendeleo.

Lakini ingawa uamuzi huo ameutoa kama Rais na wakati huo huo kama Mwenyekiti wa chama chake Cha CCM, ninaamini kabisa kuwa ndani ya chama chake Kuna wahafidhina wachache ambao Bado wanaunga mkono maamuzi ya Hayati Magufuli ya kuipiga marufuku mikutano hiyo hawatapenda maamuzi hayo na wangependa kuendeleza malumbano na kutotenda haki dhidi ya vyama vya upinzani

Kwani wahafidhina hao wanaamini kuwa Kwa kuruhusu mikutano hiyo ya hadhara Kwa vyama vya siasa, maovu yao yatawekwa hadharani na hivyo kuzifanya nafasi zao za kiutendaji Serikalini ziwe katika hati hati😃
 
Utakuwa unaota wewe ukiona wamekubali ujue Kuna plan B
Yaani ni ajabu watu hawaoni kua ccm ndio watanufaika na hii kitu, mbinu ni ileile wagawe uwatawale!!! Hapo kila mpinzani ataona ana nafasi ya kuwa kinara wa upinzani halafu ndani ya ccm mchezo umeisha tayar mama tunae hadi 2030!! Walah ccm wametusoma hadi alama za unyayo zetu wanazijua!!🙌🙌
 
Ndo mwisho wa CCM unakuja
Nadhani tangu mwaka 1992 mikutano ya hadhara ya kisiasa ilikuwa imeruhusiwa mpaka hapo 2016 ndipo ilipopigwa marufuku kinyume na katiba ! Lakini Ccm bado mwisho wao haujawahi kufika 🙄. Tusubiri labda huu utabiri 😅
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Yaani ni ajabu watu hawaoni kua ccm ndio watanufaika na hii kitu, mbinu ni ileile wagawe uwatawale!!! Hapo kila mpinzani ataona ana nafasi ya kuwa kinara wa upinzani halafu ndani ya ccm mchezo umeisha tayar mama tunae hadi 2030!! Walah ccm wametusoma hadi alama za unyayo zetu wanazijua!!🙌🙌
Na huo ndio ukweli mchungu !! It’s business as usual !! Twende kazi !!!
 
Yaani ni ajabu watu hawaoni kua ccm ndio watanufaika na hii kitu, mbinu ni ileile wagawe uwatawale!!! Hapo kila mpinzani ataona ana nafasi ya kuwa kinara wa upinzani halafu ndani ya ccm mchezo umeisha tayar mama tunae hadi 2030!! Walah ccm wametusoma hadi alama za unyayo zetu wanazijua!!🙌🙌

Wengefaidika wangepiga marufuku? Au unacheza mind game?
 
Yaani ni ajabu watu hawaoni kua ccm ndio watanufaika na hii kitu, mbinu ni ileile wagawe uwatawale!!! Hapo kila mpinzani ataona ana nafasi ya kuwa kinara wa upinzani halafu ndani ya ccm mchezo umeisha tayar mama tunae hadi 2030!! Walah ccm wametusoma hadi alama za unyayo zetu wanazijua!!🙌🙌
Akili kubwa 💪
 
Nimeisikiliza Kwa makini Sana hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa Leo, huko Ikulu, wakati anaongea na viongozi wa vyama vya siasa nchini.

Kwa kweli Sina budi kumpongeza Rais wetu Samia Suluhu Hassan, Kwa msimamo wake Kwa kueleza kuwa kama Taifa, inabidi tujenge mshikamano, umoja na utulivu na vyama vyote vya kisiasa, kwani ndiyo nguzo kuu ya kutuletea maendeleo endelevu ya kudumu.

Alieleza zaidi kuwa hatuwezi kuujenga umoja huo kama tutaendelea kutowafanyia haki Kwa kutowatendea haki vyama vya upinzani, Kwa kuendelea kuwanyima haki yao ya kikatiba ya kuitisha mikutano ya hadhara ya kisiasa.

Jambo moja ninalojiuliza, ni Kwa vipi mtangulizi wake Hayati Magufuli, aliamua kuzivunja Sheria za nchi, ambazo zinaruhusu mikutano hiyo ya hadhara kwenye nchi hii ya mfumo wa vyama vingi vya kisiasa?😎

Alieleza kuwa wajibu wa Jeshi la Polisi ni kuilinda mikutano hiyo Ili ifanyike Kwa amani na wala siyo kuipiga marufuku isifanyike.

Rais aliendelea kueleza kuwa wao kama watawala, wangependa Sana kukosolewa, kwani ni Kwa njia hito inayoweza kuwafanya wajirekebishe na kuwatendea mambo mazuri watanzania, Kwa lengo la kuwapatia maendeleo.

Lakini ingawa uamuzi huo ameutoa kama Rais na wakati huo huo kama Mwenyekiti wa chama chake Cha CCM, ninaamini kabisa kuwa ndani ya chama chake Kuna wahafidhina wachache ambao Bado wanaunga mkono maamuzi ya Hayati Magufuli ya kuipiga marufuku mikutano hiyo hawatapenda maamuzi hayo na wangependa kuendeleza malumbano na kutotenda haki dhidi ya vyama vya upinzani

Kwani wahafidhina hao wanaamini kuwa Kwa kuruhusu mikutano hiyo ya hadhara Kwa vyama vya siasa, maovu yao yatawekwa hadharani na hivyo kuzifanya nafasi zao za kiutendaji Serikalini ziwe katika hati hati😃
Ile familia ya watu wazuri hawafi iko kwenye tafakuri kubwa sana leo Samia amewaacha njia panda
 
FljXm9jXEAIv_-J
 
😆😆😆😆😆🐗🐗🐗
 

Attachments

  • download.mp4
    961.1 KB
Hii kitu maridhiano ni upumbavu mtupu, kwanza wanaridhiana kuhusu nini??? Hapa ilichotakiwa kupewa kipa umbele ni katiba mpya basi, maana haya yanayoitwa maridhiano mpaka 2025 watakua bado wanajadiliana tu na matokeo yake ni haya;

Winner = CCM aka Chama Cha Mambuzi
Loser = Upinzani ie CDM.
wapinzani wangeingia 2025 bila huu utumbo wa maridhiano matokeo yangekua haya:
Winner = CDM
Loser = CCM ila ndio hivyo wapinzani wamedanganyika wamauvaa mkenge...kwisha habari yao maana hio kuruhusu mikutano wamepangiwa na cha kuongea la sivyo mkong'oto utawapata toka kwa chawa wa Hangaya, na hao chawa ni Polisi na ma TISS..

Mangi sijui kapotea wapi hadi kapigwa changa la macho namna hii.
Asali mkuu,
Njaa ikihamia tumboni unaweza kumuamkia hata mtoto uliemzaa mwenyewe.

Mangi kashalambishwa.
 
Back
Top Bottom