Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Ilikuwa inasemekana, sasa nimeanza kuamini yakuwa huwa mnamkamua marehemu kinyesi

D.A "Mwanaume mashine"
Hata mimi leo ndio nimehakikisha.du dunia ina mengi hii.pole yao.mmmh process yote hii halaf anaendazikwa mavumbini.kisha anuke na kuoza so soon.
 
Dhehebu gani linaloosha maiti kisenge namna hii? Quran na biblia zimekataza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumbuka kuyabeba maji uliyooshea ni kipusa hapa town.
 
Nimeyabeba ya mhimu, ni habari ngumu kuisoma ila ndiyo hivyo hatuna jinsi maana tunafiwa watu mhimu sana ambao huwezi kukwepa jukumu hilo.
 
hapo nina swali huwa uchafu wa ndani ya tumbo mnautoa? kama mnautoa mbona hujaeleza hapo kiundani tuelewe
 
Allah akulipe ndugu
 
Huyo anaetukana mwambie asipanic ndio waisilamu haya tuelezee kwa wakristo na utupe andiko gani kwenye bible jinsi ya kuosha maana vitabu ndio miongozo yetu. Au mzungu
 
Ilimu iyo ni muhimu kwa waislamu na wote wanaoamini katka kufa na stara ya maiti
 
Hakika ni vyema kujiandaa kama kuoshwa twaogopa je tungeliyajua yale yanayotokea kaburini ingekuaje? Mwenyezi tufanye tuwe waja wema In Sha Allah
Hakuna yanayotokea kaburini boss,achana na hofu of unknown. Waogope wasiojulikana Tanzania make wanaweza kukutoa roho.
 
yaan process zimekuwa ni conservative hazijaangalia variable 2 ambazo very important
1.time
2.environment

let say mtu kama na kipindu pindu o ugonjwa wowote hatari bila kuchukua precautional measure mtapukutika kijjin o mtaa mzima km majani ya kiangazi!

hizo hatua zinaeleza as if kila mait wako the same in character...eg mtu amekufa amejinyonga ameharibika o matumbo yako nje ameanza kutoa harufu unamkalisha?unampigisha mswaki?...sasa huo ni mswaki o kidole ulichoingiza mdomoni,sasa kidole kilichofungwa kitambaa kinatosha kuondoa uchafu bila mswaki halisi na dawa? ikiwa aim ni kuondoa uchafu?

====na kwanini kidole isiwe mswaki wa mti km aliyokuwa anatembea nao mudi?
 
Mkuu ungesema huyo maiti ni wa imani ipi maana sidhani kama imani zote zinapaswa kufanya hayo
kuosha maiti kuna imani kuuumbe.... ina maaana kuna wengine ambao wanazika hata na mavi....[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…