Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Mwenye uwezo wa kuwatag moderators afanye hivyo ili kuuweka mwendelezo kwenye page ya kwanza. Naona watu wanaishia episode ya 32 then wanaanza kuulizia mwendelezo wakati kuna episodes nadhani inaweza kufika hata sehemu ya 60. Please watag moderators watu wapunguze kuulizia mwendelezo.
 
Mkuu huyo shemeji yetu alikuwa anaitwa KHUMBU nani sorry lakini nataka nimchungulie facebook

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Acha Acha kubishana na huyo ametokea Tinde haijui dunia!!!
 
Nikamilishe page ziwe 2000 [emoji23][emoji86][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu unataka kusemaje?
Tuache na upumbavu wetu tudanganywe hayakuhusu.

Unataka upate elimu ya uraia hapa.
Mayor kitu gan ndugu yangu?
 
hafai kuitwa mwamba ni fala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…