Jeshi la Polisi: Bado tunamsubiri Tundu Lissu na dereva wake ili kufanya uchunguzi

Jeshi la Polisi: Bado tunamsubiri Tundu Lissu na dereva wake ili kufanya uchunguzi

..kuna kutokuaminiana baina ya polisi na wahanga wa hili tukio.

..upo ushahidi wa dola kutumia nguvu bila sababu dhidi ya Cdm na kuwafungulia kesi za uongo.

..kilichofanya dereva akimbie hapa Tz ni hofu ya kubambikiwa kesi au kusingiziwa kwamba amehusika na tukio lile.

..vilevile yako mazingira yanayoonyesha kwamba dola imehusika na tukio lile. Na hivyo inawezekana kabisa ikajaribu kum-victimize dereva.

..mazingira ya dola kuhusika yanatokana na tuhuma kwamba ulinzi wa serikali uliondolewa eneo la tukio siku ambayo Lissu alishambuliwa.

..jambo lingine ni tuhuma kwamba Cctv zilizokuwa installed eneo la tukio, na inawezekana zilikuwa zinafanya kazi, ziliondolewa na watu wa serikali, na umma haujaelezwa kilichoonekana ktk footage.

..Sasa ikiwa polisi wanahitaji kuongea au kumkamata dereva ziko taratibu za kufanikisha zoezi hilo.

..Polisi walipaswa kushirikiana na wenzao wa Nairobi ktk kipindi cha miezi 4 ambayo Lissu na dereva walikuwa Nairobi.

..Pia walipaswa kumfikia dereva au Lissu kupitia Interpol au polisi wa Ubelgiji. Huo ndio utaratibu wa kupata ushahidi, au kukamata watuhumiwa walioko nje.

NB:

..Hata kama tukio hili limepangwa na mtu wa Cdm, bado haieleweki WALINZI wa serikali walikwenda wapi?

..Je, tukio lilifanywa na mtu wa Cdm au mwingine yeyote kwa kushirikiana na mamlaka zinazopanga ulinzi ktk nyumba za viongozi wa serikali area D Dodoma.

..Kuhusu Mtikila kutuhumu Cdm kulipua kwa bomu mkutano wao, suala hilo lilipaswa kuchunguzwa ili kuwabaini waliohusika.

..Mpaka muda huu tulipaswa kujua lilikuwa bomu la aina gani. Ni watu au vyombo gani wana-access au wanatumia mabomu hayo. Cdm walipataje bomu hilo, etc etc.
Kwa vile lengo lilikuwa kuonyesha kuwa dola ilitumika kwenye tukio lenyewe, wanaleta ngonjera kibao. Mara ulinzi uliondolewa, mara CCTV camera ziling'iolewa n.k. hizo zote ni visa vya kutunga ionekane dola ilihusika. Usisahau CDM wana uzoefu huo. Wakati wa Kikwete hao hao walijilipua kwa bomu kule Arusha na mtu akafa wakanyoosha mdomo kwa dola . Kwa DM lolote wanaweza kufanya. Hivi kama dereva yuko huko akiogopa kubambikwa kesi kwa nini mwanzo wasema anatibiwa kisaikolojia? Na kwa nini kauli aliyoitoa baada ya shambulizi pale Dodoma iwe tofauti na aliyotoa Ubeljiji alipohojiwa na DW Tv? Inabidi mtu ajivue ufahamu asipoona walakini katika hayo.
 
Kwa vile lengo lilikuwa kuonyesha kuwa dola ilitumika kwenye tukio lenyewe, wanaleta ngonjera kibao. Mara ulinzi uliondolewa, mara CCTV camera ziling'iolewa n.k. hizo zote ni visa vya kutunga ionekane dola ilihusika. Usisahau CDM wana uzoefu huo. Wakati wa Kikwete hao hao walijilipua kwa bomu kule Arusha na mtu akafa wakanyoosha mdomo kwa dola . Kwa DM lolote wanaweza kufanya. Hivi kama dereva yuko huko akiogopa kubambikwa kesi kwa nini mwanzo wasema anatibiwa kisaikolojia? Na kwa nini kauli aliyoitoa baada ya shambulizi pale Dodoma iwe tofauti na aliyotoa Ubeljiji alipohojiwa na DW Tv? Inabidi mtu ajivue ufahamu asipoona walakini katika hayo.
Je CCTV Camera hazikuondolewa??? Je eneo hilo la tukio hakuna ulinzi masaa 24???? Je ni hatua gani stahiki zilizochukuliwa na Serikali kuhusu tukio hilo??Msiwe mnajifanya mna akili sana mnatenda mambo kimakusudi halafu mnakuja na ngojera za kijinga pumbavu zenu tena kunguru ninyi,mlaaniwe mpaka mwisho wa dunia.
 
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka mitano imepita tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu kushambuliwa, Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake.

Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.

Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.

Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.

“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu,”

Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi”

Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.

“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.

Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.

Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.

“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.

Chanzo: Mwananchi
Mbona Lissu alitangaza kwamba alishalipwa stahiki zake zote?
Mbona mnatuchanganya?
 
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka mitano imepita tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu kushambuliwa, Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake.

Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.

Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.

Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.

“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu,”

Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi”

Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.

“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.

Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.

Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.

“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.

Chanzo: Mwananchi
Rubbish
 
Je CCTV Camera hazikuondolewa??? Je eneo hilo la tukio hakuna ulinzi masaa 24???? Je ni hatua gani stahiki zilizochukuliwa na Serikali kuhusu tukio hilo??Msiwe mnajifanya mna akili sana mnatenda mambo kimakusudi halafu mnakuja na ngojera za kijinga pumbavu zenu tena kunguru ninyi,mlaaniwe mpaka mwisho wa dunia.

Hapo umeanza kuandika kile unachokifahamu, yaani taaluma yako ya kufurumisha matusi. Umefika upeo wako wa kutoa hoja. Hizo CCTV camera zilikuwepo lini au kwa vile Mbowe kasema zilikuwepo zikatolewa na we waamini? Kumbuka Mbowe huyo huyo alisema waliolipua bomu kule arusha anawafahamu lakini hatawataja kwa vyombo vya dola ya TZ akataja watu ambao angeweza kuwatajia. Ngonjera za hawa CDM ni maelfu kwa maelfu. Kumbe wamejilipua wenyewe wanasingizia watu wengine. Kama mtu una akili zako sawa sawa hutaki kujiuliza kwa nini dereva afichwe kwa gharama kubwa jifikirie upya. Au hujiulizi kwa nini wadanganye eti dereva anatibiwa kisaikolojia wewe unaona sawa kudanganya jitahidi kuvaa upya ufahamu wako. Au hujiulizi kwa nini dereva abadilike wakati akihojiwa na DW Tv na kuongea kitu tofauti na alichoongea Dodoma mara tu baada ya tukio wewe waona ni sawa wakati zilishaanza kujengwa hija kuwa dereva alipelekwa Nairobi kufundishwa cha kusema pindi akihojiwa na polisi yote waona hakuna issue nikupe pole yako. Ndio maana hoja hizi zinapokosa majibu unarudi kwenye taaluma yako.
 
Hapo umeanza kuandika kile unachokifahamu, yaani taaluma yako ya kufurumisha matusi. Umefika upeo wako wa kutoa hoja. Hizo CCTV camera zilikuwepo lini au kwa vile Mbowe kasema zilikuwepo zikatolewa na we waamini? Kumbuka Mbowe huyo huyo alisema waliolipua bomu kule arusha anawafahamu lakini hatawataja kwa vyombo vya dola ya TZ akataja watu ambao angeweza kuwatajia. Ngonjera za hawa CDM ni maelfu kwa maelfu. Kumbe wamejilipua wenyewe wanasingizia watu wengine. Kama mtu una akili zako sawa sawa hutaki kujiuliza kwa nini dereva afichwe kwa gharama kubwa jifikirie upya. Au hujiulizi kwa nini wadanganye eti dereva anatibiwa kisaikolojia wewe unaona sawa kudanganya jitahidi kuvaa upya ufahamu wako. Au hujiulizi kwa nini dereva abadilike wakati akihojiwa na DW Tv na kuongea kitu tofauti na alichoongea Dodoma mara tu baada ya tukio wewe waona ni sawa wakati zilishaanza kujengwa hija kuwa dereva alipelekwa Nairobi kufundishwa cha kusema pindi akihojiwa na polisi yote waona hakuna issue nikupe pole yako. Ndio maana hoja hizi zinapokosa majibu unarudi kwenye taaluma yako.
Acha ujinga wewe,Mbowe ni nani katika kile ninachokifahamu,upumbavu wenu wa kukumbatia akili za watu ndiyo unaowafanya muwe wajinga kwa sababu ukimpenda mtu hata kama anakosea makosa yake unayazima kwa sababu tu unampenda na ukimchukia mtu hata kama hana dosari unampa dosari kwa sababu tu humpendi.Huu ujinga utaendeleza kuwaachia makovu kwa sababu mnafikiria kwa kutumia makalio,matusi huja pale tu mtu anapozidisha kejeli na ukumbuke amani haija ila kwa ncha ya upanga.Unatumia elimu kama kisingizio cha kuonea watu eti kwa sababu wana elimu wavumilie maonezi na kejeli,hilo halikubaliki hata siku moja,mlitaka kumuua Tundu Lissu kwa kisingizio cha siasa chafu zilizoanzishwa na mwendazake na mnataka maridhiano ili muendelee kutukejeli,acheni ujinga.
 
Acha ujinga wewe,Mbowe ni nani katika kile ninachokifahamu,upumbavu wenu wa kukumbatia akili za watu ndiyo unaowafanya muwe wajinga kwa sababu ukimpenda mtu hata kama anakosea makosa yake unayazima kwa sababu tu unampenda na ukimchukia mtu hata kama hana dosari unampa dosari kwa sababu tu humpendi.Huu ujinga utaendeleza kuwaachia makovu kwa sababu mnafikiria kwa kutumia makalio,matusi huja pale tu mtu anapozidisha kejeli na ukumbuke amani haija ila kwa ncha ya upanga.Unatumia elimu kama kisingizio cha kuonea watu eti kwa sababu wana elimu wavumilie maonezi na kejeli,hilo halikubaliki hata siku moja,mlitaka kumuua Tundu Lissu kwa kisingizio cha siasa chafu zilizoanzishwa na mwendazake na mnataka maridhiano ili muendelee kutukejeli,acheni ujinga.

Sasa mbona huongelei wala kujibu hoja yoyote? Kama huna hoj sio lzima uingie humu jamvini. Imagine kama una mke au watoto wnaona upuuzi ulioandika ukimaanish kujibu hoja uliwoikuotu (quite). Mbona unatakaa uonekane kioja mbele ya watu wanaowajibika kukuheshimu?
 
Sasa mbona huongelei wala kujibu hoja yoyote? Kama huna hoj sio lzima uingie humu jamvini. Imagine kama una mke au watoto wnaona upuuzi ulioandika ukimaanish kujibu hoja uliwoikuotu (quite). Mbona unatakaa uonekane kioja mbele ya watu wanaowajibika kukuheshimu?
Umekuja na mihemko,soma vizuri hoja yangu na kama hoja yangu hujaielewa nenda kasome hivyo vifungu vya Katiba nilivyokuwekea vitakusaidia angalau kidogo,ila ukisimamia kwenye hoja yangu kwa vile unanidharau utabeza tu,basi kasome vizuri uulize Wataalam waliopo kwenye Chama chako watakuelimisha.
 
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka mitano imepita tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu kushambuliwa, Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake.

Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.

Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.

Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.

“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu,”

Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi”

Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.

“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.

Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.

Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.

“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.

Chanzo: Mwananchi
Angekuwa Mwenyekiti wa mtaa kutoka CCM katobolewa na toothpick muda huu kungekuwa na mtu au watu wanamechezea kifungo.

Bias ni kansa
 
Je CCTV Camera hazikuondolewa??? Je eneo hilo la tukio hakuna ulinzi masaa 24???? Je ni hatua gani stahiki zilizochukuliwa na Serikali kuhusu tukio hilo??Msiwe mnajifanya mna akili sana mnatenda mambo kimakusudi halafu mnakuja na ngojera za kijinga pumbavu zenu tena kunguru ninyi,mlaaniwe mpaka mwisho wa dunia.
Security camera zinaweza kufungwa lakini hakuna DVR/NVR ya kuhifadhi data za matukio yaliyopita na pengine anaweza tu kufunga kwa nia ya kutishia watu wenye nia ovu waghairi kutekeleza kitendo chochote kiovu baada ya kuona jicho la CCTV kumbe hazifanyi kazi ipasavyo.

Mtu kuondosha kamera mahali alipokuwa amezifunga lakini akabaini zilikuwa zimelengeshwa nje ya eneo linalotunza usalama wa faragha za mwingine pasipokuwa na kibali ndipo hondosha ili akafuate taratibu vizuri. Kwa kuwa ni kosa na mhusika anapokana kwamba alishawahi kuweka ni ngumu kuthibitisha kwamba zilikuwepo kama hakuna 'counter surveillance cameras' zilizofungwa eneo jingine kwa mtu mwingine ili kusaidia kurejea siku ya tukio endapo kinachodaiwa kweli kilitokea kwa hiyo hao wanaodai kwamba huo ulikuwa ushahidi hawawezi kuthibitisha maana walitakiwa waende mahakamani kudai mahakama iamuru mtu huyo binafsi atoe nyaraka inayotakiwa
 
Security camera zinaweza kufungwa lakini hakuna DVR/NVR ya kuhifadhi data za matukio yaliyopita na pengine anaweza tu kufunga kwa nia ya kutishia watu wenye nia ovu waghairi kutekeleza kitendo chochote kiovu baada ya kuona jicho la CCTV kumbe hazifanyi kazi ipasavyo.

Mtu kuondosha kamera mahali alipokuwa amezifunga lakini akabaini zilikuwa zimelengeshwa nje ya eneo linalotunza usalama wa faragha za mwingine pasipokuwa na kibali ndipo hondosha ili akafuate taratibu vizuri. Kwa kuwa ni kosa na mhusika anapokana kwamba alishawahi kuweka ni ngumu kuthibitisha kwamba zilikuwepo kama hakuna 'counter surveillance cameras' zilizofungwa eneo jingine kwa mtu mwingine ili kusaidia kurejea siku ya tukio endapo kinachodaiwa kweli kilitokea kwa hiyo hao wanaodai kwamba huo ulikuwa ushahidi hawawezi kuthibitisha maana walitakiwa waende mahakamani kudai mahakama iamuru mtu huyo binafsi atoe nyaraka inayotakiwa
Baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi zikaondolewa kwa vile zilikuwa hazijafungwa vizuri.
 
..Nategemea jeshi la Polisi litafungua uchunguzi wa shambulizi dhidi ya Tundu Lissu.
Yaani wajichunguze.? Labda sio polisi ya CCM.

Sidhani kama itatokea, ni mtu mjinga tu ndio atashindwa kupata connection ya wapanga mkakati hadi washambuliaji waliomshambulia Lissu.

Tukio lilifanyika kishamba sababu lilipangwa na washamba kwa mihemko binafsi ndio maana ukifuatilia kauli za baadhi ya wawili fulani kwa nyakati tofauti waliligusia hili bila kujua wameacha loop ya wanaotafakari kuujua ukweli.
 
Kwani hawawezi kufanya uchunguzi bila uwepo wa Tundu Antipas Lissu. Ina maana kama mtu akiuawa uchunguzi haufanyiki kwa vile muathirika hayupo?
Hivi swali hili polisi huwa wanalitolea majibu gani kweli...?

Maana polisi wetu wanaropoka kana kwamba wao tu ndiyo wanajua sheria huku wengine wote wakiwa ni wajinga...!
 
Mara ulinzi uliondolewa, mara CCTV camera ziling'iolewa n.k.
Kwani wewe unadhanije?

Kwamba siku ya tukio lile baya kabisa ulinzi wa Govt Quarters za Area D Dodoma ulikuwepo na Wala haukuondolewa..?
hizo zote ni visa vya kutunga ionekane dola ilihusika.
Yaani CHADEMA wanatunga visa kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi huku ukweli ukiwa hakuwahi kupigwa risasi zozote, au....?
Usisahau CDM wana uzoefu huo. Wakati wa Kikwete hao hao walijilipua kwa bomu kule Arusha na mtu akafa wakanyoosha mdomo kwa dola.
Kama haikuwa hivyo, hebu tuambie, mpaka sasa ni mwana CHADEMA gani alikamatwaga na Kisha kufunguliwaga mashitaka na kukutwa na hatia na Kisha kufungwa jela fulani Kwa kulipua bomu hilo huko Arusha...?
Kwa DM lolote wanaweza kufanya. Hivi kama dereva yuko huko akiogopa kubambikwa kesi kwa nini mwanzo wasema anatibiwa kisaikolojia?
Kwani wewe unafikiri nini?

Tukio lile lilimuathiri kisaikolojia au lilimjenga kisaikolojia yule dereva...?

Kwamba, hufikiri kuwa ni kweli TANPOL wanaweza kulitumia tukio hilo kum - criminalize dereva ili kuisafisha serikali na tuhuma hizi...?

Ni mjinga pekee asiyeweza kuiona possibility ya serikali ya CCM Kwa kuwatumia Polisi kufanya hivi. And likely wewe ni miongoni mwa wajinga hao...!!
Na kwa nini kauli aliyoitoa baada ya shambulizi pale Dodoma iwe tofauti na aliyotoa Ubeljiji alipohojiwa na DW Tv?
Alitoa kauli gani zinazotofautiana Kwa mfano? Hebu leta nukuu ya kauli hizo kama kweli zipo na zinatofautiana ili tujadili hayo....
Inabidi mtu ajivue ufahamu asipoona walakini katika hayo.
Mimi nadhani wewe unafikiri Kwa kutumia kiungo kingine na siyo kichwa chako...!

Na kwa ujumla sitakuwa nimekukosea heshima kusema kuwa, wewe ndiye mbumbumbu wa mwisho kabisa kwa sababu unatumia hisia zako tu kujiandikia badala ya kutumia facts zilizo mbele yako zikikukodolea macho...!!

Tumia kichwa chako vizuri kufikiri ndugu..
 
..Lissu anarudi nchini wiki ijayo.

..sijui jeshi la polisi watakuja na kisingizio gani cha kutofanya uchunguzi.
 
Back
Top Bottom