Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Jerry Silaa: Watu wote wanaozungumza kwa kufoka kwenye suala la Mkataba wa DP World wamenunuliwa

Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshadishaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinaitaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kwenye HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Wa kwanza akiwa Mwabukusi.
 
Intergovernmental Agreement lazima iwe na timeframe sio milele
Naongeza nyama Kwa kimombo mkuu mana wajinga wako wengi sana, hakuna IGA isiyokua na time frame!
  1. Inter-Governmental Agreement (IGA):Inter-Governmental Agreement refers to a legally binding agreement between two or more governments or governmental entities. IGAs are typically established to formalize cooperation, coordination, or joint initiatives on matters of mutual interest or concern. These agreements can cover a wide range of areas, including trade, defense, security, taxation, environmental issues, and more. IGAs are signed by authorized representatives of the participating governments and often outline the rights, responsibilities, and obligations of each party
 
Jerry Slaa amesema kweli, upigaji ulioibuliwa na mama ni mkubwa sana pale bandarini:

Huna hoja zaidi ya udini we ajuza
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Slaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshadishaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinaitaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kwenye HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Tanzania ni nchi ya ajabu sana, yaani unakuta mtu mwenye uelewa duni, anaamini anaweza kuwafundisha watu wanaomzidi akili na uelewa.

Huyu Jerry Slaa inaonekana hajawahi hata kuiona katiba ya UAE, anabwabwaja tu.

Katiba ya UAE inazuia Emirate yoyote kuingia kwenye mikataba ya mahusiano ya kimataifa, isipokuwa kama nchi hiyo inayoingia nayo makubaliano inapakana na Emerate hiyo, na makubaliano hayo yawe ni masuala yanayohusu mambo ya utawala.
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana, yaani unakuta mtu mwenye uelewa duni, anaamini anaweza kuwafundisha watu wanaomzidi akili na uelewa.

Huyu Jerry Slaa inaonekana hajawahi hata kuiona katiba ya UAE, anabwabwaja tu.

Katiba ya UAE inazuia Emirate yoyote kuingia kwenye mikataba ya mahusiano ya kimataifa, isipokuwa kama nchi hiyo inayoingia nayo makubaliano inapakana na Emerate hiyo, na makubaliano hayo yawe ni masuala yanayohusu mambo ya utawala.
Sio kweli, wewe ndiye unayetaka kupotosha watu humu. UAE wanafanya biashara na Uingereza pamoja na Marekani, unataka kusema huko ni karibu na UAE?.
 
Hilo umelisema wewe, ni nani kati ya mwanasheria wa serikali, waziri mkuu, waziri wa bandari aliwahi kusema hivyo.Siku zote wanatuambia faida za dpw
Wanakueleza faida za DP World kwa sababu hasara hazipo. Wewe ulitaka wakudanganye?
 
Kwani shida nini, si mjibu hoja?

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshadishaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinaitaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kwenye HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka

Ndio atubebe mavitabu yote yale pale mezani bila kuyatumia???? Mbwembwe apeleke kwao huko
 
Kwani shida nini, si mjibu hoja?

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
📌
 
Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa anazungumza na waandishi wa habari Muda huu kuhusu sakata la Bandari na uwekezaji wa DP World.



===

Kuna watu wanatumika kwa maslahi yao binafsi kumuondoa kwenye reli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye utendaji wake wa kazi.

Sitajadili watu, nitajadili mawazo yao. Nasikitishwa na hoja za kisheria ambapo baadhi ya wanasheria wanajadili kwa namna tofauti. Mkataba huu ni mkataba wa kimataifa chini ya Vienna convetion.

IGA kati ya JMT na Dubai ni Mkataba ama makubaliano yanayolenga kujenga msingi wa makubaliano, ni hatua ya kwanza ambapo hatua zingine zitafuata. Wapotoshaji wamejikita kwenye eneo hili tu, hawataji mbele kitaendelea nini.

Dubai ni mojawapo ya sehemu za falme za Kiarabu na Sheria yao inaruhusu kuingia makubaliano na nchi zingine kama Tanzania. Mkataba huu upo kisheria, umeingiwa kwa kurejea Vienna Convention.

Ubinafsishaji wa benki ya NMB ulikumbwa na changamoto nyingi kama ilivyo sasa kwenye bandari ya Dar es Salaam, hata hivyo, bandari hii haibinafsishwi. Hii ni mikataba ya uendeshaji au ukoshadishaji.

Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam unamilikiwa na Serikali, lakini Swisport na washirika wengine wanaendesha uwanja huo. Je, pale masuala ya ulinzi na usalama yanasimamiwa na nani? ni serikali. Vivyo hivyo kwa ushuru wa forodha, kuna TRA pale. Uwekezaji wa DP World utakuwa hivyo pia.

IGA kwenye ibara ya 5 inaelezea kuwa huyu bwana (DP World) akitaka kufanya jambo lolote ni lazima alete mapendekezo Serikalini. Ikitokea wameelewana watasaini concesion agreement, suala la usalama linahusu mamlaka za Nchi.

Kwanini serikali imeamua kutafuta operator mwenye uwezo?
Bado ufanisi ni mdogo, meli zinazubiri hadi siku 5 kuweka nanga na kushusha shehena. Kila siku moja ya kusubiri n kati ya milioni 60-90 ambayo analipa msafirishaji, inaongeza gharama ya bidhaa kwa wanunuzi. Kama ni transit, gharama za usafirishaji zitakuwa kubwa.

Kushusha kontena siku 3, kuondosha mzigo utatumia masaa 12, clearance ya kawaida ni zaidi ya siku 7. Mifumo ya TEHAMA haijaboreshwa vya kutosha.

Watu wote wanaozungumza kwa kufoka wamenunuliwa. Watu wengi hawafurahi kuona Rais Samia anataka kuifanya bandari hii kuwa na ufanisi mkubwa kuliko bandari nyingi duniani.

Wako maafisa forodha waaminifu, lakini wapo wanaonufaika na ule urasimu, hawawezi kufurahia mabadiliko haya. Wapo pia washindani wa bandari yetu na corridor zingine za kibiashara, wote hawa hawawezi kufurahia.

Kuna mambo mengine mazuri yanaendelea mbona hayajadiliwi? Watu wameshika jambo moja tu, yawezekana kuna nguvu nyuma ya hao wanaopiga kelele.

Wanaopinga hawatanyamaza leo, wataendelea kusema. Mfano, baadhi ya wanasheria wameenda mahakamani kutafuta tafsiri, lakini bado wanaongelea suala hili. Wengine ni watu wazima, wakati mwingine utu uzima usipojipanga unaweza kukujia vibaya, ukiangalia sura na siha zao unaona kidogo pengine njaa imeingia.

Wito kwa Serikali ni kwenda kasi kwenye kutekeleza ili watanzania waone manufaa. Tuone tani zinaongezeka, siku 5 za kusubiri nangani ifikie hadi siku 1, kushusha kontena iwe siku 1, kushusha mzigo kichere iwe maximum siku 2 hadi 3 na release iwe hadi saa 1.

Tuone mizigo ya TEHAMA inaweza kumfanya mtu aone maendeleo na kama kuna ukadiriaji wa kodi yaweze kufanyika kwa uwazi pia gharama za usafirishaji ipungue.

Mambo haya yatatamanisha na kuvutia nchi zingine zisizo na bandari zikimbilie hapa, tuone pia mapato ya forodha yanaongezeka.

Natoa wito kwa watanzania waendelee kuwasikiliza (wanaopinga) kwa masikio matatu. Kamati za bunge hadi kufikia hatua ya kutoa maoni bungeni ilikuwa imepokea maoni mengi kutoka kwa wananchi, na maoni yao yatazingatiwa.


===

MASWALI NA MAJIBU

1. IGA ina matobo?
Ameulizwa kama IGA ina matobo kwa kuwa baadhi ya vipengele vyake vinaitaka Tanzania kuipa taarifa Dubai juu ya fursa zilizopo Bandarini.

Amejibu: IGA haina matobo. Kuhusu Tanzania kuipa taarifa Dubai kwenye masuala na fursa mbalimbali za Bandari, Kwenye sheria neno likiandikwa "WILL" inakuwa sio lazima, lakini kwa nia njema Tanzania inaweza kuitarifu Dubai kuhusu fursa zilizopo Bandarini ili Dubai walete mapendekezo yao Serikalini yajadiliwe ambapo yanaweza kukubaliwa au kukataliwa.

2. Mikataba ya HGA itakuwa siri?
Ameulizwa, watu wanapigia kelele IGA sababu baadae hawataweza kujua kilichomo kwenye HGA maana inasemekana itakuwa ni siri.

Amejibu: Hata kura ni siri, kila jambo na taratibu zake. Hata nyumbani kuna baadhi ya mambo yanafanyika kwa siri.

===

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Anatafuta recognition tu wakimpa tu atakaa Kimya km awali alipopewa ubalozi
 
Kwani shida nini, si mjibu hoja?

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
Hakuna haja ya kuwajibu nyie.
Kwenu ni kupinga tu hata mkielekezwa nini mlishachagua upande wa kupinga tu. So nyie bakini hivyo hivyo mkiendelea kusubiri majibu
 

Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch​



SUNDAY MAY 28 2023​

dar port

A carriage for the Tanzania's Standard Gauge Railway project is unloaded at the port in Dar es Salaam, Tanzania on November 25, 2022. PHOTO | ERICKY BONIPHACE | AFP

Summary

  • Mombasa has been losing business to Dar es Salaam, as transporters and importers from the Great Lakes region continue to reroute cargo to the Central Corridor.
  • Tanzania plans a process of finding a competent global investor to run the port.
  • The United Arab Emirates has in the past few years positioned itself in the region to run a chain of strategic ports in Africa.
ADVERTISEMENT

General Image

By ANTHONY KITIMO
More by this Author
General Image

By APOLINARI TAIRO
More by this Author

The $357 million Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP) seems to be bearing fruit: The World Bank has put Dar above its main regional competitor, Mombasa, in a new port efficiency ranking.

The Port of Dar es Salaam rose to position 312 in the 2022 Container Port Performance Index (CPPI) against Mombasa’s position 326 in the survey of 348 ports globally, making it the preferred facility by East African shippers. Djibouti ranked at 26 and the port of Berbera (Somalia) at 144.

The 2021 CPPI report had placed the port of Mombasa at 296, and Dar es Salaam at 316.

The news has been received well in Tanzania, even as comes at a time when legislators are pushing for privatisation of the port to increase efficiency.

Dar port managers attribute the noted success to infrastructure improvements and capacity building, which have helped address operational and physical constraints at the facility.

It goes back to a $345 million credit facility by the International Development Association’s Scale-up Facility and a $12 million grant from the UK’s Department for International Development disbursed in 2017.

Related​

ADVERTISEMENT
 
Jerry na wabunge wenzie, wamepitisha mkataba batili ambao umesainiwa na upande mmoja wa Wabia wa mkataba huo, kwanza tuanzie hapo! hii inaonesha DP world ni jina tu katika mkataba lakini hilo ni dili la wakubwa!
( kwa upande wa Dubai nani kasaini huo mkataba?)
 
Back
Top Bottom