Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Hizi shule za bure namna hii ukipita bila ya kushukuru ni dhambi kubwa. Shukrani sana mkuu.

Sasa sisi slow learners ni shida kidogo, ninaomba kujiridhisha hapa. Kwahiyo, kama nimeelewa, kuna hatua /taasisi tatu utapaswa kufanya nao kazi, mfano: AMAZON = MYUS.COM=DHL. Hapa nipo sahihi?

Kuna mahali umesema kuna ada ya kijiunga na huduma ya DHL? Yani nitalipa ada kisha nitalipa gharama za kusafirisha mzigo, sivyo? Bila ya kutaja kampuni, gharama ya kusafirisha mzigo kama simu yaweza kufikia kiasi gani kwa makadirio?

Shukrani sana
 
Welcome! Our services include:

  • Web design
  • Logo design
  • Online business or company registration
  • Airline and Bus ticketing (Domestic & International)
  • Passport and Visa Registration
  • Studying abroad programs
  • Online imports and export services
  • And other IT related services
 
Here some EcoActs plastic poles 3.3inch x feet 8 cost 24,500, which are suitable for farm fencing making, gardens making and road signs, our poles they do not rot, terminate free, long lasting, strong and durable, more info contact through 0757671874 email amtatina@ecoact.co.tz
 
Mzigo unachajiwa kulingana na kg na thamani,unalipia kwanjia za kawaida bila usumbfu card za visa au ukiingia kwenye menu ya Tigo au M-pesa unachagua jina la kampuni unalipia
Kg sh ngap mfn vipodoz?
 
Samahan Wana jf nilikuw naombaa msaada kwa mweny uelew kuhus biashar ya kuagiza mzigo kutoka china mfano vyombo , blender,pazia na vingne naombaa kupat msaada natak nianze kuagiza
 
Samahani, naomba kujua hizi ni bei kweli? Na kuna changamoto gani unaweza pata ukinunua gari kupitia hapa?
 
Assalaamu ghalykm warahmtullah
Nisaidie nataka niagize nguo Turky online
 
Habari zenu wakuu, Katika kuhitaji kwangu TV na Fridge ila kutokana na ufinyu wa budget ikaniwia ugumu kuvipata vyote Kwa hapa kwetu Tanzania maana bei za hapa zimechangamka Sana

Nilijaribu kuulizia Zanzibar ila sikupata Msaada na kujikuta nachungulia Kwa majirani zetu Kenya, ndipo nilipokutana na hawa mabwana Instagram wakijiita Alibaba online store Kenya, nikacheki bei zao nikaona ziko vizuri kusema ukweli

Nikawacheki DM na kutaka kujua ni utaratibu upi wanatumia Katika uuzaji wao vifaa nchini kwetu Tanzania, wakasema wanafanya delivery Kila siku na delivery ni bure, na unafanya malipo kwanza Kisha unapewa tracking number unakuwa una track mzigo wako

Nikawauliza kama Wana branch Tanzania ili niende nikajiridhishe kabla ya kutuma pesa yangu na kupotelea kusikojulikana ila wakasema hawana, na wanaingiza vitu vingi tu Tanzania, nikaona ngoja nije Kwa ndugu zangu kutaka ushuuda au chochote kile ambacho kinaweza kunisaidia kabla sijafanya maamuzi

Nimejaribu kumtafuta yule jamaa alileta Uzi Kuwa yuko Kenya na anataka kutusaidia wa Tanzania kutuagizia vitu kutoka Kenya Kisha tunampoza kidogo ili akanichekie hiyo ofisi ya hao jamaa na apate uhakika kama kweli wanatuma vitu Tanzania Kwa ukweli ila bado sijafanikiwa kuongea nae, hivo wakati namsubiri nimeona muanze kunisaidia hapa jukwaani

 
Sasa mkuu si uwafate alibaba wenyewe kwenywe website yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…