JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

1 mpaka 800 ni wachache? Jipeni matumaini ila muda huo ni lazima tuwe makini
Jeshi kama jeshi linajua linafanya nini.

Hivi ulishawahi fikiri mtaani kuna vijana,watu wazima au wazee wangapi ambao ni wanajeshi waliokosa ajira?
 
Halafu ujue vijana 800 ni sawa jeshi la nchi kwa baadhi ya nchi hapa duniani
Tutawagawana hao wakijaribu kutuletea fyoko

Waingie kwenye mlolongo wa soko la ajira
 
Unajua kuna maamuzi huwa tunafanya bila kuona mbele...nadhani hii inasababishwa na mihemiko na misukumo kutoka kwenye mob.

Hawa madogo walikuwa wamebakiza mkia tu ili kumaliza n'gombe mzima ila wamejiharibia sana.

Kwanini wanaandamana na wakati mikataba yao ilikuwa haijavunjwa?

Napendekeza wasisamehewe maana ni sumu mbaya sana kuwaweka katika kambi zetu...kuna siku wataandamana tena....na kitakachotokea ni kupindua nchi.

Kwao hawajui kwamba JKT haiajiri?

Uvumilivu unalipa sana....ukiona ujapata ujue Mungu hajaruhusu upate.

Always huwa kuna plan B.

Karibuni mtaani tupambane wadogo zangu.
 
Mtu anaweza kugoma jeshini hafai mwanajeshi hagomi

Walikula chakula chenye sumu au walifia kwenye kozi wajenzi wanavumbi sana kifuani ndio mana wanawakwepa... wanawatumia kwenye ujenzi wanawaharibu baadae wanawaita UNFIT
Mkuu umeongea point sana, pia akiota kinyama wanamuita UNFIT.
Halafu hizo OP zinazojenga hawawezi kwenye mafunzo ya ukomando kisa vumbi la cement
 
β€œTunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabey
---
Kwahiyo hata wakiwa watovu wa nidhamu wavumiliwe eti kwasababu ya gharama? Dogo umesoma kwa kiwango gani au na wewe darasa la Musukuma?
 
RTS ni nini chief?
 
Kifupi hao sio watanzania ni raia wa nje waliojipenyeza JKT

Watanzania huogopa jeshi sana wasingefanya huo ujeuri asante CDF message sent.Waelewe Tanzania ni ya watanzania.Wote wakamatwe na wahojojiwe uraia wao barabara
 
Kuna wakati gharama haiangaliwi, hasa linapokuja swala la majeshi au tuseme ulinzi na usalama. Hao vijana hawatoshi kuwa askari kwa gharama yoyote ile.
Hao vijana wengi sio raia wa Tanzania
 
Sure mkuu .....kinachowaponza ni ...wakiwa course huwa wanawaponda sana police ........kuna wimbo utaskia "haiwezekan kurut kupigwa na police"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. So ndoto zao ni kuwa soldiers [emoji23][emoji23]
 
Uliwahi kuajiriwa jeshini?
Kama hukuwahi nyamaza tu
Kuna watu wanaonewa na wakubwa wao mpaka mtu anakosa uvumilivu anakoki silaha jeshi lisikie kwa watu, kama upo huko basi uko position ya juu huonewi ndio maana uko comfortable
Jeshi haliajiri linaandikishaπŸ˜‚πŸ˜‚. (Enlist not employment)
 
Na hili mimi ndio nimelisema pia sehemu Fulani humu. Watu walikua 2400 kazi zimepungua nyie 800 mnapelekwa sehem nyingine hata misheni haijakamilika(Ikulu haijaisha) halafu unagoma unalazimisha upelekwe RTS kweli walipelekwa huko ila walichokutana nacho wameomba warudi nyumban wenyewe
 
Hata kazi waliyokua wanafanya haijaisha mkuu mbona watu wengi hamlioni hili???

Waliambiwa wakimaliza kujenga Ikulu. Ikulu bado inajengwa ila kazi zimepungua katika 2400 walioahidiwa wanahitajika 1500 kuendelea na ujenzi basi nyie ambao hamna kazi muende kambini kusubiria hawataki wanataka wabaki chamwino au wapelekwe msata. Huo ni uasi peeiod
 

Uongo mtupu! Rubbish
 
Sifa ya kwanza ya Askari ni UTII.
Askari asie na UTII kwenye Jeshi anahesabika kuwa ni Mhaini.
Ukikosa sifa ya UTII hufai kuwa Askari.
Askari kuandamana kwa jambo lolote ni ukosefu wa UTII na adhabu yake, pamoja na zingine ni kufukuzwa.
Hongera CDF Mabeyo .
tanpol

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…