Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@joseverest, embu njoo chap Kuna jambo hapaDuh..! hata kale kajamaa kenye avatar ya mtoto aliyebemendwa kanakokuwaga kakwanza kukoment kila uzi leo hakajatia neno hapa ujue huu uzi ni balaa.
Huu uzi mkuu ni balaa,maana kuusoma si kaz ndogo,ndo maana nikamuuliza ana maana ganiDuh..! hata kale kajamaa kenye avatar ya mtoto aliyebemendwa kanakokuwaga kakwanza kukoment kila uzi leo hakajatia neno hapa ujue huu uzi ni balaa.
Mkuu weka hata picha elekezi..Msiogope watu wa Mungu
Joseverest hawezi ku-comment wa kwanza kwenye thread kama hizi@@joseverest, embu njoo chap Kuna jambo hapa
Suti na viatu vya nini kama anaenda kuoza?Enyi watu mbona mnasumbua hivi?majeneza ya mbao na gharama ya nakshi ya nini kama mnaenda kuoza?Mpk nimeogopa
Mtu akifa amekufa hamna yaja ya kufany usafi, maana anakwenda kuoza
Cha msingi tufanye mema duniani ili tuwe na moyo safi
Ahsante mkuu,kwanza ukimuosha maiti unajua on the spot mwanaadamu si kitu hapa duniani!Nilijifunza hili wakati na muosha marehemu babaangu,mungu ampe Kauli Thabit!Ili maiti aweze kuoshwa vizuri hatua zifuatazo ziweze kupitiwa:
1. Maiti awekwe kwenye kitanda chenye tobo katikati kwa ajili ya kupitisha uchafu utokao tumboni kama upo.
2. Lichimbwe shimo (ufuo) usawa wa tobo la kitanda ili kuhifadhi uchafu utokao kwa maiti.
3. Maiti afunikwe na shuka kubwa iliyonyepesi kiasi cha kuruhusu maji kupita.
4. Maiti ikalishwe kitako na makalio yake yaelekee kwenye tobo la kitanda.
5. Muoshaji apitishe mkono wake wa kushoto juu ya tumbo la maiti aliminyeminye kwa taratibu ili kutoa uchafu
6. Alazwe chali na aminyeminye tumbo lake kama hapo awali.
7. Aikalishe tena kisha apitishe mkono wa kushoto chini ukiwa umevalishwa kitambaa au gloves asafishe tupu mbili huku akijimiminia maji mkono wa kulia.
8. Ampigishe mswaki kwa kitambaa kilaini kilicho viringishwa kwenye kidole cha shahada cha mkono wa kushoto, akichove majini kisha amswakishe maiti vizuri meno ya juu na ya chini kisha akitupe ufuoni.
9. Azungushe kitambaa kingine kwenye kidole kidogo cha mkono wa kushoto, akichove majini, kisha amsafishe nacho tundu za pua kisha akitupe ufuoni.
10. Achukue kijiti laini achokonoe kucha zake, iwapo ni ndefu na chafu.
11. Akiwa pia kamkalisha maiti amtawadhishe maiti kwa kufuata utaratibu wa kawaida wa kutawadha.
12. Kumuosha kichwa kwa sabuni.
13. Kisha kumuosha kwa ubavu wa kulia kwa kumiminia maji mbele na nyuma.
14. Kisha hivyo hivyo na ubavu wa kushoto.
15. Baada ya makosho hayo mawili la maji na sabuni na kuondoa sabuni, pawe na kosho la tatu la maji yaliyowekwa karafuu maiti na marashi kidogo.
16. Baada ya makosho haya matatu, muoshaji anyooshe viungo vya maiti na kumlaza sawa sawa kama alivyolazwa mara ya kwanza baada ya kufa. Kisha achukue nguo kavu na kumfuta maiti tayari kwa kivishwa sanda.
Itakutokea ngojea nikutumie picha pmEe nimeisoma hadi mwisho. Haiogopeshi bana(Mchana huu nasema tu usiku shughuli ndotoni)
Kale ni kajobless saiv kameenda kuchezaDuh..! hata kale kajamaa kenye avatar ya mtoto aliyebemendwa kanakokuwaga kakwanza kukoment kila uzi leo hakajatia neno hapa ujue huu uzi ni balaa.
HahahaItakutokea ngojea nikutumie picha pm
Poa we ntakuvalisha msuliAsante kwa somo mkuu. ......Manake wengine wanavalisha maiti SUTI NA BUTI. ....alafu wanasema wanamfuata YESU.
Utaanza weweWatu wanaogopa kufa. Huu ni ukumbusho kwamba sisi wote tutakufa tupo njiani . tutende yanayompendeza muumba.
kubwa au ndogo?Heee
Mkuu nilishapita kwenye huu uzi post #16@@joseverest, embu njoo chap Kuna jambo hapa
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40] uzi wenyewe unatisha balaa...inabidi uwe na moyo wa ujasiri mkuuJoseverest hawezi ku-comment wa kwanza kwenye thread kama hizi
Sawa, lakini kwani hii ni elimu ya hadhara?Hayo ni mafundisho katika imani ya kiislamu!
"Waislamu tunaamini ile ni nyumba ya kwanza miongoni mwa nyumba za mbinguni na ya mwisho miongoni mwa nyumba za dunia"
Yampasa maiti apelekwe hali ya kuwa ni msafi.