Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Kwa yoyote aliyepita jeshini anafahamu kuwa kosa la KUGOMA AU KUANDAMANA jeshini ni KOSA KUBWA. Ni UASI. Na kila siku tunawaambia kwamba mafunzo ya JKT ni ya kujitolea na sio sehemu ya ajira. Na kwa taarifa yenu vijana waliotumikia jkt na kurudi mtaani baada ya kumaliza muda wao ni wengi zaidi ya hao na wanaendelea na maisha mengine. Watumie skills za jkt kujiajiri na kuzalisha mali. Jeshini ni amri,subra,ukakamavu,uzalendo na uvumilivu