Ndio. Ujue mochwari kuna wahudumu wanawake pia
Au ndugu wa kike kumuosha mpendwa wao(marehemu)wa kike
Upo wapi kwani mkuu, mbona bado mchana ,Mpk nimeogopa
Mtu akifa amekufa hamna yaja ya kufany usafi, maana anakwenda kuoza
Cha msingi tufanye mema duniani ili tuwe na moyo safi
Hapana,ni kwa Waislamu tuAhsante kwa somo, ila huu uoshaji unahusika kwa dini zote mbili?