Nafikiri Zaidi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 516
- 684
Ule muda nlikua nahasira mkuu [emoji23][emoji23]Relax mkuu
Wote tumeweka hizo 3D sio wewe tu
Sasa mbona unahasira hivi[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule muda nlikua nahasira mkuu [emoji23][emoji23]Relax mkuu
Wote tumeweka hizo 3D sio wewe tu
Sasa mbona unahasira hivi[emoji23]
Bado hujaeleza zina shida gani??Punguza ujuaji, tulishatangaziwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita. Hizo namba ni lazima zifuate vipimo na specifications kama ilivyopangwa na TBS. Sasa wewe unachukua namba zimetengenezwa na kampuni iliyopewa kibali mfano Masasi signs unaongezea urembo wako ili iweje. Unakiuka vigezo vilivyowekwa na unatumia vikampuni vya mtaani ambavyo havina vibali vya mamlaka husika. Tujifunze kufuata sheria na taratibu, hizo 3D namba ni rahisi sana mtu kutemper nazo.
Ooh. Hapa nimeekewa. Wazitoe.Kwa mfano gari yanye namba T 838 ZZZ na ikawa imewekewa plate number ya 3D, ikiibiwa na kubadilishwa kuwa T 888 ZZZ ni kitu rahisi sana, kwani unabandua hiyo 3 unaweka 8 ndani ya sekunde chache tu.
Vibao mbona vinabdilishwa sana mbona hatuachani navyo kwa sababu na vyenyewe vinauwezo wa Kufunguliwa na spana?Kwa kuwa zinabanduka,zinaweza kutumia vibaya Kwa uharifu au kukwepa Askari wa usalama Barabarani.
Nadhani shida iko hapo
Kwani mbona watu wanaiba Gari na wanabadili Plate nzima??Kwa mfano gari yanye namba T 838 ZZZ na ikawa imewekewa plate number ya 3D, ikiibiwa na kubadilishwa kuwa T 888 ZZZ ni kitu rahisi sana, kwani unabandua hiyo 3 unaweka 8 ndani ya sekunde chache tu.
una chuki za kifala kabisa.Kwani hizo sheria wanazotekeleza polisi walitunga wao?Mbona hulichukii bunge lililopitisha & kutunga sheria hizo.!Nilishamwambia mwanangu ukija kuwa police usije kukanyaga kwangu
🤣🤣🤣mkuu umebanduliwa 3D zako??
Aisee nini?Duh aiseee
Asilimia kubwa ya nchi ni ya wajinga, hivyo lazima wahangaike na mambo ya kijinga, safi sana!!Mambo ya kijinga ndio wanahangaika nayo
Ni vizuri ukatuelimisha umuhimu wa hizo number tuna,Vibao mbona vinabdilishwa sana mbona hatuachani navyo kwa sababu na vyenyewe vinauwezo wa Kufunguliwa na spana?
Watu wanabadili sana..
Miaka fulani ya 2000s watu walikuwa wanapiga sna Taxi bubu mchana anaweka plati ya njano usiku anaweka nyeupe na anaingia mzigoni..
Mbona hawakuzipiga marufuku Matumizi ya pleti ili namba ziandikwe kwenye Gafi upande wa kushoto mwa dereva..
Maana mpaka sasa sijaona point ya Kupiga marufuku 3D
Siku ukibanduliwa utajua madhara yake!3 D ndio nini na ina madhara gani??
Sisi Tanzania hatujafikia kuwa na namba ukubwa huo wa 3D. Kama Kenya wao wana 4D kabisa ni manamba makubwa.Kwani zina athari gani?
3 D ndio nini na ina madhara gani??
Hiyo ni serious comment. Akili kubwa tu ndio itaelewa hoja ya Greatest Of All Time . Kwamba plate number hazina madhara ila ni ujinga-ujinga tuKua serious kwenye thread za watu ndugu....kama vipi ungeenda thread ya vichekesho uongee huu upuuzi wako
Sasa mimi nimeuliza Kwanza nipewe madhara wewe unataka miseme umuhimu wa 3D..?Ni vizuri ukatuelimisha umuhimu wa hizo number tuna,
Binafsi nadhani kuna udhaifu wa namna zinavyotengenezwa.
Design inaweza kuwa bora zaidi iwapo plate/ubao wa number ubonyezwe kutengeneza hizo number/herufi kuliko kubandika kwenye ubao either Kwa gundi au screws.
Ni vigumu Kwa number zilizobonyezwa kwenye plate kubanduliwa au kubadilishwa Kwa vyovyote.
Kuhusiana na madhara ni kwamba wataalamu wanavyosema ni kwamba katika mfumo wa kuzisoma hizo namba huwa zinaleta changamoto kwa matrafiki Barabarani kulingana na mashine wanazotumia wao, hizi za kawaida zinasomeka kwa urahisi hata gari ikiwa umbali mrefu na hata msomaji akiwa angle tofautitofauti, lakini kwa namba za 3D inakuwa shida kidogo3 D ndio nini na ina madhara gani??
Kama utani operesheni ndio imeanza usije ukasema hujaambiwaView attachment 2918540