Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Kwa mara ya kwanza ndio kwanza nimefanikiwa ku order juzi..
Order ndio hiyo itachukua siku 75,ni mda mrefu
Order ndio hiyo itachukua siku 75,ni mda mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari Naomba msaada wako mimi nimeagiza mara mbili, mzigo unaonekana umefika Country of destination ila sasa haunifikii nimetumia namba ya simu ya physical adress sikuweka sanduku la barua. Nafanyeje?Ndio utanifikia.
- Huu utaratibu ni kwa express shipment kama DHL ndio hizo taarifa mbili tu hutakiwa.namba ya simu ya physical adress
Fika posta makao makuu ukiwa na tracking number, omba wakutafutie huo mzigo.mzigo unaonekana umefika Country of destination
Huyo Mwl.RCT pia nae ni tapeli, kamtapeli ndugu yangu.naomba iwe bahati mzuri uwe mtu mzuri ambaye siyo tapeli. mkuu, ukiwa mwaminifu na jina lako la uaminifu likawa kubwa hapa jf kama lilivyo la MWL.RCT, amini nakwambia utapiga pesa mpaka uzichoke, wanaohitaji kununua bidhaa kenya tuko wengi sana, kenya shipping method yake ni cheap kuliko amazon, ebay na aliexpress
Hizi lawama mbona zinazidi kua nyingi kwa huyu ndugu yetu jamani mbona aanajulikana kabisa ni mzoefu wa hii kaziHuyo Mwl.RCT pia nae ni tapeli, kamtapeli ndugu yangu.
safi. tuendelee kuchangamkia fursaWiki iliyopita nilifanya manunuzi kwa niaba ya Chief-Mkwawa na nimemtumia hiyo simu hapo chini kama vielelezo vya picha vinavyoonekana na alipata Jumatatu View attachment 2193813View attachment 2193815View attachment 2193817View attachment 2193818View attachment 2193819
Umepta kwa sh ngapi mkuuWiki iliyopita nilifanya manunuzi kwa niaba ya Chief-Mkwawa na nimemtumia hiyo simu hapo chini kama vielelezo vya picha vinavyoonekana na alipata Jumatatu View attachment 2193813View attachment 2193815View attachment 2193817View attachment 2193818View attachment 2193819
Wiki iliyopita nilifanya manunuzi kwa niaba ya
@Chief-Mkwawa anaaminika na wengi akithibitisha ushuhuda huu atatuongezea imani!
Hapana Mkuu,sijui hata sura yake tunajuana kwa ID za humu JF pekeeNaomaba kujua kama unafahamiana physically yan kwa kuonana na au kutembeleana na chief Mkwawa. Yani anakujua hata unapoishi.
20,000kshsUmepta kwa sh ngapi mkuu
Ahsante na Karibu mkuu
imekuaje mbna mm huyu bwana nilimuagiza vitu mara 2 na vilifika na wala hajui ID yangu na wala sijui hata sura yakeHuyo Mwl.RCT pia nae ni tapeli, kamtapeli ndugu yangu.
Kwani matapeli huwa wanajali? hata mwanzisha mada kajibiwa nini na tapeli?Hizi lawama mbona zinazidi kua nyingi kwa huyu ndugu yetu jamani mbona aanajulikana kabisa ni mzoefu wa hii kazi