Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

Nikwambie tu hakuna muislam anaweza kumpigia kura Gwajima, inawezekana hupendi kulisikia hili lakini ndio ukweli, jaribu kutafuta viongozi wa ccm kawe ambao niwaislam, kisha uwaulize juu yakumchagua Gwajima kama wanaweza kumpa kura, Muislam hayupo wakumpa kura gwajima.
Nuhu wa Mji Mpya kura take ni kwa Gwajima
 
Hata Sisi wakristo wenzake tunashangaa na kauli za gwajima juu udini wake..... itakuwa ni UJINGA na udini wa Hali ya juu kama huyu mjinga mcheza-porn Kama ataingia bungeni.

Na kama ataingia Bungeni basi tutegemee wabunge wa Viti maalumu kupigwa miti kila siku na huyu shetani
Sio vizuri kumwita Binadamu mwenzio shetani. Punguza jazba

Hapahapa kwenye maandishi yako wewe mwenyewe umeshaanza kubagua binadamu mwenzio
 
Hivi hawa waislam, wana mchango gani katika taifa ambao ni zaidi ya Watanzania wengine wasio waislam ambao ni wengi zaidi?

Kwa nini uislam umejaa sensitivity na malalamiko hata pasipo sababu?

Ni mfumo gani ndani ya nchi ambao umewabagua waislam kwa kuwa ni waislam?

Ni nani aliyetendewa vibaya kwa sababu ya kuwa na dini ya uislam?

Historia inaonyesha miaka ya nyumba Tanzania iliwahi kuwa na viongozi wakuu wa nchi Waislam ambao walipigiwa kura na watu wa dini zote na waisokuwa na dini. Kwa nini husemi kwamba walitumia kura za watu wasio waislam kwa maslahi yao?

Naomba utafute maarifa ambayo yanapatikana kwa kumcha Bwana, kuliko kuongozwa na hisia zitokanazo na hofu ya udogo wa kiwango.

Jitahidi kuwa Mtanzania anayejali utaifa badala ya ubinafsi na ubaguzi.
Umeeleza vizuri sana, ila Hawa waislam huwa ni watu wa kulia lia tu na kuona kuwa wanaonewa

Wanapenda kubebwa tu na serikali badala ya kujijenga

Wabillah Tawfiq,
 
Umeeleza vizuri sana, ila Hawa waislam huwa ni watu wa kulia lia tu na kuona kuwa wanaonewa

Wanapenda kubebwa tu na serikali badala ya kujijenga

Wabillah Tawfiq,

Hawa watu hawawezi kuwa na amani na mtu yeyote hata kama wangebaki peke yao duniani. Angalia hata kule wameua watu wote na sasa wako peke yao vile wanavyomalizana.

Wanahitaji kumjua Mungu wa kweli badala ya kung'ang'ania kitu wasichokijua ambacho wamelazimishiwa kukilinda kwa mapanga na matusi!. Eti Mungu badala ya kuwalinda watu wake, watu wake wanamlinda! Ni mzigo mkubwa mno.

Tuendelee kuwaombea kwa Mungu Yahweh ili awape neema ya wokovu, wamjue na kumpokea yeye ili pia wapate amani kutokana na upendo, utu wema, fadhili, upole, kiasi, uaminifu na furaha vitu ambavyo hawana na katika njia yao kamwe hawawezi kuvipata.

 
Hawa watu hawawezi kuwa na amani na mtu yeyote hata kama wangebaki peke yao duniani. Angalia hata kule wameua watu wote na sasa wako peke yao vile wanavyomalizana.

Wanahitaji kumjua Mungu wa kweli badala ya kung'ang'ania kitu wasichokijua ambacho wamelazimishiwa kukilinda kwa mapanga na matusi!. Eti Mungu badala ya kuwalinda watu wake, watu wake wanamlinda! Ni mzigo mkubwa mno.

Tuendelee kuwaombea kwa Mungu Yahweh ili awape neema ya wokovu, wamjue na kumpokea yeye ili pia wapate amani kutokana na upendo, utu wema, fadhili, upole, kiasi, uaminifu na furaha vitu ambavyo hawana na katika njia yao kamwe hawawezi kuvipata.

Aminaa.
 
Jiandae kisaikolojia maana propaganda zako hazitazuia chochote udini wako kaa nao mwenyewe, Gwajima humuwezi wewe ni level nyingine
Punguza mahaba kwa gwajima,kwani anaaingiziwa? Au alisema kweli?
 
Koma we ww n dini gan?unaweza kuongelea kitu ambacho huna taaluma nacho?mapenzi yenu ya siasa chafu yasikupeleke kuongelea dini za wengne ambazo huzijui
Ni wapi Mohamed alimtokea mtu akamsaidia?

Angalia kazi za Yesu zinavyomthibitisha kuwa ni mkuu.



Weka na wewe hapa nani alishawahi kuponywa na Mohamed.
 
Hivi hawa waislam, wana mchango gani katika taifa ambao ni zaidi ya Watanzania wengine wasio waislam ambao ni wengi zaidi?

Kwa nini uislam umejaa sensitivity na malalamiko hata pasipo sababu?

Ni mfumo gani ndani ya nchi ambao umewabagua waislam kwa kuwa ni waislam?

Ni nani aliyetendewa vibaya kwa sababu ya kuwa na dini ya uislam?

Historia inaonyesha miaka ya nyumba Tanzania iliwahi kuwa na viongozi wakuu wa nchi Waislam ambao walipigiwa kura na watu wa dini zote na waisokuwa na dini. Kwa nini husemi kwamba walitumia kura za watu wasio waislam kwa maslahi yao?

Naomba utafute maarifa ambayo yanapatikana kwa kumcha Bwana, kuliko kuongozwa na hisia zitokanazo na hofu ya udogo wa kiwango.

Jitahidi kuwa Mtanzania anayejali utaifa badala ya ubinafsi na ubaguzi.
Acha ujinga wewe? Hayobaliyouasema gwajima unaona Yana uhalali katika auala Hilo au na wewe umejaa mahaba kwa gwajima?
 
wewe ndugu ni mpumbavu tu kama walivyo wapumbavu wengine jana lilipotajwa jina la gwajima tu ukaandika unafanya kampeni mtu kwa mtu ili tu asipite kisa mkristo sasa amini usiamini huyo ndiyo mbunge wenu
Mwandishi upumbavu wake ni Nini,kunukuu aliyoyasema gwajima?
Nadhani upumbavu ni wako wewe kwa kuwa unatetea aliyoyasema gwajima,na upumbavu mwingine ni wa gwajima,muandishi Hana upumbavu.
 
Ah sisi tunaomgea humu nikama mbwa asieuma wala hatuna makali hata asipochaguliwa atapachikwa tu
 
Robert Heriel ndiye Kigogo 2o14. Chunguza uandishi wake na uwasilishaji hoja na viapo vyake. Na imani yake iliyojificha.




Naitwa Taikon muona mbele, october tukutane hapa.

Gwajima hawezi kuchukua jimbo la KAWE mimi nikiwepo, kama huniamini, subiri muda utakuaminisha
 
Mtoa mada yaelekea unataka Gwajima ashindwe lakini sio kwa bandiko hili ndugu yangu.

Taifa hili likiingia kwenye machafuko tutakaoumia ni sisi sio wanasiasa hivyo hebu Muombe Mungu akupe HEKIMA na BUSARA next time ujue nini cha kupost.

Ni hayo tuu, vinginevyo nikutakie mapumziko mema ya mwisho wa wiki.
 
matusi aliyomtukana Pengo hayakubaliki. Tunatembea na clips zake kwenye mikutano haaaa haaa
 
Back
Top Bottom