Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

Ndio utanifikia.
Habari Naomba msaada wako mimi nimeagiza mara mbili, mzigo unaonekana umefika Country of destination ila sasa haunifikii nimetumia namba ya simu ya physical adress sikuweka sanduku la barua. Nafanyeje?
 
Huyo Mwl.RCT pia nae ni tapeli, kamtapeli ndugu yangu.
 
Naomaba kujua kama unafahamiana physically yan kwa kuonana na au kutembeleana na chief Mkwawa. Yani anakujua hata unapoishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…