Kazuri Kadada
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 536
- 435
Nyani wanafurahia kifo cha mkulima wa mahindiSiwapendi kabisa hawa. Wanafurahia JPM kufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani wanafurahia kifo cha mkulima wa mahindiSiwapendi kabisa hawa. Wanafurahia JPM kufa.
Hao nyani hawajui kuwa bila mkulima wa mahindi watakufa kwa njaa?Nyani wanafurahia kifo cha mkulima wa mahindi
Tena saaaana mkuu. Wanataka kuufanya mchana kuwa usikuTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Bila shaka hiyo yamini ni kiapo. Sasa ni kiapo kwa lugha gani ndio huitwa yamini?...Mimi na rafiki yangu tumekula yamini
Teh Teh Teh Mkurya wa Kyabakari au Nyamongo?Aliwahi kusema yeye ni mkurya huyo
Hivi hii Nyamongo ipo wapi jamani?Teh Teh Teh Mkurya wa Kyabakari au Nyamongo?
Kwa sababu nyani chakula chao ni mahindi pekee et...na ni lazima yawe ya mkulima huyo huyo ...interestingHao nyani hawajui kuwa bila mkulima wa mahindi watakufa kwa njaa?
Na wewe sio lazima usome...Sio lazima uandike..
Kama huyo mke/mume ni ****** kama ulivyomuita hapo juu, si wamependana wenyewe. Sasa wewe inakuhusu nini?...Kwani ndoa kuvunjika nini cha ajabu???
Wewe ndo utakuwa wa kwanza au
Sasa mtu aishi na limalaya ndani kisa nini yaani.
Bora wawe single kwa kupenda wenyewe na sio kwa sababu wewe mtu baki umeingilia familia ya watu.Kama ndoa haikupi furaha ya nini sasa si bora uwe single tu..
Sasa ndio nini hiki umeandika?Sio lazima uandike..
Kwani ndoa kuvunjika nini cha ajabu???
Wewe ndo utakuwa wa kwanza au
Sasa mtu aishi na limalaya ndani kisa nini yaani.
Kama ndoa haikupi furaha ya nini sasa si bora uwe single tu..
Sasa ndio nini hiki dogo?Sio lazima uandike..
Kwani ndoa kuvunjika nini cha ajabu???
Wewe ndo utakuwa wa kwanza au
Sasa mtu aishi na limalaya ndani kisa nini yaani.
Kama ndoa haikupi furaha ya nini sasa si bora uwe single tu..
Sio sawaSawa....
Kwanini?Sio sawa
UKIMWI unaua taratibu lakini maneno yako ya umbea yataua haraka ndoa ya rafiki yako...Kwaiyo unaoba labda shemeji yako ana date na watu tofauti tofauti mtaani na usimshtue mshkaji wako achukue taadhari? Then aambukizwe ukimwi wote wafe waache watoto umeokoa nni?
Ebu nipe tofauti ya umbea na unafki?UKIMWI unaua taratibu lakini maneno yako ya umbea yataua haraka ndoa ya rafiki yako...