Kadi Poa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,015
- 1,005
Nipe mimi basi n.i.k.uband.u.e kwa vumbi la kongoNikimpa ataliweza zigo langu? Zigo la haja la mtoto wa kihehe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe mimi basi n.i.k.uband.u.e kwa vumbi la kongoNikimpa ataliweza zigo langu? Zigo la haja la mtoto wa kihehe.
Inshallah ninakuombea kheri kwa Mungu akupe kila utakacho katika maisha yakoNifanikiwe wapi ndugu yangu. Bongo wanga wengi ila ipo siku Mungu atanipa fungu langu.
Sipendi kila mtu aeleweMbona unapenda sana kuandika kwa kutumia codes?
JF ipo kwa ajili ya kila mtu. Sasa kwanini hautaki wote waelewe?Sipendi kila mtu aelewe
Nina mwaka wa 4 sasa nipo Mbagala.Hiyo maana yake ni makalio makubwa. Uliingia lini Dar kutokea Makambako?
Dunia haina huruma aliimba Rose MhandoHii kitu ni kweli mimi ni kwa namna moja au nyingine ni muhanga kama hao watoto.
Mwanawake wa Tanga ni flat screen. Mizigo ipo Dodoma na Mbeya. Wanyakyusa wanatisha sana aiseeTena kitu cha pwani kama vile cha mtoto wa kitanga
Wanyakyusa wengi wana shape za kabati. Wamejaa mwili mzima. Raha ya mwanamke bwana agawanyike.Mwanawake wa Tanga ni flat screen. Mizigo ipo Dodoma na Mbeya. Wanyakyusa wanatisha sana aisee
Hahahahaaaa agawanyike kama samaki - Kichwa, Tumbo na MkiaWanyakyusa wengi wana shape za kabati. Wamejaa mwili mzima. Raha ya mwanamke bwana agawanyike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Acha kunitongoza PM. Nitaziweka meseji zote humu nikudhalilishe. Mimi mke wa mtu ujue?
Haha hapa nakunywa bia nakuwa sielewi kabsa iko kipandeUmeanza vyema ila hapo mwisho umeisimanga sana BIA bila sababu za msingi.
Kwa hiyo wanywa BIA ndio wanapelekaga umbea? Yani sijaelewa kabsa na imeharibu mantiki ya uzi wako.
Why BIA sasa?
Beers ni nzuri sana kama zitanyweka kwa staha. Hata mimi nilikunywa kisha nikaacha mwaka 2019Haha hapa nakunywa bia nakuwa sielewi kabsa iko kipande
Mimi mpaka leo hii bado tu ninapiga mtungiBeers ni nzuri sana kama zitanyweka kwa staha. Hata mimi nilikunywa kisha nikaacha mwaka 2019
Mitungi sio poa mkuuMimi mpaka leo hii bado tu ninapiga mtungi
Kama nyie wanawake mkipiga mitungi lazima tu mtabakwa.Mitungi sio poa mkuu
Mimi ninapiga beers zangu nikiwa homeKama nyie wanawake mkipiga mitungi lazima tu mtabakwa.
Unatumia vumbi la Kongo badala ya mchuzi wa pweza?Nipe mimi basi n.i.k.uband.u.e kwa vumbi la kongo
Hiyo inaitwa kasongo au mundendeNipe mimi basi n.i.k.uband.u.e kwa vumbi la kongo
Unakaa Mbagala sehemu gani unaweza ukawa ni jirani yangu.Nina mwaka wa 4 sasa nipo Mbagala.
Unajua balaa ya vumbi la Kongo? Huo mziki wake usipimeUnatumia vumbi la Kongo badala ya mchuzi wa pweza?