Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisikia huyu mwenzetu sasa ni marehemu, kuna ukweli?Mkuu nilishapita kwenye huu uzi post #16
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40] uzi wenyewe unatisha balaa...inabidi uwe na moyo wa ujasiri mkuu
Nilisikia huyu mwenzetu joseverest sasa ni marehemu, je ni Kweli?Joseverest hawezi ku-comment wa kwanza kwenye thread kama hizi
Am not sure..Nilisikia huyu mwenzetu joseverest sasa ni marehemu, je ni Kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah wanawake wanaosha piaSina uhakika, hivi wanawake wanaosha pia?
basi ni muhimu kujifunza mkuuMambo mengine Ni Magumu kutafakari.
Amekufa,na atazikwa mavumbini,na ataoza muda si mrefu,alafu process hizi zote? WHY? Kama walipinduka na gari akazamishwa kwenye matope,au nyumba imeanguka akafukiwa na kifusi hapo inamake sense,
Anyway Mimi Ni kijana sijui mengi.
Aaamyn yaa rabbi l a'alamyynAhsante mkuu,kwanza ukimuosha maiti unajua on the spot mwanaadamu si kitu hapa duniani!Nilijifunza hili wakati na muosha marehemu babaangu,mungu ampe Kauli Thabit!
Mji huo unaouzungumzia wewe mji upi? pengine hata nje ya mkoa wako hujawahi kutoka sikwambii nje ya nchi yako.achana naye, mleta mada hajui kuwa jambi hili haliwezi kufanyika mjini kama alivyoliainisha , mjini hakuna mashimo hayo ya kutupa uchafu
Ni kweli, kama yeye binafsi hakusafisha ROHO yake, basi kusafishwa MWILI wake hakutamwondoa katika hukumu mbaya ya milele.Kuosha maiti kuna maana gani ikiwa dhamani ya mwanadamu ipo kwenye uhai wake
Wewe una ushahidi kuwa ni wazungu waliokopi hilo neno na si Waarabu walikopi neno Coffin?Kukafini= maana yake ni kuvisha sanda na kumtia katika jeneza.
Ndio maana wazungu walikopi neno (coffin) wakimaani (Qafin)
Una akili sana wewe.Mpk nimeogopa
Mtu akifa amekufa hamna yaja ya kufany usafi, maana anakwenda kuoza
Cha msingi tufanye mema duniani ili tuwe na moyo safi
wa dini ya kiislam akhuiMkuu ungesema huyo maiti ni wa imani ipi maana sidhani kama imani zote zinapaswa kufanya hayo