Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
OkayThere is a point in life you need to Change things.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayThere is a point in life you need to Change things.
Mbona ndoa yangu bado ipo imara mwaka wa 7 sasaNdoa baada ya miaka 2 ni maigizo tu.
Sawa mkuu, nipo ninaziandaa kama zote na nitazimwaga humu siku kadhaa zijazo. Sasa nimekuwa life coach kwa muda tu.Nimemiss mastory yako ya kivita
Pole sana bossMiaka tano ndani ya miaka saba naishi maigizoni.
Kumbe na wewe ni NshomileAmen
Yani hadi na wao walishaanza kumchukia baba yao kutokana na vile mama yao anavyolalamika... Baadae nao wakaanza kuntenga maana maza aliwajaza sumu kwahiyo wakawa wananiona snitchMkuu, ulifanya uamuzi wa maana sana wa kutokuvunja ndoa ya uncle wako la sivyo laana ya hao watoto ingekuandama mpaka kufa kwako.
Thanks for translationEverything is God purposes
Mkuu, kwani wewe sio Mhaya?Thanks for translation
Aliwahi kusema yeye ni mkurya huyoMkuu, kwani wewe sio Mhaya?
Siwapendi kabisa hawa. Wanafurahia JPM kufa.CHADEMA wengi ndio wachonganishi hata katika ndoa za wanachama wao. Angalia ndoa ya Joyce Kiria na mumewe yule kada wa Ufipa.
Wanajifanya wajuzi wa kila jamboTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kugegedwa ndio nini?Mimi na rafiki yangu tumekula yamini mkewe akugegedwa nje au kufanya jambo litakaloathiri afya au uhai wake namuambia na yeye ananiambia
kuliwa kimasiharaKugegedwa ndio nini?
Doooh hii kiboko sasakuliwa kimasihara