Kuna mabilioni yalikopwa ili kuimalisha bandari na bado tunapokea hayo mabilion yenye riba nafuu.unapozungumzia ufanisi mdogo ndio sababu ya kubinafsisha bandari ni kuitukana Serikali tu..
Serikali imeshindwaje kuifanya bandari kuwa na ufanisi? tuna mabosi wa bandari, mawaziri husika na Rais kama mamlaka ya uteuzi, wote hawa wameshindwa kuisimamia bandari?
Halafu Serikali bado inaleta watu dhaifu, incompetent na wasiojulika ka huyo Jerry Silaa kutetea mkataba. This is pathetic. Wao ndiyo watakuwa wamekatiwa halafu wanajaribu kusingixia upande wa pili. Ushahidi tayari tumeona kwa Msukuma na Kitenge.Bunge pamoja kuwa na spika mwenye Phd ya sheria bado wamepitisha mkataba batili.
Kwa biashara ya usafirishaji bandarini ni karibu kabisa.Yeah! Sasa Afrika Mashariki ni jirani na UAE!!? 😁
Hizo ni fikra za kijinga. Bandari inauzwaje?Kwa sababu ya upigaji mmeamua kuiza kabisa bandari kwa mkataba wa kijinga kabisa
Laiti hayo unayoyaainisha yangekuwa yameambatanishwa kwa maandishi katika ule mkataba kungekuwa hakuna huu msuguano.Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.
Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.
===
Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.
IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.
Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.
Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.
Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.
IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.
Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.
Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.
Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.
Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.
Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.
Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.
Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.
Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.
Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.
Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.
===
MASWALI NA MAJIBU
1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.
Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.
2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.
Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.
===
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Jerry angalau ana ujasiri
Washughulikieni acheni kucheka nao,Bora utoke kwenye reli ulinde maslahi Yao kuliko kuwaacha wanapotosha..
Huyu ndio anafaa Sasa nafasi ya Waziri wa Sheria na Katiba
Ni mawazo mediocre kweli kweli.Angeitendea haki jamii ya Watanzania kama angejibu hoja zote raised kuhusu mkataba was bandari.Anavyofanya ni kama mganga wa kienyeji tu.Finally atuambue nani kawanunua and for how much.Tunaomba CCM waache ujinga,wawe makini sana,swala hili halina Chama na si la kiasiasa.Watambue kwamba wananchi wote wapo united against it,na this time around hawatoboi.Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.
Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.
===
Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.
IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.
Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.
Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.
Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.
IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.
Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.
Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.
Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.
Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.
Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.
Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.
Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.
Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.
Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.
Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.
===
MASWALI NA MAJIBU
1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.
Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.
2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.
Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.
===
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Wao ndiyo watakuwa wamenunuliwa. Kamati Kuu imewaambia Watuelimishe. Sasa hiyo ndiyo elimu anayo Kuja nayo. Pathetic.Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.
Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.
===
Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.
IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.
Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.
Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshaji.
Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.
IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.
Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.
Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.
Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.
Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.
Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.
Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.
Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.
Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.
Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.
Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.
===
MASWALI NA MAJIBU
1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinautaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.
Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.
2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kweny HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.
Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.
===
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Waanze Zanzibar kwanza hakuna ubaguzi wala chuki hapa.Kumbuka kuwa mteja mkubwa wa bandari yetu ni Congo yenye madini ya kila aina, Zanzibar zaidi ya utalii so far hawana kitu chochote cha DP kuamua kuwekeza huko.
Akili zile zile za chuki na ubaguzi zinakusumbua mkuu Ulangupanjala.
Nilishasema kila nikiiona sura ya huyu Maza huwa naona potato 🥔Bunge pamoja kuwa na spika mwenye Phd ya sheria bado wamepitisha mkataba batili.
Naam Hawa ni wajinga kwelikweliMakubaliano ya kijinga yenye vipengele vya kijinga ndio vitakuwa msingi wa kutengeneza mikataba waache ujinga hawa wabunge
Mikataba ita base kwenye makubaliano yaliyoidhinishwa na bunge
Wasidhani watanzania wajinga kama wao
Unapitisha makubaliano ya kijinga kama bunge halafu unakuja na utoto kuwa ohh mikataba yaweza tengenezwa kinyume na makubaliano yaliyoidhinishwa na bunge
huyu mbunge hopeless kama bunge lenyewe lilivyo hopeless kuidhinisha hayo makubaliano yenye vipengele hopeless halafu wanatulisha matango pori kuwa ohh itangenezwa mikataba ambayo yaweza kuwa sio sawa na makubaliano yaliyoidhinishwa na bunge
Wasitutanie wananchi
Huyu mbunge mjinga kabisa
Kweli kabisa serikali inakua ya kipuuziunapozungumzia ufanisi mdogo ndio sababu ya kubinafsisha bandari ni kuitukana Serikali tu..
Serikali imeshindwaje kuifanya bandari kuwa na ufanisi? tuna mabosi wa bandari, mawaziri husika na Rais kama mamlaka ya uteuzi, wote hawa wameshindwa kuisimamia bandari?
Tuambie vifungu vya mkataba sisi tunavipingaTena mna bahati hata ya kujibiwa na huyo jeryy slaa nani apoteze muda wake kujibu wajinga.
nchi za kipumbavu sana hizi. ndio maana D. Trump aliamuaga kuusema ukweli.unapozungumzia ufanisi mdogo ndio sababu ya kubinafsisha bandari ni kuitukana Serikali tu..
Serikali imeshindwaje kuifanya bandari kuwa na ufanisi? tuna mabosi wa bandari, mawaziri husika na Rais kama mamlaka ya uteuzi, wote hawa wameshindwa kuisimamia bandari?