Tunaiona russia wa kawaida tunadharaurika mno humu ndani, wanashindwa kuelewa kuwa hata sisi zamani tulikuwa tunaisifia mno russia kila nyanja dhidi ya US ila kwa namna dunia inavyoenda, acha Westerns waendelee kutawala ulimwengu huu, hawa jamaa ni vichwa haswa.Nilikuwa nawakubali sana Russia but kwa namna hii vita inavyoenda they need to regain my trust again sio kwa ubabe niliodhani wanao ni story za vijiweni zile
Sasa ingekuaje kama ndo angeingia vitani na wababe wenzie kama hao wadogo tu anayumbayumba
Umeongea ukweli, vita vya chini na askari russia ni bure tu, ye ni kurusha makombora basi, iko ndo wanajuaView attachment 2200092
Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona
Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana
Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]
View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092
Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.
Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.
Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot
Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu
Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.
Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu
Britanicca
Hiyo vita watapigana wao na familia zao.Hana tofauti na N.Korea ndio maana mda wote anategemea hiyo nukes kujihami [emoji38][emoji38]
View attachment 2200879
View attachment 2200880
View attachment 2200881
Maanake Russophobes wore mnain'gon'ga Russia kwa kile mkiitacho kufeli kwa operation ya kivita. Ndo nikakupa case study nyingine ya Afghanistan.Si tunaongelea Russia na ukraine, au hasira zako kwa mnyama
Jidanganye lazima wapigaji watoke Africa so utalazimika kuchagua upande kinyume na hapo makombora yatakuhusu.Hiyo vita watapigana wao na familia zao.
Kwamba yukraini ni mdogo na unajua maana ya operation ndugu au ni wale wa kusikia story za kwenye kahawaNilikuwa nawakubali sana Russia but kwa namna hii vita inavyoenda they need to regain my trust again sio kwa ubabe niliodhani wanao ni story za vijiweni zile
Sasa ingekuaje kama ndo angeingia vitani na wababe wenzie kama hao wadogo tu anayumbayumba
Binadamu tunahitaji kuheshimiana ikiwa ni pamoja na kuheshimu Maoni ya kila mtu. Hata haya Maoni ni wajibu wetu kuyathamini kwakuwa UMETUMIA MUDA WAKO KUANDIKAView attachment 2200092
Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona
Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana
Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇
View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092
Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.
Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.
Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot
Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu
Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.
Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu
Britanicca
Tujikite Russia na Ukrean kwanini operation imechukua sasa mwezi 3 unaingia? kwanini Russia alirudi nyuma Kyiv? Kwanini alipovami Ukraine Donbas ndio miji ya kwanza kutangaza kwamba ushakuwa huru lakini aliposhindwa Kyiv akarudia kuja kupigana kwenye miji ambayo kabla alishatangaza kuwa huru? Kwanini kwanini?Maanake Russophobes wore mnain'gon'ga Russia kwa kile mkiitacho kufeli kwa operation ya kivita. Ndo nikakupa case study nyingine ya Afghanis
we ni mwamke timamu,huna akili na hujui kuwa ww ni tailaaa , mwanume timamu haeza shabikia uvamizi
Mod..ondoeni hii takataka hapaa..inatia aibu great thinkers wa humu!View attachment 2200092
Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.
Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona
Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana
Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]
View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092
Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.
Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.
Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.
Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot
Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu
Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.
Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu
Britanicca
Russia ni watu wa propaganda nyingi tu ila hawana lolote kijeshi, ni sawa na Kiduku wa Korea kaskazini.Tujikite Russia na Ukrean kwanini operation imechukua sasa mwezi 3 unaingia? kwanini Russia alirudi nyuma Kyiv? Kwanini alipovami Ukraine Donbas ndio miji ya kwanza kutangaza kwamba ushakuwa huru lakini aliposhindwa Kyiv akarudia kuja kupigana kwenye miji ambayo kabla alishatangaza kuwa huru? Kwanini kwanini?
Hivi Marekani na NATO walifanya nini kwa Yugoslavia ya zamani kwenyew vita vya kosovo zaidi ya kupiga mabomu katribu kila sehemu kwa karibuni miezi 3.Watu mna muda...
Yaan mtu anakupiga kila sehemu katika nchi yako bado unamuona dhaifu?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Waulize Askari wa kinazi waliozingirwa pale Mariupol Ukraine mziki wa Urusi ulivyo? Donbas imeshakombolewa 80% hadi sasa!Russia ni watu wa propaganda nyingi tu ila hawana lolote kijeshi, ni sawa na Kiduku wa Korea kaskazini.
Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia, vita pekee ya ardhini aliyo shinda Marekani ni vita ya Iraq tu, nyingine ameishia kupata kipigo cha mbwa koko na kukimbia.Russia ni watu wa propaganda nyingi tu ila hawana lolote kijeshi, ni sawa na Kiduku wa Korea kaskazini.
Umesahau uvamizi wa Marekani huko Panama ?Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia, vita pekee ya ardhini aliyo shinda Marekani ni vita ya Iraq tu, nyingine ameishia kupata kipigo cha mbwa koko na kukimbia.