Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Mkuu hapo kwenye jiko nifafanulie plZzzz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jee nikiweka kwenye hiyo chupa more than 6 hours kuna shida?vp nikiloweka toka jana yake nije tena kuyaweka kwenye thermos kwa hizo 5 five hours then nikachemsha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Aisee, sayansi hii nani alikufundisha??

Very brilliance.
 
Ufafanuzi mzuri.
Ila kuhusu maharage mabichi sijui ni mimi tu? Naonaga hayanogi yamepooza sana.
 
Kuna vitu umechanganya hapa asee, sikuelewi kabisa.
(A) Jee nikiweka kwenye hiyo chupa more than 6 hours kuna shida?
(B) vp nikiloweka toka jana yake nije tena kuyaweka kwenye thermos kwa hizo 5 five hours then nikachemsha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…