Well saidDuh kunajamaa yangu anakuambia bora usimuliwe hicho KISHINDO.....mengi media zinaficha hata hii hapo juu huioni kwenye vyombo vikubwa vya habari Duniani
Naiogopa sana Sayansi hawa watu wakiamuwa kukumaliza wanakumaliza huruma yangu tu kwa watoto wadogo wasiojuwa chochote kuwa majivu dah visasi vya Maangamizi
Mnatishia watu huko barabarani na silaha za kivita marungu mask tena nduguzenu hawana hata upinde kisa ubabe ....natamani mgekuwepo pembeni ya hiyo gharika hapo juu mjifunze .... Amani ni Tunu mtu aki chafukwa ....
Iran ndio mpuuzi na soon watamgeukia apate nayeye haki yake.Jeshi la Lebanon limeenda kulinda ubalozi wa USA wakati IDF wanafanya striking. Hawa hawana tofauti na Saudi Arabia. Iran ana kazi ya kufanya hapa kuondoka huu ukiritimba uliojengwa hapa Lebanon.
Mwambie huyo. Hiyo iran why inaogopa 1vs1 tuone huo umwamba wakeIran kama anataka vita na Israel aende nae 1v1 sio kutumia nchi za watu
Mnaleta huruma sasa hivi. Alianzisha nani ..?Akili kubwa kufagia mtaa mzima kisa kuna adui yako mmoja tu unayemtafuta? You can't be serious ukimkosa Mungu na imani huwezi kua clever wale walibugi tangu mwanzo japo Mungu wao aliwapenda lakini walishafeli nae kuwakataa mara ya kwanza aliwazungusha jangwani miaka 40, sasa amewanyima amani na akawajaza kiburi kama cha Firauni, halafu kawapa hofu ya kifo then yeye Mungu ndio Mkusanya roho, hivyo wao ni kuhangaika tu na kuambia wataishi hivyo miaka na miaka mpaka qiyama isipokua watakao watakao jaaliwa na Mila hekima ya kutubu.
Ww n mwehuJeshi lipo lakini halijihusishi na vita. Israel anapigana na kikundi kidogo tu kama vile alshabab ya Somalia au bokoharam ya Nigeria.
Wafarisayo wa yombo sasa..... Israel taifa kubwa..... IDF inawashambulia vibaya.....
Kiuhalisia Israel na nyenzo na vyombo vyake vyote ni failure. Huwezi kuhangaika na wanamgambo tu miaka kibao huku ukiua wanawake na watoto wasio na hatia.
Nyinyi ndiyo huwa mnatetea Magaidi. Acha Israel atembeze kichapo.Kumbe hezbollah ni nchi na hamsemi[emoji23][emoji23]
Wakristo wenzenu wa Lebanon wanaangamizwa halaf mnacheka
Hiki afanyacho Netanyau ndio kinachotakiwa. Kimsingi, hutakiwi kucheka na wajukuu wa allah. Hao unatakiwa udili nao kweli kweliMimi Israel ananikosha sana. Yaaei aendelee kupiga mpaka akomeshe kabisa ugaidi Wa Hzbollah.
WAngekuwa na ndege bila shaka US wangeziwekea vikwazo zisiruke ili wawapige kama Libya.Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Amefia huko kwa hiyoAlikuwepo alikuwa ametoka mafichoni kwenda headquarters kutazama hotuba ya Netanyahu
Inavyosemekana. Bado haijathibitishwaAmefia huko kwa hiyo
Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida