Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua


Hili tuliite povu au uzumbukuku?

Unasema habari inaletwa bila chanzo, ulivyoelezwa kuwa chanzo cha yaliyotajwa hapo juu ni Hadithi za mtume(directly) na Qur'an(indirectly) hukuelewa?
Au unahitaji hizo hadithi uzipinge na zenyewe?
 
Hili tuliite povu au uzumbukuku?

Unasema habari inaletwa bila chanzo, ulivyoelezwa kuwa chanzo cha yaliyotajwa hapo juu ni Hadithi za mtume(directly) na Qur'an(indirectly) hukuelewa?
Au unahitaji hizo hadithi uzipinge na zenyewe?
Wewe usiye zumbukuku basi tuwekee hapa hiyo hadithi tuisome kama inaamrisha kukamua mavi ya maiti.
Napenda watu wenye Hekima kama wewe.
Mi nasema tena na tena na narudia tena kwamba.

[emoji117]Hakuna andiko la Dini yoyote lililo ruhusu hicho kitendo.

Mimi siwezi kupinga maandishi yaliyo andikwa iwe Aya au hadithi.

Basi nasubiri hiyo Aya au hadithi ya mtume ni amini kuwa wewe sio Zumbukuku.
La sivyo ni vema tu ukaacha kuropoka mambo usiyo yajua.
 
hamna tofauti ila msibani hatuli tena
 
Unazngua bhna na hii comment yako ya ukorofi yaan nia yako wahusika wachukie wakujibu kwa jazba muanze kupanik na kutukanana eti kisa dini umeshindwa kusoma tu na kupita uwaache wenye Imani yao wajadili Kama wengine walivyofanya?, hiyohyo dini yako unayoiona ipo sahihi zaidi Ina watu waovu kupita maelezo Sasa dini ni Nini hapo?? Sio vizur kujitoa fahamu mkuu
Hayo Mavi wanayokamua ni ya muhimu sana maana Kazi mojawapo huwa yanatumika kumuita Jini makata
 
Mzee kwani unadhani nimedanganya/nimetunga?
 
usishughulike nae huyu Citizen B namjua vzr anachuki sana na Uislamu

Note:ukicomment ujinga sitokujibu@Citizen B
 
Kama Allah anafanya haya hapa , tuuchukulieje uislamu
19.83 Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
Mkuu nini hii? Hivi inawezekana mungu akawa anatabia za ajabu ajabu hivi?
Lakini hapana, Mungu ninaemwabudu mimi ni Mungu mwenye upendo na huruma sana. Kila mara huniepusha na hatari za mashetani.
 
Tufuate sunna za bwana Mtume Muhammad (Rehma na amani ziwe juu yake)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…