Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Katika Qur'an, wanawake wa Peponi wanatajwa kama hurul-ain (حُورٌ عِينٌ), ambao ni viumbe wa kike wenye sifa maalum.

Neno "hur" linamaanisha wanawake wa peponi wenye macho yenye weupe safi na weusi wa kuvutia, na "ain" inarejelea macho makubwa, yenye uzuri wa kipekee. Hawa wanawake wamekusudiwa kuwa zawadi kwa wacha Mungu wanaoingia Peponi kama thawabu ya matendo mema yao duniani.Wanatajwa kwa sifa ya urembo, usafi, na kutokuwa na dosari.

Kwa mfano, katika Surat Ad-Dukhan (44:54), Allah anasema:“Huko tutawaoza wake wenye macho makubwa.”Aidha, katika Surat Ar-Rahman (55:72), hurul-ain wanatajwa kuwa:“(Wanawake) walioko kwenye mahema yaliyotunzwa vizuri.”
Hao ndo nitaoa Mimi..😜🤪😜🤪😜
 
Kwan mtiririko wa mauaji ya makamanda wake hata kama amepona kwenye hili shambulio basi siku zake za kuishi zinakaribia ukingoni.

Mara mia hata Hamas Hawa Hizbullah mdomo mwingiwameutafuta ugomvi kwa udi na uvumba .
Anafuata ni Houth maana anajitahidi sana kumchokoza Israel.

Na Israel kama hawaoni vile, na ndio ilikuwa hivi hivi wakati ana wapiga Hamas, Hezbollah alikuwa kila siku anamchokoza Israel kumbe mwenzao anadeal na mmoja mmoja kwanza
 
MAISHA YA WASIKUWA WAISLAM

Moto wenye nguvu na mateso yasiyoisha:Katika Surat An-Nisa (4:56), Allah anasema: “Hakika wale waliokataa ishara zetu, tutawachoma katika moto. Kila ngozi zao zitakapoungua tutawabadilishia ngozi nyingine, ili waonje adhabu.”Kunywa maji ya moto:Katika Surat Ibrahim (14:16-17), Qur’an inaeleza jinsi makafiri watakavyopatiwa maji ya moto: “Mbele yake kuna Jahannam, na atanyweshwa maji ya usaha. Atajaribu kuyanywa, lakini hataweza kuyameza, na kifo kitamfikia kutoka pande zote, lakini hatakufa. Na mbele yake kuna adhabu kali.”Vazi la Moto:Katika Surat Al-Hajj (22:19-20), Allah anasema: “Wale waliokufuru, watakatwa mavazi ya moto, na vichwani mwao yatamiminwa maji yanayochemka. Yatakayoyeyusha yaliyomo matumboni mwao na ngozi zao.”
Sasa hizi ndio mambo za kumuonesha Myaudi anaweza akapunguza kichapo.
 
Katika Qur'an, wanawake wa Peponi wanatajwa kama hurul-ain (حُورٌ عِينٌ), ambao ni viumbe wa kike wenye sifa maalum.

Neno "hur" linamaanisha wanawake wa peponi wenye macho yenye weupe safi na weusi wa kuvutia, na "ain" inarejelea macho makubwa, yenye uzuri wa kipekee. Hawa wanawake wamekusudiwa kuwa zawadi kwa wacha Mungu wanaoingia Peponi kama thawabu ya matendo mema yao duniani.Wanatajwa kwa sifa ya urembo, usafi, na kutokuwa na dosari.

Kwa mfano, katika Surat Ad-Dukhan (44:54), Allah anasema:“Huko tutawaoza wake wenye macho makubwa.”Aidha, katika Surat Ar-Rahman (55:72), hurul-ain wanatajwa kuwa:“(Wanawake) walioko kwenye mahema yaliyotunzwa vizuri.”
Wanawake nao wanapewa zawadi gani?
 
May all souls find enlightment,

Tusichoshane, baada ya viongozi waandamizi wote wa Hizbullah kuliwa vichwa, leo masaa 6 yaliyopita hatimae ilikua zamu ya kiongozi mkuu Nasrallah kupokea ticket yake kwenda kupewa mabikra 72.

Akiwa katika bunker mjini Beirut, majeshi ya Israel yameitifua bunker hiyo na kuacha majivu huku waliokuwemo ndani pamoja na Nasrallah wakipelekwa mji wa mabikra 72 kwa kushtukiwa.

View attachment 3109123

Mwenzako alianzisha thread akaifuta.
Hassan Nasrallah yuko hai hajafa pimbi wahed wewe.
 
Hatakuwa kiongozi wa kwanza wa hizbullar kuuuwawa hata mwaka 1992 Abbas al Musawi aliuwawa akabadiliwa na huyo nasrallah.Na kama ni kweli anaweza kupatikana kiongozi mkorofi zaidi ya nasrallah.
 
Wakiristo wa Jf kwa propaganda sijui wanasomea wapi? Kwa taarifa yenu uislam hamuwezi kabisa. Mapadri wengi na wachungaji wanasilimu nyinyi bakini na propaganda zenu. Mkifa mkachomwe vizuri

Shetani alipobuni Uislamu miaka 500 baada ya Yesu, alikosea sana kuuleta Africa, angebaki nawo huko Uarabuni
 
Katika Qur'an, wanawake wa Peponi wanatajwa kama hurul-ain (حُورٌ عِينٌ), ambao ni viumbe wa kike wenye sifa maalum.

Neno "hur" linamaanisha wanawake wa peponi wenye macho yenye weupe safi na weusi wa kuvutia, na "ain" inarejelea macho makubwa, yenye uzuri wa kipekee. Hawa wanawake wamekusudiwa kuwa zawadi kwa wacha Mungu wanaoingia Peponi kama thawabu ya matendo mema yao duniani.Wanatajwa kwa sifa ya urembo, usafi, na kutokuwa na dosari.

Kwa mfano, katika Surat Ad-Dukhan (44:54), Allah anasema:“Huko tutawaoza wake wenye macho makubwa.”Aidha, katika Surat Ar-Rahman (55:72), hurul-ain wanatajwa kuwa:“(Wanawake) walioko kwenye mahema yaliyotunzwa vizuri.”
Kwahiyo na wanawake wa kiislamu wao wakifa peponi watapewa nini, M.boo 72??
 
Bro acha kukariri hadithi za kwenu. Yaan unajidanganya jews wanaogopa kifo uko serious?
Tizama wanavyomforce netanyau akubali cease fire tizama wanavyo kimbia kwenye mabanda kujificha hawaogopi kifo ila Mungu ndio kawajaza hofu ya kifo kwa kuwatamanisha maisha ya dunia
 
Afadhali hata Hamas walikaza kaza. Hawa Hizbollah ni bure kabisa, wanaondolewa kama mende
Hizbullah wapo vizuri ila naona Kuna sehemu IDF kama kawaida Yao wamewawahi mapema wakiwa usingizin.
 
Tayari huko ameshapata thwawabu zake kwa kupigania dini. Sasa aende akajivinjari na mabikra 70. 🤔

Huyu Israel atawasumbua sana mpaka siku mtakapokubali kwamba lile ni taifa teule
Siungani na swala la kupigania dini ila swala la Israel ya sasa bado nilile taifa teule unalolijua wewe fuatilia tena ujue ukweli
 
Kama raisi wa Iran na kiongozi wa Hamas waliuwawa yeye ni nani? Acha afe tu hakuna namna, nakama nikweli basi pombe walizonyimwa kutumia huku duniani muda huu anaogelea tu kwenye konyagi
Kuna rais gani wa Iran aliuawa!?
Unaweza ukatutajia jina na ukatuletea ushahidi kama aliuawa!?
 
kosa lilikuwa kwenda kusikiliza speech Mzee NETANJAU kumbe mtego,kutoka tu kwenye handaki kaaliwa kichwa na bomu jipya ndio kwanza walikuwa wanaritest
 
Back
Top Bottom