Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

imekuaje mbna mm huyu bwana nilimuagiza vitu mara 2 na vilifika na wala hajui ID yangu na wala sijui hata sura yake
vitu vilivyofika nilienda kuchukua POSTA
ebu tupe taarifa zaidi alimtaperi vipi na ilikuaje
Muulize mwenyewe, labda hizo nazo ni mbinu za kujenga jina, kama ilivyo kwa upatu/DESI,wengine wanaliwa wengine wanapata.
 
Huyo Mwl.RCT pia nae ni tapeli, kamtapeli ndugu yangu.
Please weka vithibitisho.

Kama hujaweka vielelezo si sawa,utakua unamchafulia jina na kumwaribia biashara yake..

Nimewahi nunua kwa huyu bwana na vilifika bila tabu kwa uaminifu mkubwa...

Kwa hizi shutuma zako umenifanya nianze kupata mashaka.

Tafadhali thibitisha tuhuma zako.
 
Please weka vithibitisho.

Kama hujaweka vielelezo si sawa,utakua unamchafulia jina na kumwaribia biashara yake..

Nimewahi nunua kwa huyu bwana na vilifika bila tabu kwa uaminifu mkubwa...

Kwa hizi shutuma zako umenifanya nianze kupata mashaka.

Tafadhali thibitisha tuhuma zako.
Acha kujipendekeza, kwani yeye hana mikono? Au wewe ni mke wake? Mbona sijakutaja wewe?
 
- Huu utaratibu ni kwa express shipment kama DHL ndio hizo taarifa mbili tu hutakiwa.

Fika posta makao makuu ukiwa na tracking number, omba wakutafutie huo mzigo.

Mkubwa samahani nashindwa kulink amazon na paypall naomba msaada
 
Amazon wana mfumo wao wa kujitegemea.
Weka taarifa za kadi yako amazon na miamala ya manunuzi itafanikiwa.

Na ebay je wanaruhusu kutumia payal? Maana naambiwa kwamba the ability to link paypal account is no longer availble. However any previously linked account remains active
 
Na ebay je wanaruhusu kutumia payal?
Ndio.
1651501348643.png
 
Hatua ya kwanza jisajili kwenye mtandao unaotaka kununua bidhaaa,eg AliExpress

Humo utajaza data zako fresh ikiwepo na adress yako bila kukosea postcode ya eneo lako

Hatua ifuatayo,fanya manunuzi ,tumia mpesa mastercard kufanya payments ni rahisi sana..

Subiria mzgo wako huku ukiwa una utrack,ukifka posta nenda na ID yako utapewa furushi lako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120]wewe ndio nimekuelewa kirahisi japo lugha yako Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa wanunuzi wa bidhaa mtandaoni hapa nazungumzia Aliexpress na Alibaba huu ni uzi maalum wa kujifunza kuagiza bidhaa kupitia mtandao huu hususan Aliexpress. Mjuavyo Aliexpress ni mtoto wa Alibaba

Alibaba imebase kwenye kuuza bidhaa za jumla huku aliexpress wakibase kuuza bidhaa za rejareja na mojamoja kwa mteja

Ndio mtandao unaokuwa kwa kasi na umekuwa na wanunuzi wengi kupita hata Amazon na Ebay

Kupitia uzi huu nimeanzisha hili tuweze kupeana elimu na maarifa kuhusu manunuzi kupitia hizi site kama walivyofanya wenzetu walivyoanzisha uzi wao tukajifunza kuhusu Ebay

Natumai wataalam na wenye uzoefu mpo humu na mtajibu maswali ya wengi wetu tunaopenda kufahamu zaidi na kujifunza kuhusu aliexpres

Na maswali mengi yatabase kwenye kila kitu

Mfano mpaka bidhaa imfikie muhusika, gharama, system ya malipo, muda, na uimara wa bidhaa n.k

Karibuni sana wadau
Ukitaka kusafirishiwa na meli unafanyaje!?
 
paypal yangu ni ya kitambo na sasa nahitaji kupata kadi ya Bongo inayoweza lipia/ link na paypal
 
Back
Top Bottom