Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Ni aibu sana kuwa mpumbavu Hadi kufikia kuchekwa na mtoto wa kike.
Nasema hv, ni suala la muda tu kabla ya mjuaji flani mshamba mshamba hivi hajatema bungo.
Maisha Yana zaidi ya vifungu vya Sheria (hii itaeleweka kwa wenye A za phy na Maths (hakuna nyumbu hata mmoja humu jf mwenye hizo)); maisha Yana zaidi ya hiki kitu kinachoitwa misimamo.......hata Adolf Hitler alikuwa na msimamo.....nini' kilijili kutokana na huo msimamo wake wa kutaka kuitawala Dunia?!!! Ujerumani ilikaribia kufutwa kwenye uso wa Dunia na kukaribia kugawanywa kabisa.

Tunaambiwa kwenye mafunzo ya kung Fu kuwa tumia maguvu makubwa anayokuja nayo opponent kumpiga mwenyewe.....yaani inakuwa anajipiga tu.
Wamekutuma eti.
Mbowe is no longer the chairman.
 
Sasa ulitaka Kigaila na Mwalimu wasubiri nini wakati tayari wameishateuliwa watu wengine kushika nafasi zao?
Mbonà Kigaila hakuaga kabisa, alitoweka kimya kimya. Pia Salum Mwalimu aliomba asiteuliwe ukatibu Mkuu!! Walijishtukia kabla hawajafikiwa.
 
Hahaha hujielewi wewe na Lisu wako, Simpangii lakini asilopoke. Wabunge wa viti maalum chadema mnaowaita covid19, wanatambulika ndani ya chama labda Lisu ajitoe akili tu kutafuta umaarufu.
Wameshafukuzwa mbona na baraza kuu, sio wanachama
 
Mbonà Kigaila hakuaga kabisa, alitoweka kimya kimya. Pia Salum Mwalimu aliomba asiteuliwe ukatibu Mkuu!! Walijishtukia kabla hawajafikiwa.
Mwalimu hakutukanwa kama Kigaila. Kigaila karibu washikane mashati na Lema Arusha. Kigaila alisingiziwa kuwa anawanyima vitambulisho wajumbe wa Lissu. Kigaila ameambiwa mara kibao kuwa haaminiki kwa sababu ya mke wake. Ilikuwa wazi kabisa kuwa Lissu asingeendelea nae. Na watafanya kila juhudi kumpaka matope. Lakini mlitaka asimame kinafik na kuwaaga? Mwalimu protegee wake amemrithi.

Sasa unakiri kuwa kulikuwa na ajenda ya kuwashughulikia. Wanachofanya wakina Lissu ni ku alienate watu wenye uwezo mkubwa na commitment kwa chama kwa sababu ya petty grievances. Ita backfire tu. To paraphrase them " mkimaliza kuwashughulikia wakina Kigaila na Mwalimu mtaanza kushughulikiana wenyewe". Na ndio, kulikuwa na mpango wa kumshughulikia Mrema lakini kuna mtu akawa na pupa. Sio vizuri wanavyofanya. Wanaendeleza yale waliyomfanyia Mbowe kwa watu wanao amini ni watu wake badala ya kujaribu kushirikiana nao. Halafu wanazungumzia kutibu majeraha!

Amandla...
 
Hahaha Mwenyekiti bado anafanya kampeni? Hawezi kukaa kimya?

Siyo kila swali ana jibu lake, mwenyekiti siyo mmiliki wa chama. Kuna vitu vinajadiliwa na ngazi zingine za chama nakutolewa maamuzi.
Kwa hiyo kila Mtanzania atakayetaka kujiunga chadema Lisu ndiye anaidhinisha kujiunga kwao?

Najua hawa ni special case lakini asitake kuwaaminisha watanzania kwamba yeye ndiye mfunga na mfungua milango ya chadema.

Sasa Lisu anataka ajibu hadi maswali ya wapika chai wa ofisi za chadema.

Ajifunze kukaa kimya siyo kila kitu kinajibiwa hadharani.

Chadema inapokea RUZUKU kutokana na hao wabunge tunowaita Covid19. Halafu yeye anajidai HAWATAMBUI, akae kimya.

Ubunge wao wa mahakam ukifika tamati, wana haki kuamua kurudi chadema, au kwenda kokote watakako kwenda.
Swala la nani aliwapa fomu, au waliingiaje Bungeni akaulize ofisi ya spika wa Bunge, aache kujitoa akili.

Wanayo hiyari ya kuamua, kwanza ni watanzani, pili hawajafanya kosa la kusababisha wafukuzwe uanachama wao.
Acha uongo ndugu yangu.
Chadema haipokei ruzuku kupitia wabunge wa Covid 19. Wawepo au wasiwepo ruzuku ya Chadema ipo pale pale. Soma sheria na kuelewa.
 
Hahaha mwenyekiti sio Mungu, Chadema ni taasisi inawatu yeye ni mwenyekiti, siyo mmiliki wa chama.

Mnapinga mambo ya ccm, kuendeshwa kifalme, maamuzi anafanya mtu mmoja chama kizima, inapokuja kwenu mnakubali kila kitu anachosema Lisu, hivi huwa mnajiuliza mara mbili au mnatukuza hadi hamjielewi?

Lisu akae kimya asijifanye anajua kila kitu, Ruzuku inapokelewa ni kutokana na hao Covid19, sasa asichotaka nini,pesa au wabunge?
Kuropoka kwake ndio kumempa uwenyekiti, kukaa kimya kwa mbowe kumemnyima uenyekiti, lisu akikaa kimya, watamtukana amepoa
 
Mimi hapa ndio simuelewi Lissu.
Na mimi hapa ndio sikuelewi Fundi Mchundo! Kwa kawaida mstaarabu akivuliwa nguo huchutama!
Hivi kweli anaamini kuwa kama kungekuwa na fomu zozote Ndugai angezificha?
Thubutu, Ndugai ilibidi azifiche kwa sababu ama alijua au alishirikishwa katika njama hizo toka awali.
Hiyo si ndio ilikuwa nafasi ya kumuumbua aliye zisaini na kukivuruga kabisa CDM?
Hapana, lengo halikuwa kuivuruga Chadema tu, lengo kubwa lilikuwa kuzipa legitimacy CCM na bunge lake fake. Ndugai hakuwa na namna.
Kauli kama hizi za kichonganishi ndio zinanifanya nikose imani nae.
Mbona hili linaeleweka hata kwa kipofu...uliyekuwa humtaki awe, amekuwa. Kwa wingi wa wenye imani nae kwa sasa, upende usipende, ndiye mwenyekiti
Kwangu mimi wakina Halima na Esther ni bora mara kumi ya Msigwa na Slaa ambao ni rafiki zake
Sidhani kama hata unaelewa unachokisema. Kwa taarifa yako, hao Covid-19 walishavuliwa uanachama kwa usaliti wao lakini Msigwa na Slaa walijiondoa Chadema kwa sababu na kujiunga na CCM in protest!
Ningekuwa yeye ningetangaza ruhusa kwa yeyote ambae kwa sababu yeyote alikuwa nje ya chama kurudi kwenye familia.
Hapana, sikubaliani na wewe. Kama wanaipenda Chadema waombe kwanza msamaha halafu waombe upya uanachama.
Mbona waliweza kumkubali mpambanaji Aidan? Kwa hawa wanashindwa nini?

Amandla...
Kwani Aidan kosa lake nini? Je kugombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema na kushinda ni kosa?
 
Mimi hapa ndio simuelewi Lissu. Hivi kweli anaamini kuwa kama kungekuwa na fomu zozote Ndugai angezificha? Hiyo si ndio ilikuwa nafasi ya kumuumbua aliye zisaini na kukivuruga kabisa CDM? Kauli kama hizi za kichonganishi ndio zinanifanya nikose imani nae. Kwangu mimi wakina Halima na Esther ni bora mara kumi ya Msigwa na Slaa ambao ni rafiki zake. Hawa wanawake katika muda wote huu hawajawahi kukitukana chama chao wala viongozi wao. Lakini hao anao wakumbatia walifanya juhudi za wazi kukichimba chama chake.

Ningekuwa yeye ningetangaza ruhusa kwa yeyote ambae kwa sababu yeyote alikuwa nje ya chama kurudi kwenye familia. Mbona waliweza kumkubali mpambanaji Aidan? Kwa hawa wanashindwa nini?

Amandla...
Low IQ
 
Tundu Lissu ajenge chama kama alivyahaidi.

Aache Uharakati na kufukuzana na chupi. Musamaha ikufike Bulaya.

Nitamkote memba mwenzi yetu hapa
"Lissu should start to show his "STATEMANSHIP" end kwot

My take
Wanawake wa CHADEMA wameshalalamika kuwa kuna mfumo dume chamani, Lissu anakimbizana na kujibishana nao, watakosa bloc maalum Uchaguzi ya 2025. Ok
Kwani lissu anajibizana nao au yeye aliulizwa na mwandishi ??
 
Nawashauri covid19 warudi kundini ili kukijenga chama. Mzee rudi tafadhali, napenda umachachari wako.
 
Chadema inapokea RUZUKU kutokana na hao wabunge tunowaita Covid19. Halafu yeye anajidai HAWATAMBUI, akae kimya.
Chadema haipokei ruzuku kutokana na Covid-19. Chadema inapokea ruzuku kutokana na idadi ya Watanzania walioipigia kura...wewe ndio unatakiwa ukae kimya.
 
Na watafanya kila juhudi kumpaka matope. Lakini mlitaka asimame kinafik na kuwaaga? Mwalimu protegee wake amemrithi.
Aaah sasa kwanini hakuaga kama alikua msafi? Yaani alikimbia mara tu uchaguzi unaanza!!

Wala hakuna mpango wa kuwashughulikia ila kuna mpango wa "enquiry" kivipi wake za Mwalimu, Kigaila, na Mrema walienda bungeni!!

Sasa unakimbiaje kama unaongea ukweli.

Kigaila is a disappointment
 
Bawacha wapi hawawataki? Mimi naamini kuwa bado kuna wanawake wenzao ndani ya chama ambao wana imani nao. Wao kurudi kundini kunaweza kuwekewa masharti. Kwa mfano, wasigombee nafasi yeyote ya uongozi ndani ya chama kwa miaka kadhaa. Na ninaamini kuwa wengi wao hawana hata nia ya kurudi CDM. Nadhani wenye nia ya dhati ni Halima Mdee na Esther Bulayo tu. Wengine wako watakao acha siasa, watakaojiunga na CCM, watakaojiunga na vyama vingine. Kuna ambao hawatakuwa tayari kuwasamehe wale waliowaita Covid-19 na matusi mengine kibao.

Amandla...
Acha uongo, kwamba wanawake wapokee wabunge 19 alafu oktoba nani atapata fursa ya kuingia bungeni? If anything hao wakifukuzwa ina maana viti zaidi ya 20 vitakua free kwa BAWACHA.
 
Hahaha Mwenyekiti bado anafanya kampeni? Hawezi kukaa kimya?

Siyo kila swali ana jibu lake, mwenyekiti siyo mmiliki wa chama. Kuna vitu vinajadiliwa na ngazi zingine za chama nakutolewa maamuzi.
Kwa hiyo kila Mtanzania atakayetaka kujiunga chadema Lisu ndiye anaidhinisha kujiunga kwao?

Najua hawa ni special case lakini asitake kuwaaminisha watanzania kwamba yeye ndiye mfunga na mfungua milango ya chadema.

Sasa Lisu anataka ajibu hadi maswali ya wapika chai wa ofisi za chadema.

Ajifunze kukaa kimya siyo kila kitu kinajibiwa hadharani.

Chadema inapokea RUZUKU kutokana na hao wabunge tunowaita Covid19. Halafu yeye anajidai HAWATAMBUI, akae kimya.

Ubunge wao wa mahakam ukifika tamati, wana haki kuamua kurudi chadema, au kwenda kokote watakako kwenda.
Swala la nani aliwapa fomu, au waliingiaje Bungeni akaulize ofisi ya spika wa Bunge, aache kujitoa akili.

Wanayo hiyari ya kuamua, kwanza ni watanzani, pili hawajafanya kosa la kusababisha wafukuzwe uanachama wao.
Labda nikusaidie tu kidogo, kinachowapa Ruzuku Chadema siyo hao wabunge wa viti maalum walioko bungeni. Bali ni asilimia za kura za wabunge ambazo Chama kilipata kwenye uchaguzi mkuu. Hivyo hata kama kusingekuwa na mbunge hata mmoja wa Chadema lakini provided wamefikisha asilimia kuanzia Tano ya kura za wabunge waliogombea majimboni, still wangepata Ruzuku.

Asilimia hizo ndizo huwa pia zina kokotolewa kupata idadi viti maalum vya wabunge.
 
Back
Top Bottom