Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Jeshi la Urusi ni dhaifu sana, ni dhaifu mno

Nilikuwa nawakubali sana Russia but kwa namna hii vita inavyoenda they need to regain my trust again sio kwa ubabe niliodhani wanao ni story za vijiweni zile

Sasa ingekuaje kama ndo angeingia vitani na wababe wenzie kama hao wadogo tu anayumbayumba
Tunaiona russia wa kawaida tunadharaurika mno humu ndani, wanashindwa kuelewa kuwa hata sisi zamani tulikuwa tunaisifia mno russia kila nyanja dhidi ya US ila kwa namna dunia inavyoenda, acha Westerns waendelee kutawala ulimwengu huu, hawa jamaa ni vichwa haswa.
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Umeongea ukweli, vita vya chini na askari russia ni bure tu, ye ni kurusha makombora basi, iko ndo wanajua
 
Si tunaongelea Russia na ukraine, au hasira zako kwa mnyama
Maanake Russophobes wore mnain'gon'ga Russia kwa kile mkiitacho kufeli kwa operation ya kivita. Ndo nikakupa case study nyingine ya Afghanistan.
 
Huku miji inazidi kwenda [emoji3][emoji3][emoji3] jitahidi maana bila hivi ugali hautafika mezani
 
Nilikuwa nawakubali sana Russia but kwa namna hii vita inavyoenda they need to regain my trust again sio kwa ubabe niliodhani wanao ni story za vijiweni zile

Sasa ingekuaje kama ndo angeingia vitani na wababe wenzie kama hao wadogo tu anayumbayumba
Kwamba yukraini ni mdogo na unajua maana ya operation ndugu au ni wale wa kusikia story za kwenye kahawa
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?👇👇

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Binadamu tunahitaji kuheshimiana ikiwa ni pamoja na kuheshimu Maoni ya kila mtu. Hata haya Maoni ni wajibu wetu kuyathamini kwakuwa UMETUMIA MUDA WAKO KUANDIKA
 
Maanake Russophobes wore mnain'gon'ga Russia kwa kile mkiitacho kufeli kwa operation ya kivita. Ndo nikakupa case study nyingine ya Afghanis
Tujikite Russia na Ukrean kwanini operation imechukua sasa mwezi 3 unaingia? kwanini Russia alirudi nyuma Kyiv? Kwanini alipovami Ukraine Donbas ndio miji ya kwanza kutangaza kwamba ushakuwa huru lakini aliposhindwa Kyiv akarudia kuja kupigana kwenye miji ambayo kabla alishatangaza kuwa huru? Kwanini kwanini?
 
View attachment 2200092

Hii mdiyo style ya vita ya Russia, hana askari wa kuweza kupambana na adui, hana intelligence ya kuweza ku locate adui walipo, jana jeshi wa strategy ya kuweza kudhibi maeneo anayokua amefanikiwa kuingia (maana hata kuteka hawezi), ma tumeona jinsi jeshi la Russia lilivyokuwa limetapakaa kote nchini Ukraine lakini maeneo yote sasa hivi yameshakamatwa na Ukranians.

Anachojua Russia ni kurusha makombora kwenye kila majengo wanayoyaona

Russia bila Nyuklia ni wa kawaida sana

Hivi mnaikumbuka ile vita ya Syria jinsi Russia alivyoibomoa bomoa hovyo Allepo?[emoji116][emoji116]

View attachment 2200095View attachment 2200096View attachment 2200097
View attachment 2200092

Vita ingekua it's all about kubomoa majengo basi ingekuwa nyepesi sana, Russia badala ya ku train askari wake waweze kupigana vita za sina zote, yeye amewekeza zaidi kujenga machuma chuma ya kubomolea majengo huku sskari wake wakikosa mafunzo ya mbinu bora za mapigano.

Seems hakuna chochote ambscho Rusdia alijifunza pale Allepo, ili kuboresha jeshi lake, maana hata hii vita ya Ukraine wanatumia play book ile ile, no any advancement.

Kuonyesha kuwa Jeshi lake halina mbinu mpya wala mafunzo, ni miaka zaidi ya 6 tangu aibomoe Alepo, then bado ksja na mbinu ile ile, more worse.

Jeshi lao hakina succession pkan, kiongozi yuleyule aliyeongoza vita na mashambulizi kule Alepo, Aleksandr Dvornikov ndiye huyu huyu Putin amemteua majuzi kuongoza vita nchini Ukraine, ana miaka 60 sasa and Putin ansona he can't afford to let him go and Russia can't fught without him huku wale majeneral wake 9 wakiuawa kwenye battle ground nchini Ukraine. This explains a lot

Jeshi inabidi kufuata weledi siyo kurusha tu kuharibu hata pasipo sababu

Fanyeni Kama USA Kwa Iraq, Au Yemen Au Vietnam, anataftwa adui tu Kwa hesabu kubwa.

Russia wao waoga wanarusha tu bila heaabu

Britanicca
Mod..ondoeni hii takataka hapaa..inatia aibu great thinkers wa humu!
 
Tujikite Russia na Ukrean kwanini operation imechukua sasa mwezi 3 unaingia? kwanini Russia alirudi nyuma Kyiv? Kwanini alipovami Ukraine Donbas ndio miji ya kwanza kutangaza kwamba ushakuwa huru lakini aliposhindwa Kyiv akarudia kuja kupigana kwenye miji ambayo kabla alishatangaza kuwa huru? Kwanini kwanini?
Russia ni watu wa propaganda nyingi tu ila hawana lolote kijeshi, ni sawa na Kiduku wa Korea kaskazini.
 
Watu mna muda...

Yaan mtu anakupiga kila sehemu katika nchi yako bado unamuona dhaifu?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hivi Marekani na NATO walifanya nini kwa Yugoslavia ya zamani kwenyew vita vya kosovo zaidi ya kupiga mabomu katribu kila sehemu kwa karibuni miezi 3.
Basi kama ni hivyo marekani ni dfhaifu sana pia?
Mtoa uzi atutajie mfano wa vita ambayo haikuwa na madhara kwa raia na majengo ni ipi??
Je anajua kitu Marekani ilifanya kule Syria na Iraq?
 
Russians wanapigana na timu ya NATO
Kuhusu kubomoa nyumba kila adui yako unamuombea njaa tu
[emoji631] walikuwa wanauwa mpaka ngamia Iraq walipiga mpaka bunkers zote ingawa walikuwa wanajua fika kuwa waliomo humo ni wazee na watoto
Walipiga mpaka hospitali
Majengo ya Iraq sijui walijenga kwa akili gani maana hata kushambuliwa kote huko bado yalikuwa imara (nilikuwa Baghdad na Basra na sehemu nyingi tu)

Mbona tumesahau haraka ndugu zenu USA walipoondoka ghafla Afghanistan? Walipatwa na nini au biashara ya poppy [emoji636] kaishika zaidi

Mashambukizi humu rukhsa pia tupa scuds nyumba yangu haibomoki humu [emoji23]
 
Russia ni watu wa propaganda nyingi tu ila hawana lolote kijeshi, ni sawa na Kiduku wa Korea kaskazini.
Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia, vita pekee ya ardhini aliyo shinda Marekani ni vita ya Iraq tu, nyingine ameishia kupata kipigo cha mbwa koko na kukimbia.
 
Tangu kumalizika kwa vita ya pili ya dunia, vita pekee ya ardhini aliyo shinda Marekani ni vita ya Iraq tu, nyingine ameishia kupata kipigo cha mbwa koko na kukimbia.
Umesahau uvamizi wa Marekani huko Panama ?
 
Back
Top Bottom