Kasome historia wewe au umedanganywa Msikitini? Hao kujiita Wapalestina ni baada ya Arafat kuanzisha chama chake cha Ugaidi PLO. Kabla ya hapo waliishi na Wayahudi ila wakawa wanawanyanyapaa na kuanza kuwaua kisiri mfano kule upande wa Jordan waliwateketeza wayahudi wote...Kwani nani gaidi pale. Nafikiri Israel ndiyo Gaidi namba moja. Wale Palestine wanapigania ardhi yao ambayo inakaliwa kimabavu na magaidi Israel. 🤔
Subirini huko chemical ya Haifa atajavyo fumuliwa weka akili si chini ya watu 500,000 watakufa.Webabu Adiosamigo niliwaambia ni Suala la muda tu
Babu yako ndio aliwapa? We jiulize swali kuna bahari kati ya Egypt na Israel? Mussa alivuka bahari alienda wapi?Israel ni dola halali ya kiyahudi iliyoundwa mwaka 1948. Na ile ni ardhi yao tangu enzi na enzi.
Alienda nchi ya ahadiBabu yako ndio aliwapa? We jiulize swali kuna bahari kati ya Egypt na Israel? Mussa alivuka bahari alienda wapi?
Huku kujifariji kwingine duuh. Watu wafe idadi gani ndio mkubali waarabu wanateketea, na majumba yanasambaratishwa ? Na Viongozi wao wanapukitika.Hamas imesambaratika ?
Jibu swali acha kuwa mpumbavu kama huna jibu kaa kimya sio kuonesha ujinga wakoHuku kujifariji kwingine duuh. Watu wafe idadi gani ndio mkubali waarabu wanateketea, na majumba yanasambaratishwa ? Na Viongozi wao wanapukitika.
Lete ushahidi wa Hizbollah kuwafanyia waarabu ubaya.Israel imewasaidia sana Watu wa Lebanon, Syria, Iraq na Yemen kama Nashrallah amekufa Hezbollah imefanya mambo mabaya sana kwa Waarabu
Africa wanaomba kufutiwa madeni na wazunguHii inanipa funzo kuwa dunia ni uwanja wa unafiki....ukipata matatizo waliokupamba kimyaa...
China katuliaa..Iran anasemea chumban....Africa aaaaah hawajui kabisa
Ile siku walipaa na mapikipiki angani mwishowe wamekufa na kuwaachia watu msala wa ajabuHaya yote kasababisha hamas october 07
Hamas wamebakia kidogo tuHamas imesambaratika ?
Enzi ndiyo lini/muda gani?Israel ni dola halali ya kiyahudi iliyoundwa mwaka 1948. Na ile ni ardhi yao tangu enzi na enzi.
yani hawa hezbollah ni wajinga sana mimi ningewaona wajanja kama wangejuandaa na makombors au airdfence za kupambana na ndege. za islael tofauti na hapo naona wamecheza karata chafuu kwani wataoumia sana. wamekurupuka sasa ndege za islael zinajipigia na kusepaa
Dunia bila ya Magaidi inawezekana.Wameambiwa na Israel hawana pa kujificha...
Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.Alienda nchi ya ahadi
Ohoooo balaa zito..R.I.P Hassan Nasrallah
Israel checking if Nasrallah was at Hezbollah’s Beirut HQ at time of strike
Kama Mzee ambae hajawahi kuliona jua kwa miaka 25 kadedishwa Ayattollah wa Iran is next target kuwahishiwa kwa Mademu 70 wa Allah
Wewe ulishakufa ukafufuka mpaka ujue mambo ya kaburini?!Nchi gani hiyo ta ahadi? Hamuoni nyie mnasoma vitabu vinavyo wapotesha. Mussa alitoka Misri kwenda Saud Arabia au Yemen. Alipita Red sea sa Israel kuna Red Sea? We ngojea tu ukifa ndio utajua Paulo kawauza kweli. Kaburi ndio mtihani wa mwanzo usidhani utalala pale usingizi.
Tangu enzi za mababu na mababuEnzi ndiyo lini/muda gani?