Kadi Poa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,015
- 1,005
Hiyo maana yake ni makalio makubwa. Uliingia lini Dar kutokea Makambako?oohoooo msambwanda ndio nini tena? Vijana mna mambo teh teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo maana yake ni makalio makubwa. Uliingia lini Dar kutokea Makambako?oohoooo msambwanda ndio nini tena? Vijana mna mambo teh teh teh
Saga chupa ule umfuate kuzimu mburukenge wahedSiwapendi kabisa hawa. Wanafurahia JPM kufa.
Yeye alieuwa wenzake kwanini wasifurahie?Siwapendi kabisa hawa. Wanafurahia JPM kufa.
Marehemu anapaswa kusamehewa. Acha roho mbaya wee jamaa weeYeye alieuwa wenzake kwanini wasifurahie?
Wangapi wamepotea wangapi wameokotwa kwenye mifuko wangapi wamepigwa na kufungwa?
Yule alikua shetani hakuna cha uchadema na uccm tuzungumze uhalisia yule alikua shetani kwemye kivuli cha uzalendo
Mungu nae hakawii hapendi kumuona mtu anajifanya ni Mungu haoa duniani kua na mamlaka ya uhai wa watu
MhhhHayo maneno unnayoandika mwisho wa Andiko lako yanan'chefua hasa nikikumbuka Last King of Scotland alivyotuhimiza alafu ikafuatia ile ripoti ya mkaguzi nachoka kabisa.
Pole sana mkuu kama yanakuchefua. Ninaomba uniwie radhi. Last King wa Scotland alisemaje kwani mzee baba?...Hayo maneno unnayoandika mwisho wa Andiko lako yanan'chefua hasa nikikumbuka Last King of Scotland alivyotuhimiza alafu ikafuatia ile ripoti ya mkaguzi nachoka kabisa.
King of scotland alisema watu wapeane papuchi kila jumanne kabla ya jua kuzamaPole sana mkuu kama yanakuchefua. Ninaomba uniwie radhi. Last King wa Scotland alisemaje kwani mzee baba?...
Huyu demu mnaoana lini?
Akikujibu nitagHuyu demu mnaoana lini?
Ugonjwa unaua taratibu tofauti na umbea wako wewe rafiki unaoua ndoa haraka.Kaswali kadogo ! Bwana ametulia kwenye ndoa ila mke anachepuka na watu wa ajabu , nimwambie bwana au niache ? Nikiacha akamletea bwana kifo nami najua hiyo issue itakuwaje !
Hawezi kujibu huyo na huo ndio ubaya wa stories za kutungatunga.Akikujibu nitag
Sasa anatunga kwa faida ya nani? Ili aingize pesa ngapi?Hawezi kujibu huyo na huo ndio ubaya wa stories za kutungatunga.
Nifanikiwe wapi ndugu yangu. Bongo wanga wengi ila ipo siku Mungu atanipa fungu langu.Vp kuhusu ule mchongo wako? Ulifanikiwa?
Acha kunitongoza PM. Nitaziweka meseji zote humu nikudhalilishe. Mimi mke wa mtu ujue?Saga chupa ule umfuate kuzimu mburukenge wahed
Huko CHADEMA mnafundishwa roho za visasi tu ndio maana hamkui akili zikakomaa.Yeye alieuwa wenzake kwanini wasifurahie?
Wangapi wamepotea wangapi wameokotwa kwenye mifuko wangapi wamepigwa na kufungwa?
Yule alikua shetani hakuna cha uchadema na uccm tuzungumze uhalisia yule alikua shetani kwemye kivuli cha uzalendo
Mungu nae hakawii hapendi kumuona mtu anajifanya ni Mungu haoa duniani kua na mamlaka ya uhai wa watu
Nikimpa ataliweza zigo langu? Zigo la haja la mtoto wa kihehe.Anataka msambwanda huyooooo
Tena kitu cha pwani kama vile cha mtoto wa kitangaKitu cha kiutu uzima mzee mama