Kama havunji sheria mwacheni,Kama ambavyo mmewaacha wale waliojipa kazi ya kumsifia kila mtawala.Vipi Mzee Jenerali, unataka uteuliwe kama mshauri?
Maana kila utawala unaoingia madarakani ni shida kwako.
Ni mlevi pekee na mtu aliye undergoe frustration ndiye anaweza kuzungumza kirahisi eti Rais Samia haijui nchi!Bwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii
Huyu na kundi lake wanaishi kwa hela za mabeberu kwa kuendesha campeni za aina hii za kuwagawa watu na kuwakeep bussy . Hii ni kwa sababu ya kuwafanya mabeberu waweze kuendelea kuchota uchumi kirahisiBwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii
Hatari sana mkuu, akaanza kupanda karandinga uzeeni.Huyu Mzee anaweza pewa kesi isiyo na dhamana.
Kwani MANDELA alipanda utotoni?Hatari sana mkuu, akaanza kupanda karandinga uzeeni.
Okay kumbe ni dalali wa wenye pesa!.Huyu na kundi lake wanaishi kwa hela za mabeberu kwa kuendesha campeni za aina hii za kuwagawa watu na kuwakeep bussy . Hii ni kwa sababu ya kuwafanya mabeberu waweze kuendelea kuchota uchumi kirahisi
o what, wangapi wamepewa na maisha yanakwenda, kwaani ndio kesi itaziba midomo watu kudai haki zao?Huyu Mzee anaweza pewa kesi isiyo na dhamana.
Mandela alikuja kuwa rais baada ya miaka 27, huyu nae atakuwa hai muda huo?.Kwani MANDELA alipanda utotoni?
ULIMWENGU amekwambia anataka kuwa rais?Mandela alikuja kuwa rais baada ya miaka 27, huyu nae atakuwa hai muda huo?.
Mengine unaacha tu… atatuliaBwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii
Ni kama vile huwajui watawala wa kiafrika.ULIMWENGU amekwambia anataka kuwa rais?
Mtu kutoa maoni yake, tena kisheria , bila kuvunja sheria yeyote maarage mabich yaannza kudunda dunda, kuna mahali kamtaja AYUBU ama chief HANGAYA?
ndio ku-intatein haoNi kama vile huwajui watawala wa kiafrika.
Hili linahitaji discussion kweli???Huyu jamaa,kufilisika kwake ndio kunamsumbua sana,ni kwa vipi unaweza kusema kuwa samia haijui nchi hii,amekuwa waziri kwa serikali ya zanzibar,amekuwa waziri wa hamhuri ya muungano,amekuwa makamu wa rais wa nchi,amekuwa mjumbe wa kamati kuu ya ccm miaka 19,ameitembelea nchi hii kika sehemu,leo henerali anasema eti samia haijui nchi?
Yeye ana historia ipi ya kumshinda samia?
Kuwa mwandishi wa habari,kuwa msaidizi wa samora machel,kuwa kiongozi wa umoja wa vihana afrika?
Nonsense
Hii ni ya wakati gani?Bwana Jenerali kamuita Samia Suluhu Hassan Mgya akimaanisha haijui nchi hii -Tanzania
sioni kwa namna yoyote anavyoweza kumzidi Samia kuhusu kuijua nchi hii
Teteeni familia zenu na maisha yenu. Mnajikomba kwa Samia Samia, vitu vingine ata havina maana. Mzee kasema anamuomba aielewe nchi hii nchi ni ngum. Sasa hapo katukana nn au kavunja sheria zipi?