KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Muulize mwenyewe, labda hizo nazo ni mbinu za kujenga jina, kama ilivyo kwa upatu/DESI,wengine wanaliwa wengine wanapata.imekuaje mbna mm huyu bwana nilimuagiza vitu mara 2 na vilifika na wala hajui ID yangu na wala sijui hata sura yake
vitu vilivyofika nilienda kuchukua POSTA
ebu tupe taarifa zaidi alimtaperi vipi na ilikuaje
Mbona ni huyu mmoja tu analalamika au kuna mwingine?Hizi lawama mbona zinazidi kua nyingi kwa huyu ndugu yetu jamani mbona aanajulikana kabisa ni mzoefu wa hii kazi
Ina bei gani hii redmi 11Wiki iliyopita nilifanya manunuzi kwa niaba ya Chief-Mkwawa na nimemtumia hiyo simu hapo chini kama vielelezo vya picha vinavyoonekana na alipata Jumatatu View attachment 2193813View attachment 2193815View attachment 2193817View attachment 2193818View attachment 2193819
20,000kshsIna bei gani hii redmi 11
Please weka vithibitisho.Huyo Mwl.RCT pia nae ni tapeli, kamtapeli ndugu yangu.
Acha kujipendekeza, kwani yeye hana mikono? Au wewe ni mke wake? Mbona sijakutaja wewe?Please weka vithibitisho.
Kama hujaweka vielelezo si sawa,utakua unamchafulia jina na kumwaribia biashara yake..
Nimewahi nunua kwa huyu bwana na vilifika bila tabu kwa uaminifu mkubwa...
Kwa hizi shutuma zako umenifanya nianze kupata mashaka.
Tafadhali thibitisha tuhuma zako.
Yeye ameona akupuuze maana unalalamika bila uthibitisho utadhani unasimulia hadithi kwenye vijiwe vya alkasusuAcha kujipendekeza, kwani yeye hana mikono? Au wewe ni mke wake? Mbona sijakutaja wewe?
Sawa, we endelea kununua tu, sijakukataza.Yeye ameona akupuuze maana unalalamika bila uthibitisho utadhani unasimulia hadithi kwenye vijiwe vya alkasusu
- Huu utaratibu ni kwa express shipment kama DHL ndio hizo taarifa mbili tu hutakiwa.
Fika posta makao makuu ukiwa na tracking number, omba wakutafutie huo mzigo.
Amazon wana mfumo wao wa kujitegemea.amazon na paypall naomba msaada
Amazon wana mfumo wao wa kujitegemea.
Weka taarifa za kadi yako amazon na miamala ya manunuzi itafanikiwa.
Angalia Post ya kwanza Kwenye hii link: http://bit.ly/101buy4meNaomba unisaidie mawasiliano yako
Vipi kuhusu quality ya hivyo viatu Mkuu...!?Asante sana wanaJf kwa elimu nzuri mnayoitoa, imenisaidia sana hatimae nimefanikiwa kuagiza bidhaa toka China , na kunifikia.
View attachment 2256595View attachment 2256597View attachment 2256596
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120]wewe ndio nimekuelewa kirahisi japo lugha yako Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatua ya kwanza jisajili kwenye mtandao unaotaka kununua bidhaaa,eg AliExpress
Humo utajaza data zako fresh ikiwepo na adress yako bila kukosea postcode ya eneo lako
Hatua ifuatayo,fanya manunuzi ,tumia mpesa mastercard kufanya payments ni rahisi sana..
Subiria mzgo wako huku ukiwa una utrack,ukifka posta nenda na ID yako utapewa furushi lako.
Ukitaka kusafirishiwa na meli unafanyaje!?Kwa wanunuzi wa bidhaa mtandaoni hapa nazungumzia Aliexpress na Alibaba huu ni uzi maalum wa kujifunza kuagiza bidhaa kupitia mtandao huu hususan Aliexpress. Mjuavyo Aliexpress ni mtoto wa Alibaba
Alibaba imebase kwenye kuuza bidhaa za jumla huku aliexpress wakibase kuuza bidhaa za rejareja na mojamoja kwa mteja
Ndio mtandao unaokuwa kwa kasi na umekuwa na wanunuzi wengi kupita hata Amazon na Ebay
Kupitia uzi huu nimeanzisha hili tuweze kupeana elimu na maarifa kuhusu manunuzi kupitia hizi site kama walivyofanya wenzetu walivyoanzisha uzi wao tukajifunza kuhusu Ebay
Natumai wataalam na wenye uzoefu mpo humu na mtajibu maswali ya wengi wetu tunaopenda kufahamu zaidi na kujifunza kuhusu aliexpres
Na maswali mengi yatabase kwenye kila kitu
Mfano mpaka bidhaa imfikie muhusika, gharama, system ya malipo, muda, na uimara wa bidhaa n.k
Karibuni sana wadau