Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 538
Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa CHADEMA mwaka jana walijuta sana.Yule mchimbaji mdogo Laizer aliyepewa mabilion na Samia/JPM amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
Rais Samia ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.Wewe na familia yako kama kura zenu mlimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania na tulimpigia kura kwa 98% Vijana wachache wa CHADEMA mwaka jana walijuta sana.
Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.Rais Samia ni Mzalendo wa kweli na mpaka sasa hana mpinzani.
Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.Lissu alikuwa analipwa mabilion kuwatetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu Rais Samia na JPM wakatutetea dhidi ya Mabeberu.
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana 2020 kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia 2025.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.Hizi maktaba alizojenga Rais Samia na JPM viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar.
Mungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais Samia.Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza.
Samia na JPM walijenga fly over zilizomshinda mkoloni.Mungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais Samia.
kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno.Samia na JPM walijenga fly over zilizomshinda mkoloni.
Rais Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda Mjerumani miaka hiyo anaitawala Tanganyika.kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno.
Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee.Rais Samia anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda Mjerumani miaka hiyo anaitawala Tanganyika.
Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera sana Rais Samia.Rais Samia anafanya mambo makubwa sana huyu mama. CCM oooyeeeee.
Chadema walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera sana Rais Samia.
Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.Chadema walilamikia ufisadi ila Samia ameondoa ufisadi na matokeo yake majizi na mafisadi yamekimbilia kujificha Chadema.
Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouonesha.Hata siku moja Rais Samia hapumzishwi wala kutishwa na wahuni wa mtandaoni.
Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.Ni aibu kubwa kumpinga Rais Samia kwa uzalendo anaouonesha.
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante sana mama Samia.Rais Samia ni mtu mwema na yupo makini sana huyu mama yetu.
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Samia hao Wapinzani.Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante sana mama Samia.