Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Jeshi la Israel Limelipua makao makuu ya Hezbollah Beirut wakati Netanyahu anaendelea kutoa speech umoja wa mataifa

Duuuh kelele zote zile kwamba hao ndio kiboko ya Israël mbona wanabondwa kuliko hata wale ndugu zao Hamas..

Kweli mwarabu ni kiumbe dhaifu!
Israeli anaua raia na kuporomosha majengo ili aonekane anapiga sana😂. Mwenzake anapiga Kambi za majeshi ya IDF na miundombinu muhimu nani ana akili hapo?
 
Israeli anaua raia na kuporomosha majengo ili aonekane anapiga sana😂. Mwenzake anapiga Kambi za majeshi ya IDF na miundombinu muhimu nani ana akili hapo?
Teh teh teh kwamba mwarabu ana huruma kiasi hicho asishambulie na yeye hao raia?? Mwarabu huyu huyu anayejitoa muhanga??

Basi subiri tuone nani ataibuka mshindi mwisho wa pambano..
 
Inavyosemekana. Bado haijathibitishwa
Narsalla kama kapona amshukuru Mungu
Screenshot_20240928-110711.png
 
Duuuh kelele zote zile kwamba hao ndio kiboko ya Israël mbona wanabondwa kuliko hata wale ndugu zao Hamas..

Kweli mwarabu ni kiumbe dhaifu!
Hizbullah hawana rasilimali za kudungua ndege,na israel roho mkononi kwenda battle ground na hizbullah, strength ya hizbullah ni infantry
 
Hezbollah wametuangusha sana, pamoja na mikwara yao yote wamepigwa kirahisi sana. Tegemeo lililobaki ni Iran pekee.
 
Back
Top Bottom