Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Mambo mengine Ni Magumu kutafakari.
Amekufa,na atazikwa mavumbini,na ataoza muda si mrefu,alafu process hizi zote? WHY? Kama walipinduka na gari akazamishwa kwenye matope,au nyumba imeanguka akafukiwa na kifusi hapo inamake sense,
Anyway Mimi Ni kijana sijui mengi.
 
Duuuh!.

Je, wenye nywele sehemu zao za siri? Namaanisha vikwapani na kule kunako. Hawanyolewi?
 
Sisi tuna utaratibu wetu. Kikabila, sisi ananyolewa nywele zote na kukatwa kucha.

Baada ya hapo hupakwa mafuta (kondoo au ng'ombe) na safari yake huanza mara moja.
 
Katika ukimwengu uliojaa maradhi kama wetu sijyi inakuwaje kwa huo utaratibu hasa hiyo ya kumswakisha marehemu kwa kidole tu chenye kitambaa laini. Kuna hatari ya kuambukizana maradhi mwanzo mwisho. Anyway sisi wote tunaoita na njia yetu sote ndiyo hiyo japo wengine hatutapitia process zote hizo
 
Mkuu unaweza kuongeza na hizi picha ili watu waweze kuelewa vizuri hatua kwa hatua[emoji116]
0d1bfd277d3185a1a8df2d4cc365a02c.jpg
c206127af1b428fbb862826f80d6ee79.jpg
9792519277bd5969b25b9537379b1606.jpg
1c248422dc95d7fdb4a123e2b21b1e1e.jpg
c6b46dcfd81b3e2ee80db632d6cee679.jpg
bf1463698839f61054c0fcee1a373ad6.jpg
cb12cc6585efeeb2dae5094e2eabea44.jpg
232e687a1448b1667dd46db3fe7cddd2.jpg
21de5aa9da8193e656e83d766107c6c9.jpg
ce6129f2357e0a6dd3e2ce92997b8c30.jpg
c34e1fc3da20cb4482b61433daecf363.jpg
2b79fb11759c86978f291ce6f51e4f63.jpg
b46e21f566d2cdbdb47f4544c6c833aa.jpg
 
Aiseee. .

Aliyeweka na picha asante...

Ila nadhani wanatakiwa kutumia gloves bana.....
 
Back
Top Bottom